Mzee anategemea kupokea kiinua mgongo, lakini simwelewi elewi kabisa

Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
We utakuwa masikini wa kutupwa ila hapa unaleta changamsha kijiwe tu🤣🤣🤣
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
Kuwa na mtoto Kama wewe Ni hasara,ungekuwa mwanangu ningekupeleka kyela nikabadilishane kwa gunia la mpunga tu walah!
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
Mimi nakushauri, hii hadithi ukaisimulie kule facebook, itapendeza zaidi
 
Hapo ukute mzee alimwombea mwanawe awe kama christiano ronaldo, na mwanawe alimwombea mzee awe kama baresa.
Patamu hapoo!
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.

Nilianza kusoma kwa umakini nilipofika kwenye point ya kununua gari na kupata warembo nikaacha.

Uzi wa kijinga tu huu.
Wanawake hawajawahi mtajirisha mtu zaidi ya kumfirisi.

Piga mbususu kwa akili sana unaweza ugua ukakosa hata panadol
 
Nimejikuta nacheka,,,yaan wewe ungekuwa mwanangu tayari ningeenda kukuweka polisi ukae hata miaka 5 ukitoka akili zikusimame. Dunia ya leo bado kuna mtoto anawaza urithi wa mzazi wake aiseee. Tuzae tu kwa kweli.
Namshukuru mzazi wetu wakati tunasoma alisema wazi kabisa hakuna atauekuja kupata urithi wowote kwake zaidi ya elimu anayotupa tena alikuwa anasema akiwa serious kabisa. Hali ile ilitufanya sote tusome kwa bidiiii na kwa machungu. Leo hii sote tunamaisha yetu. Na dingi bado hajastaafu. Anatarajia kustaafu baada ya miaka 3 mbele lkn hakuna hata mmoja anayewaza hata huo urithi wake. Na tulipopata kazi wote alitumbia tusihangaike na yeye iwe kumuhudumia wala kumuwazia. Tunamtumiaga hela tu pale tunapojisikia.

Kwa sheria za Tz huwezi kudai urithi kwa mzazi ilihali yupo hai,,labda awape tu kwa mapenzi yake. Na kumdai mzazi urithi ilihali hajafa ni kujitakia tu laana isiyokuwa na maana.
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
We chizi kweli,
 
Sio fair kutolea macho pesa ya mzaz wako tena mstaafu

Umesema mzee wako alikua anapokea 7mil mtu kama huyu sidhan kama anaweza kuwa na mtt mwenye mawazo kama ya kwako maana alikua na uwezo wa kumpeleka shule nzuri na ni mara chache kuwa na akili za kuandika kitu kama ulichoandika hapa🙂

Fikiria wewe umekuwa mzee unasikia watt wako wanakupigia hesabu kama hizi
 
Hizi thread nyingine ukisoma unaona kama mtu katunga hadithi kuwachota akili aone mnajibu nini tu.

Kama social experiment tu.

Lakini pia inawezekana kuna watu u wana akili za hivi.
Kwa hizi jamii zetu haya mambo yapo sana tu, hata kama wanaiita 'chai ', lakini bado ina uhalisia mno kwenye jamii yetu.
 
Wanangu ambao mmeajiriwa au mmejiajiri kujenga mwisho nyumba moja tu tena unamuandika bi mkubwa zilizobaki kula maisha ukisikiliza ile kesi ya arusha ya mzee said na mwanae Abdallah unaona kabisa watoto wa kizazi kijacho watakuwa wanauwa wazazi wao kwa tamaa za mali bila kusahau yule wa kcmc aliyeuliwa na mwanawe wa kike tuleni maisha wanangu.
 
Hizi thread nyingine ukisoma unaona kama mtu katunga hadithi kuwachota akili aone mnajibu nini tu.

Kama social experiment tu.

Lakini pia inawezekana kuna watu u wana akili za hivi.
Na ndicho alichofanya huyu jamaa,
Sio mara ya kwanza kashakuja na mada hizi mara nyingi tu hapa.
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je, nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
Tafuta zako acha mzee aongeze mke wa pili
 
Nakushauri tafuta mume upewe gari, nyumba na hiyo simu uitakayo.
Muache mzee afurahie pesa na maisha yake.
Hutaki mzee apate mchepuko,ww unaweza kumtoa genye zake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom