mafwele

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. britanicca

    JamiiForums Tanzania Tumemtuhumu Mafwele peke yake bila kumtaja anayemtuma. Mafwele hatoboi 2029

    Watawala wanatoa oda kuwa watanzania wauwawe na ambaye amekuwa akipewa order na kutekeleza yaan Mafwele anaweza kupotezwa kumaliza ushahidi Kitengo hasi kimeweza sana kucheza na wananchi tumemtuhumu mafwele peke yake bila kujua kuwa bila kumtaja anayemtuma tunampa credit Samia ! Sasa wana...
  2. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Arsenal, Djumbe na Mafwele wamemsaidia Buyobe

    Baada ya Hilda Newton kumuanika Fortunus Buyobe mwamba alikuwa na wakati mgumu. Story ilikuwa juu yake kila. Kila akijaribu kujijitetea kwa kuposti risiti za AI wapi. Fortunus akatrend. Hatimaye Mungu akamsikia ilipofika Jumanne Arsenal kutwaa ubingwa baada ya City kudraw na Bournemouth watu...
  3. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Mafwele soma historia ya Eugene De Kock, polisi katili wa enzi za ubaguzi Afrika kusini

    Historia inajirudia kwa namna ya kutofurahisha wakati mifumo ya usalama inapogeuka kuwa zana za kuangamiza ukosoaji wa kisiasa. Eugene Alexander de Kock, mkuu wa kikosi cha siri cha polisi cha Vlakplaas nchini Afrika Kusini wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, anafahamika kwa ukatili...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mafwele atangaza msako kutafuta watu aliyo watuma yeye !!

    Ni wazi sasa kiongozi wa watekaji anaitwa Mafwete ambaye ni Polisi na yeye ndiye aliyeenda kumchukua Polepole eti leo anasema anafanya msako wa kutafuta na kubaini walio mshambulia msaidizi wa Lissu wakati yeye ndiye kiongozi wa genge! Yeye ajui wenzake hao mafisadi watakimbilia Oman na Dubai...
  5. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Makonda huwezi kuwa Rais, Mafwele huwezi kuwa IGP. Bado US/EU yuko njian KUDEAL na Wauaji wa Okt 29, Wanaopiga Vita UKRISTO, Kuteka na Kuua MAPADRE

    US kadeal na MAFWELE ,sababu alousema ni "Kuwateka akina Agatha". Sasa Kuna wale walikua Wanapiga Vita UKRISTO, Waloua watu Okt 29, Wanaomfunga Lissu na kuanzisha vita dhidi ya DEMOKRASIA. Na nyinyi Jiandaeni, Tena nyinyi Kipigo Chenu ni Cha Mbwa Koko Soma pia Mafwele azuiwa kuingia...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Makonda na Mafwele nawashauri kwenda USA mkajifunze namna bora ya kusimamia matukio makubwa ya kimichezo

    Makonda na Mafwele ni viongozi katika taifa letu na wana wajibu mkubwa wa kusaidia mashindano ya afcon 2027 yanafanyika kwa kiwango kikubwa na ufanisi. Hivyo kwa nafasi zao nawashauri kwa nia njema kabisa waende USA kupata uzoefu wa kusimamia matukio makubwa ya kimichezo Ikumbukwe USA wana...
  7. R

    JamiiForums Tanzania My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

    Haya Mafwele hayamashitui maana hana haja ya kwenda Marekeni! Hivyo Pompeo you need to do more than maneno
  8. I

    JamiiForums Tanzania Mafwele marufuku kukanyaga Marekani.

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeweka vikwazo vya usafiri kwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Faustine Jackson Mafwele. Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio imesema kuwa kutokana na taarifa za kuaminika, Mafwele alihusika katika ukiukaji mkubwa wa...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Makonda alipopigwa Ban Magufuli alimtumbua, Samia akamrudisha, Je atamtumbua Mafwele au atamteua awe IGP.

    Magufuli alimtumbua Makonda ili kujitenge mbali na uchafu wake sidhani kama Samia atakubali kuwa mnyonge kwa Marekani kama mtangulizi wake. Nategemea Samia badala ya kumtumbua Mafwele atamteua awe IGP kamili, kuonyesha jeuri kuwa hatuingiliwi na mtu, ili kuendeleza slogan yake ya 'Who are you'.
  10. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemtaja Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania (TPF), Faustine Jackson Mafwele, chini ya Kifungu cha 7031(c), ikisema kuna taarifa za kuaminika zinazomhusisha na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Uamuzi huo unamzuia Mafwele kuingia nchini...
  11. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwanini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

    Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar. Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu. Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na...
  12. Mtemi mpambalioto

    JamiiForums Tanzania Mafwele nakukumbusha tu, hao CCM na Serikali watakupoteza muda ukifika

    Kwa sasa utaenjoy kuskia sauti za unaowaua wakiwa wanalia kuomba usiwauwe na unawaua! Amini nakuambia watu dhalimu kama wewe huwa hawafi mapema! Mungu huwa anawaacha ili watumikie dhambi zao hapa hapa duniani! Nakukumbusha tu CCM wakishamaliza episode hii basi utapukutika! America pia hawako...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Hili liwe funzo kwa Mafwele na genge lake. Christopher Bagenyi kunyongwa hadi kufa

    HILI LIWE FUNZO KWA MAFWELE NA GENGE LAKE. SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho katika mwenendo wa kesi yake. Hana pengine pa kukata rufaa, pa kukimbilia, wala pa kupinga. Mahakama imeamua anyongwe hadi afe. Jaji Stellah...
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi fungueni "comment section" tumsifie Mafwele

    Wakuu, Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa Jeshi la Polisi kwenye mitandao yao ya kijamii. Naomba kujikita katika post yao ya jana tarehe 2 Machi 2026 ikimhusu Faustine Mafwele kama kiongozi (Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Polisi Kanda maalum Dar es Salaam)🌚🌚 Sote tunajua kuwa mtu huyu...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania The voices from within japo simtetei Mafwele, ila sio kila kinachosemwa juu yake ni kweli, vitu vingine si yeye ila ni wanamsingizia tu kuwa ni yeye!

    Wanabodi, Hili jina la mtu anayeitwa Mafwele, sasa linatumika vibaya, kulitumia kuwatishia watu kwa kumsingizia kila kunapotokea tukio la utekaji au mtu kupotezwa, the most recent ni kauli za mtl anayejitambulisha kama Kaka yake Polepole, anayejinasibu kama mwanajeshi wa JWTZ mwenye cheo cha...
  16. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwa UFUPI MAFWELE the Killer, hatoonekana tena as long as Mh Polepole, Mdude na wengineo walotekwa wataendelea kushikiliwa

    Hii inaitwa ya DUNIANI tumalizane wenyewe hapahapa DUNIANI. Hawa Wasenge wameua sana watu , wameua , tena wanaua huku wanajiamin na kutoa vitisho. No way , potelea mbali !!!. Mtasubiri sana MAFWELE ajitokeze ila holaaaaaaa !!!
  17. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli kabisa vijana kwa wazee mmekaa vijiweni na mitandaoni mkiamini hii propaganda ya Mafwele kwa nchi hii tuliyonayo sasa ?

    Nashangaa sana kuona ni namna gani wabongo wanavyoweza uwa brainwashed. Kuna habari mitandaoni zinasambaa kama moto kwenye kichaka kwamba mafwele "kawajibishwa" kwa namna flani. Kwa jinsi hali ya sasa ilivyo wenye ishu ya uwajibikaji hapa nchini, kweli kabisa watu wanaamini hii propaganda...
  18. Etwege

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Kaka wa Humphrey Polepole anaiyeitwa Augustino Polepole amejirekodi na kutuma video inayomtaka ZCO Faustine Mafwele ajitokeze hadharani na kuwaeleza watanzania walichomfanya. Ikumbukwe Faustine Mafwele ndiyo imekuwa mashine ya utekaji na mauaji kwenye utawala wa Rais Samia akitumika na Abdul...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nililionya Jeshi la Polisi kuhusu ukamataji bila kufuata taratibu kwakuwa unaacha 'Loophole' kwa Magenge kufanya Utekaji na Mauaji Unrecognizable

    Wakati tukiendelea Kushuhudia Matukio ya Utekaji na Mauaji yanayoendelea nchini, Mimi binafsi nilitumia Akili yangu na kipawa KIKUBWA nilichojaaliwa cha kutizama mambo kwa UPANDE wa pili, na nikushauri JESHI LA POLISI LIKAMATE WATU KWA UTARATIBU NA MAFWELE ADHIBITIWE kwakua anavuruga Security...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Tume nayo inaogopa kumhoji Mafwele!?

    Hii tume nayo inamuogopa mafwele!? Huyu măfwele waandamanaji walimtaja kama sehemu ya hasira zao kwakua ametajwa kama mtekaji na mashaidi kama Sativa, wanaharakati wa kenya na uganda waliotekwa pia wamemtaja Lini tume itamuita!? Au kwenye script waliyo pewa hayumo
Back
Top Bottom