Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Hao habshi ndiyo wahabesh??Siddis/Habshi people
Hao habshi ndiyo wahabesh??Siddis/Habshi people
Japo ninezaliwa kando ya ziwa ila vyombo vya maji sio rafiki... Nalegea kabisaHahahaha mkuu haupendi bahari??
Andaa documents zote muhimu. Next week zikiwa tayari nitafute nikuunganishe na mtu atakayehakikisha unapata passport ASAP. Gharama zote za pale uhamiaji zipo juu yangu. This is serious.
Heheh hivi Kili ni kutalii kweli kule au ni some sort of enduring test
Ngorongoro ni sehemu poa sana nadhani kuliko vivutio vyote vipo Tanzania ikifuatia Serengeti
Hahaha trip za tandale manzese tena unakatiza kwa miguu tuu...Kama misosi yako ni ile ya Mc Donald lazima utakuwa na hobby za kusafiri nchi mbalimbali. Kama misosi yoko ni mlenda na dagaa kauzu bro! Kichwa lazima iende resi Sana.
Ahsante sana mkuu.Wengine tuwe wapenzi wasomaji maana hata hapo Kenya tuu sijui nitaenda lini?
Safari za ndani zenyewe ni shida tuu
Huko nje tutaweza kweli
H o n g e r a yako mkuu 👏
Mmmhhhh terminology mpya?? Ujana mwisho 39 bhana au zaidi. Umesahau 2005 tu hapo kwenye kampeni tuliambiwa tuchague rais kijana mwenzetu??😫😫😫😫😀😀😀😀😀Ujana mwisho 29, ukishafika 30 we tayari mtu wa makamo
Thanks mkuu!Maldives mkuu ni balaa kuzuri sana hongera
😄😄😄😄😄😄😄😄Daah mimi nikitengeneza list nahisi nitafikisha nchi zaidi ya 50 na sitajua ipi niweke ya kwanza ipi niweke ya mwisho maana natamani ningekuwa na uwezo wa kujigawa nitembelee zote kwa wakati mmoja
Na ile Sydney bridge aiseeeeeKwa Australia mimi huwa napawaza Sydney
interestingTena huko Maldives sasa, wacha kabisa!!!! I am working on it. Flight from here ni around $1000 tu, or less sometimes as you can fly cheap to India halafu pale ukatafuta chatter fasta tu
Kama hawana hapa Tanzania or east Africa, nadhani watakuwa na e-Visa thenHivi visa unachulia wapi je wana balozi hapa kwetu
Nice!Kama ikiwezekana kuishi nitaishi hapo au Japan
2022?? why not?? However that's a long short you knowBado sijioni kama msafiri mkuu, bado sana yaani nikianza kuenda nje kama wewe hivi hapo ndiyo naweza kusema mimi ni msafiri.
Sasa mkuu mwaka 2022 hauna mpango wa kuenda kucheck kombe la dunia live kule Qatar??
Kuwa serious basi (teh teh teh....)Ujana mwisho 29, ukishafika 30 we tayari mtu wa makamo
I would never live there aiseee.Oohh mimi sehemu ambazo ningependa kuishi milele ni USA au UK kwengine ningependa kutembelea tu
Mkuu naomba when the time is right nkutafute.Nimekaa Amman miezi miwili kwa kweli ni mji msafi katika miji yote niliyotembelea
Huwezi kujutia na watu ni wakarimu sana na maisha yao ni juu
Nimependa nyumba zao pia ni kubwa na za kifahari
Kusafiri ni hobby yangu pia na nimejaza passports nne tangu miaka ya 70
Na kila nikiangalia pages za passports hizo ni vitabu tosha kwani zina kumbukumbu nyingi sana