My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

Ni ngumu sana, hata kusafiri nje, hata kwenda tu hapo Kenya unaona ni shida. Maana CIA wana mkono mrefu, ukishatoa pua nje tu wanakufyeka.

Hizi story unatoa kijiwe gani?

Makonda alihudhuria final ya AFCON Morocco alishikwa?

Watoto wake wamezaliwa SA ambako aliweka kambi karibu mwaka mzima, alishikwa?

CIA imshike Makonda au Mafwele kwa kosa gani? Wamevunja sheria gani za US? US wana mamlaka gani over TZ? US haipo hata ICC.

Ban na arrest warrant ni vitu viwili tofauti kabisa. TZ, as a country, ipo banned kwenda US under Trump sanctions, watz wanashikwa au wanazuiwa kwenda nchi zingine? Wabongo wengi uelewa mdogo sana.

Presuming kweli haendi huko nje, imempunguzia nini yeye kama yeye wakati ndani ya nchi anatamba atakavyo kwa kodi zenu? Hizi ban za kutoingia USA ni ujinga.
 
Very useless kumfungia mtu asiye na mpango wa kwenda huko.

Bashite alifungiwa ila hadi leo anadunda tu. US waache huu ujinga wa kudhani kila mtu anataka kwenda huko.
Hivi anasafirigi kweli?
 
Hizi story unatoa kijiwe gani?

Makonda alihudhuria final ya AFCON Morocco alishikwa?

Watoto wake wamezaliwa SA ambako aliweka kambi karibu mwaka mzima, alishikwa?

CIA imshike Makonda au Mafwele kwa kosa gani? Wamevunja sheria gani za US? US wana mamlaka gani over TZ? US haipo hata ICC.

Ban na arrest warrant ni vitu viwili tofauti kabisa. TZ, as a country, ipo banned kwenda US under Trump sanctions, watz wanashikwa au wanazuiwa kwenda nchi zingine? Wabongo wengi uelewa mdogo sana.

Presuming kweli haendi huko nje, imempunguzia nini yeye kama yeye wakati ndani ya nchi anatamba atakavyo kwa kodi zenu? Hizi ban za kutoingia USA ni ujinga.
Lini Mkuu?
 
Lini Mkuu?

Ni ngumu sana, hata kusafiri nje, hata kwenda tu hapo Kenya unaona ni shida. Maana CIA wana mkono mrefu, ukishatoa pua nje tu wanakufyeka.

Hiyo hapo Bashite akiwa Morocco. Bashite anasafiri atakapo kama kawaida. Bashite kakaa SA karibu mwaka mzima bila shida yeyote. Hilo katazo la US halina tija yeyote unless unataka kwenda huko US kwenyewe.

Screenshot 2026-05-22 130943.png
 
Ni ujinga mtupu...
Mafwele na kwenda us au europe wapi na wapi?
Halafu huu uzwazwa kwenye hili kwa wanaodhani atakamatwa na us....
 
Haya Mafwele hayamashitui maana hana haja ya kwenda Marekeni!

Hivyo Pompeo you need to do more than maneno
Yeye yanaweza yasimshtue lakini viongozi wake yatawaathiri kwa namna fulani. Huoni moto anaopelekewa Ferdinand kwa kupokelewa na mvunja haki za binadamu kwa ushahidi wa kwamba amepigwa marufuku hata kuingia marekani kwa uovu wake huo. Ferdinand akirudi kwao sidhani kama ataandika chochote kuhusu Tanzania kwenye page zake za mitandao ya kijamii,
 
Yeye yanaweza yasimshtue lakini viongozi wake yatawaathiri kwa namna fulani. Huoni moto anaopelekewa Ferdinand kwa kupokelewa na mvunja haki za binadamu kwa ushahidi wa kwamba amepigwa marufuku hata kuingia marekani kwa uovu wake huo. Ferdinand akirudi kwao sidhani kama ataandika chochote kuhusu Tanzania kwenye page zake za mitandao ya kijamii,

Toka Bashite afungiwe in 2020 yeye au taifa limepata hasara gani?
 
Ukiona hivo ujue wamemuachia tu, CIA ni magaidi mkuu!

Itakua hujui tofauti ya ban na arrest warrant, mkuu?

Kwanini US imshike mtu aliyefanya kosa nchini kwake kwa raia wake? US ina mamlaka gani hapo?

Unachosema ni sawa na US imshike mganga aliyemuua James Temba. Kwa mamlaka gani na Inapata faida gani?

The most thing they can do is banning him. Ban zenyewe hazina tija kama hivyo.

Ban sio US tu hata TZ inatoa ban. Ukienda uhamiaji kuna list ya watu waliokuwa banned kuingia TZ. Hicho sio kifungo ni ban. Kama ambavyo wewe unaweza sema fulani asikanyage nyumbani kwako ila haina maana huyo mtu hawezi kwenda nyumba zingine.
 
Haya Mafwele hayamashitui maana hana haja ya kwenda Marekeni!

Hivyo Pompeo you need to do more than maneno
Mazee wana maana yao kufanya hivyo.

Kwa sasa ni kuangalia kama hiyo yafanya kazi.
 
Back
Top Bottom