Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

laana ya kuua watu na kuwatosa majini haiwezi kumuacha mzee salama japo yeye anakana kuhusika lakini maagizo yanatoka kwake
 
KAKA mshanga JR MIMI NIMEIELEWA FASIHI YAKO HASA HAPO ULIPOMTUMIA NGOSWE NA CHEUPE DAWA..

KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA NIWE MC HIYO SIKU KWA SABABU HATA KALE KAUNG'ENG'E KA ZIWA KA SATO NAKATIRIRISHA VZURI KABISA

AMA HAKIKA KURUKARUKA SIYO KUKIMBIA.. MSAMBA UKIPASUKA MBWEMBWE ZOTE HUISHA HAPO.
 
Tuko wengi tunaosoma magazeti kwa kugeuza, hata mimi sijamwelewa kama wewe ila kwa mbaliii kwa kingereza changu cha we don't wanti these bogus wawekezaji nimemwelewa hivi; Hilo jina (username) nzuri unalotumia kama utambulisho wako linaendana na akili zako nzuri. Kiufupi kakusifia sana.
 
Nimeona Cheupe dawa penzi kitovu cha uzembe edwin semzaba
Tulivisoma zamani bado vinafundishwa siku hizi au somo la fasihi bado linafundishwa,penzi kitovu cha uzembe kweli liliniharibia masomo, lkn nashukuru nilisimama nikatimiza ndoto zangu.Niliruka stage rangi ikanizingua chezea kitu white, nilianguka 1994 hadi 2000,nilikuja simama tena baada ya mda mrefu sana kweli penzi kitovu cha uzembe.Nimekitunza kitabu hicho hadi Leo.
 
IMG_20180125_084016.jpg
umenikumbusha mzee wangu Marehemu Semzaba Alale mahala pema huko alipo InshaAllah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom