My upcoming trip to Jordan

My upcoming trip to Jordan

Hapana shaka, wanasema sharing is caring ila wengine wasijesema tunajimwambafy na JF kila mtu anapanda ngege, kila mtu ana gari kila mtu ana life nzuri....

Ofcourse hata usiposhea travel experiences hawataacha kusema, ila iwe angalizo tuu. Ukiona mtu amefanya jambo ambalo sio la lazima na limegharimu hela ujue amelipa kipaumbele au kwake lina umuhimu mkubwa kuliko kuchangia harusi za watu mwaka mzima halafu kati ya ndoa 40 ulizochangia kila moja minimum ni laki moja ambayo kwa uchache inakuja milioni 4 kwa mwaka unakuta ndoa 36 zimevunjika kwa sababu ya kuchepuka 3 mmoja wa wana ndoa kauwawa na mwenzie sababu ya wivu wa mapenzi moja ndo iko kwenye mazungumzo na kasisi na familia.

Sisemi watu wasichangie harusi au ndoa si muhimu ila kila mtu ana kipaumbele chake. Ukiona nimewekeza au natupa hela nyingi kwenye safari sio kuwa najitapa au najisifia, ni kuwa nimeipa ari ya kusafiri kipaumbele kuliko kukaa sehemu za starehe na kununulia marafiki pombe ( again mie sio mnywaji na simaanishi wanaofanya hivi wanakosea) bali hela yangu naitumia kwingine sawa na wao wanaotumia kwenye mavazi, urembo, wengine kusoma (elimu) wengine kuhonga, wengine kusaidia wahitaji n.k.
Kwangu kuvaa sio kipaumbele, sivai mitumba ila kuvaa nguo za elf 10 au 20 sio issue mradi niwe smart. Kwanza huwa nanunua nguo wakati wa sale tena 75% sale hehehheee. Na mshiko wangu kwa asilimia kubwa ni kula bata nikiwa likizo sehemu mbali mbali....

Kibibi Mpenda Kusafiri

K' Matata.
Aiseee kuna watu wakisoma hii wanaonijua mimi watasema mbona hawa wote kuna vitu kwao sio kipaumbele??

Umeongea fact tupu. Qs I said, it's a Matter of priorities. Mimi kuvaa kwangu hakuna umuhimu, out zisizo na msingi hazina umuhimu lakini I have to travel come holiday.

Hongera sana Kasie
 
Aiseee kuna watu wakisoma hii wanaonijua mimi watasema mbona hawa wote kuna vitu kwao sio kipaumbele??

Umeongea fact tupu. Qs I said, it's a Matter of priorities. Mimi kuvaa kwangu hakuna umuhimu, out zisizo na msingi hazina umuhimu lakini I have to travel come holiday.

Hongera sana Kasie

Again, we are on the same lane...
 
Andaa documents zote muhimu. Next week zikiwa tayari nitafute nikuunganishe na mtu atakayehakikisha unapata passport ASAP. Gharama zote za pale uhamiaji zipo juu yangu. This is serious.
Kweli mkuu? Ila si nasikia ni hadi upeleke evidence ya wapi unaenda na nini unaenda kufanya kitu ambacho mimi sina na sijui napata wapi maana mimi nilikuwa nataka tu niwe nayo standby ili ikitokea safari yoyote ya kuenda nje iwe ni kutafuta visa tu lakini ndiyo hivyo nasikia bila hiyo evidence eti hawakupi passport na kitambulisho cha taifa tayari ninacho.
 
Aiseee kuna watu wakisoma hii wanaonijua mimi watasema mbona hawa wote kuna vitu kwao sio kipaumbele??

Umeongea fact tupu. Qs I said, it's a Matter of priorities. Mimi kuvaa kwangu hakuna umuhimu, out zisizo na msingi hazina umuhimu lakini I have to travel come holiday.

Hongera sana Kasie
Daah hii comment imenifanya nihame nijikute niko Maldives
 
Kweli mkuu? Ila si nasikia ni hadi upeleke evidence ya wapi unaenda na nini unaenda kufanya kitu ambacho mimi sina na sijui napata wapi maana mimi nilikuwa nataka tu niwe nayo standby ili ikitokea safari yoyote ya kuenda nje iwe ni kutafuta visa tu lakini ndiyo hivyo nasikia bila hiyo evidence eti hawakupi passport na kitambulisho cha taifa tayari ninacho.
Nchi yetu hii bhana. Hebu msikilize jamaa anachokisema. Au ndio inabidi aongee kwa herufi kubwa???
 
Mkuu, nadhani sikukosea niliposema kuwa nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe yaani nikija kuwa na hela nahisi zitaishia kwenye kula na kusafiri tu na hata kwangu mimi nguo na viatu siyo kipaumbele ili mradi sitembei uchi wala peku.
Hahahahahahahahhahaha!

Mimi nlidhani all this time unataka ukiwa mkubwa uwe kama cute b !!!!

Dunia inakwenda kasi sana.
 
Daah hii comment imenifanya nihame nijikute niko Maldives
Tena huko Maldives sasa, wacha kabisa!!!! I am working on it. Flight from here ni around $1000 tu, or less sometimes as you can fly cheap to India halafu pale ukatafuta chatter fasta tu
 
Back
Top Bottom