Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 228
Wana JF naomba msinitafune, mambo ya kutumwa email nilikosea jamani
naomba muwasiliane nae kwenye delmonte198@hotmail.com
mkini PM msiwe na wasiwasi ujumbe nitaufikisha. samahani sana kama kuna walioshindwa kuwasiliana nae.
A friend of mine asked me post this for her. She's serious, so take it serious too.
Quote:
"natafuta mwanamme ambaye tunaweza kuanza maisha mapya kama mume na mke kama tutaelewana.
mimi niko kwenye mid 40s. natafuta mwanamme mwenye umri kati ya miaka 35 na 55 ambaye hana mke lakini awe na watoto na hahitaji tena mtoto maana mimi siko tayari kumpatia mtoto ila niko tayari kulea watoto wake. awe na ajira yenye kueleweka na kipato cha kati kama si cha juu. mwenye mawazo ya maendeleo ni muhimu japo tunaweza kupeana uelewa.
Unquote:
haya mlio single and serious jamani, dont let my friend down.
naomba muwasiliane nae kwenye delmonte198@hotmail.com
mkini PM msiwe na wasiwasi ujumbe nitaufikisha. samahani sana kama kuna walioshindwa kuwasiliana nae.
A friend of mine asked me post this for her. She's serious, so take it serious too.
Quote:
"natafuta mwanamme ambaye tunaweza kuanza maisha mapya kama mume na mke kama tutaelewana.
mimi niko kwenye mid 40s. natafuta mwanamme mwenye umri kati ya miaka 35 na 55 ambaye hana mke lakini awe na watoto na hahitaji tena mtoto maana mimi siko tayari kumpatia mtoto ila niko tayari kulea watoto wake. awe na ajira yenye kueleweka na kipato cha kati kama si cha juu. mwenye mawazo ya maendeleo ni muhimu japo tunaweza kupeana uelewa.
Unquote:
haya mlio single and serious jamani, dont let my friend down.