Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,271
- 54,705
Labda kwa faida ya wengi unapopigwa us ban ni doa, sio tu kuingia Us, even huto pata nafasi za kuongoza au kuwa member wa masharika mengine ya nje.Very useless kumfungia mtu asiye na mpango wa kwenda huko.
Bashite alifungiwa ila hadi leo anadunda tu. US waache huu ujinga wa kudhani kila mtu anataka kwenda huko.
Nafasi yako after uongoz kwenye international community is over, ww ni wa hapa hapa hata ukija kuwa rais
Lakin pia kama ana mali america ndio bye bye.
So itadepend