vip dahh kuna ubaguzi hapa wa kiumri, mi niko kwenye 20s, ila napenda mambo ya 40s kama haya, kuhusu kipato hasiofu coz si kipo katika std, sina mtoto wala, mpenzi, so kama anamaind shwari mi pm fasterrrrrrrrrrrr
Sio hauko tayari kumpatia watoto, at that age huwezi kuzaa, ukizaa unazaa mwehu.... maana mimi siko tayari kumpatia mtoto
Vipi swala la ngoma, umeshapima
eti hapa ndio home of positive thinkers! labda mseme home of NEGATIVE thinkers au jamvi la wambea na vizabizabina, watu wasio na kazi. mtu katoa ombi lake jamani katumwa, ni yeye mwenyewe, sio kazi yenu. kama you dont meet vigezo matusi ya nini. wewe unaweza kumuona kazeeka, mwingine akamwona she's super 16. mkiona mzungu mama wa miaka 60 ana mume wa miaka 25 wala hamsemi you think its right sababu ya rangi nyeupe. tatizo wa TZ bado mko nyuma kama makoti. kutwa kusemana na kukashifiana. kujudge post za watu, na mengine mengi. kaweka post yake hapa, basi nyie majibu yote mnayo. alikuwa wapi unajani, mara akapime afya, mara sijui nini? nyie mara ya mwisho mlipima nini. Eti mid 40 huzai, nani kasema, mpaka 50 wanazaa. if you think she's too old huna sababu ya kusema kaa kimya, and I bet you nyie mnaosema kazeeka ndio kutwa kitongoza mimama ya 50 and above! Mmebiboa sana nyie watu, nimeamua kuji register leo niwapake. why cant you always be POSITIVE as you call yourselves! kafanya nini cha ajabu dada wa watu. kaweka email yake, why dont you communicate with her umuulize yale yanayokuumoiza moyoni japo hayakuhusu kuliko kumuanika hapa kwa matusi. mmekalia umbea tu hapa na kusimanga watu, how good are you?
niko ughaibuni, huku love search kwenye net ni mambo ya kawaida na watu wamefanikiwa sana tu. Wa Tz its high time you should change. Badilikeni! Ndio maana nafasi nyingi zinachukuliwa na wa KE and UG kwa sababu ya majungu yenu na ulimbukeni mlio nao.
Nimeji register, mtaniona sana jamvini, nitajitahidi hadi mbadilike...!
Mshauri awe anahudhuria misibato add on this nimesahamu, my friend was divorced 10 years ago. so akipata divorcee au aliyefiwa as long as yuko tayari wakapime afya zao hana problem.
eti hapa ndio home of positive thinkers! labda mseme home of NEGATIVE thinkers au jamvi la wambea na vizabizabina, watu wasio na kazi. mtu katoa ombi lake jamani katumwa, ni yeye mwenyewe, sio kazi yenu. kama you dont meet vigezo matusi ya nini. wewe unaweza kumuona kazeeka, mwingine akamwona she's super 16. mkiona mzungu mama wa miaka 60 ana mume wa miaka 25 wala hamsemi you think its right sababu ya rangi nyeupe. tatizo wa TZ bado mko nyuma kama makoti. kutwa kusemana na kukashifiana. kujudge post za watu, na mengine mengi. kaweka post yake hapa, basi nyie majibu yote mnayo. alikuwa wapi unajani, mara akapime afya, mara sijui nini? nyie mara ya mwisho mlipima nini. Eti mid 40 huzai, nani kasema, mpaka 50 wanazaa. if you think she's too old huna sababu ya kusema kaa kimya, and I bet you nyie mnaosema kazeeka ndio kutwa kitongoza mimama ya 50 and above! Mmebiboa sana nyie watu, nimeamua kuji register leo niwapake. why cant you always be POSITIVE as you call yourselves! kafanya nini cha ajabu dada wa watu. kaweka email yake, why dont you communicate with her umuulize yale yanayokuumoiza moyoni japo hayakuhusu kuliko kumuanika hapa kwa matusi. mmekalia umbea tu hapa na kusimanga watu, how good are you?
niko ughaibuni, huku love search kwenye net ni mambo ya kawaida na watu wamefanikiwa sana tu. Wa Tz its high time you should change. Badilikeni! Ndio maana nafasi nyingi zinachukuliwa na wa KE and UG kwa sababu ya majungu yenu na ulimbukeni mlio nao.
Nimeji register, mtaniona sana jamvini, nitajitahidi hadi mbadilike...!
Sio hauko tayari kumpatia watoto, at that age huwezi kuzaa, ukizaa unazaa mwehu.