Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
- Thread starter
- #81
ππππππππAcha wivu mkuusi amekwambia ni upcoming...... Sasa unalia nini
?
Jamaa mzushi kinoma hahahahaahahaha
ππππππππAcha wivu mkuusi amekwambia ni upcoming...... Sasa unalia nini
?
Ni kweli mkuu, mungu ni mwema sana mkuuMungu Ni Mwema Wakati Wote
Ndio community gani hii mkuu???The siddi community,
MkuuRafiki mimi sio kijana. Hebu jaribu siku moja uniandalie ticket ya ndege nione kama nitaona uvivu au lah
Mkuu ukue kiasi gani tena ? Maana all this time mimi nilikuwa nadhani wewe ni mama fulani hivi wa makamo mwenye familia ya watoto kadhaa.



mkuu mengine tunayoongea humu ni changamsha genge tuBado upo nae tu?? Me nimeshampuuzaKwani wapi jamaa ametuaminisha ni picha zake?
Jamaa alichokosea ni kuto ku-acknowledge tu
.....
BTW yatupasa ku-stick kwenye lengo la mtoa mada
Kwani mkuu unadhani kunahitaji pesa kiasi hicho?? Hebu anza na trip ya Lushoto. Ipo moja inatangazwa sasa hivi inagharimu kama 200,000 TZS ya night 2 days 3. Inafaa sana hiyo mzee
Mkuu hii ni nchi ipo katika list yangu. Lebanon wana historia moja matata sana. Tuombe mungu tu kaka, one day yes!Ukitaka historia za dini na uone live nenda Lebanon Yesu alipiga misele sana kile kipande,utaona alipogeuza maji kuwa ulabu ,utaona makazi ya Samson na Delaila, utaona njia aliyopita akielekea Jerusalem
Hawa ndio watu gani hawa mkuu??The jarawa people
Ujana mwisho 29, ukishafika 30 we tayari mtu wa makamoMkuu
miaka yako 30+ ni nini kama sio ujana ?
Hapana mkuu. Ila ni kazi ya ziada mtu kujivua original personality yake. Ila with u I can buy itmkuu mengine tunayoongea humu ni changamsha genge tu
Ingia you tube mkuu utawaona walienda india kutokea africa kabla hata yesu hajaja mkuu nadhani walienda na misafara ya wafanyabiashara toka china wa miaka iyoHawa ndio watu gani hawa mkuu??
Mkuu my list is as follows.Mkuu ukifika japan njoo hadi huku Hokkaido japo kuna baridi balaa
Mkuu ni kujipanga tu na dhamira ya dhati ndivyo vinavyotakiwa![]()
Tena jione haswa.kama najiona ninavyopanda ndege
Hapana mkuu. Ila ni kazi ya ziada mtu kujivua original personality yake. Ila with u I can buy it



mbona mie I can