Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

maudhui ya ile tamthilia ya Ngoswe yanahitimishwa na huu wimbo wa MATEMBELE.. Tafadhali utafute au wajuzi wa video watatusaidia
Na maudhui ya tamthilia ile ndiyo yanayoishi leo! Asifiwe mtunzi yule na wewe uliyeiamsha kwa wakati muafaka!
 
Andika kiswahili wala sijakuelewa umepoteza muda mpare

Alimaanisha kwamba Jina ni jina tu laweza kuwa la utani au unavyojulikana mahali. Lakini majina hubeba taswira nyingi sana, Kama hili jina la huyu mtu linavyo anza "Kilema,," maana yake ni kuwa huyu aweza kuwa mlemavu wa akili. Na nadhani ndivyo ulivyo. Pole zako na heshima mkuu mshana jr
 
Kama hujaelewa kilichoandikwa.. Unakaa kimya... Kukaa kimya ni bora kwakuwa kunaficha upuuzi mwingi
Umesema ukweli mtupu kama hukusoma vitabu kama shamba la wanyama,vitabu vya shabani Robert kama kufikirika na vingine kama vya akina Chachage huwezi elewa hii fasihi
 
Kuna mtu alikuwa anapenda toros kama mr handsome? Lakini ha kufika to this extent.
Faida ya kuwa born town hizo dodo mbonyezo unakuwa umeshapita nazo wima sana huko mashaban ropert, al muntazir, mr handsome hizo vitu amekutana nazo sana kitambo that y status ilivyokuwa alikuwa anaweza kupiga kisera asubhui km akijatokea kitu..yanii ile fasta mzuka mzuka watu wanaSign
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom