The Bourne
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,077
- 1,322
Mzee baba akikuelewa uni tag
With all due respect naomba tusiweke ligi kwenye hilivyovyote iwavyo haina uhusiano na neno kilema au upungufu wowote kama ulivyotaka kutanabaisha!!tafuta namna nyingine za kumponda huyo jamaa lakini sio kudhalilisha lugha za watu za heshima za mababu na mababu zao
Kaka ujumbe wangu umeupata?
YaaaahHuko pm?
Sijakuelewa bado
Ngoswe penzi kitovu cha UzembeHauko peke yako Mkuu, hii naona inahitaji kupitia vyanzo vya habari
Acheni Masihara jamani.
Kumbe ni kweli Mkuu anamtafuna mama Kairu.....
Msukuma anapenda sana vitu vyeupe.
Namwonea huruma sana Mama Janetth.

Mwaka huu mtoto wa salimu atakulogaUjumbe umefika mkuu, cheupe dawa amefanya makubwa. Kule Gemstones mzee baba ameshikilia mwenyewe, cheupe akitekeleza majukumu ya kulea kichanga.
Mzee baba mshana jr niko banana maeneo ya kujidai java executive lounge,njoo ijumaa nikununulie monde kwa bluetooth hata tusionane sawa tu ukija na chawa wako itapendeza ila nna mengi yanayohitaji msaada wako. tiba ya chumvi ni nyokoo! nimejionea!
ntakuja na jichawa hybrid jeupee... Malazi vepee?Kwani Lissu alitaka kuuliwa kwa kosa ganiAsante mkuu lakini nitashtakiwa kwa kosa gani kwa mfano?