Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Kweli magufuli alikuwa shetani Yani post yangu haijasema chochote kuhusu ubaya wa mwakasege ila wewe ushamhusisha na tiss tekateka ya shetani pombe !
Kwani mtu akiwa tiss Ni lazima awe muovu na muuaji au roho mbaya?
Mungu anaweka watu wake popote
 
Mwakasege anafundisha bibilia na Ndiyo maana unaona anaongea hivyo ila wale wabaya Ndiyo hujihisi kusemwa . KUHUSU mwaposa mafundisho yake ni ya tofauti na bibilia

Nioneshe wapi mungu alitumia keki kutibu
 
Una majungu ya kike wewe

Na koma kabisa kumchafua mwakasege
Baki na mwamposa wako hukoooo
 
Jamaa anafundisha kweli ya Mungu ( experience )

Mwakasege yeye anafundisha kweli ya Neno ( History )

And remember, experience is the best teacher.

Kati ya Mwakasege na huyo Mwamposa Nani ana experience?. Mwakasege ana miaka zaidi 34 kwenye huduma halafu unaongelea experience ?.

Huyo Mwamposa wa kutapisha watu viwembe na kuwamwagia maji ana Nini Cha ziada?
 

Tatizo unalazimisha ligi. Mwakasege huwezi mlinganisha na huyo Mwamposa. Subiri Mwamposa abaki hivyo kwa miaka 30 ndipo umfananishe na Mwakasege.
 

Sijui unaongea Nini. Unalazimisha mtume na Mwalimu wafanane?.
 
Wewe una shida na Mwl. Mwakasege. Mwakasege ana focus. Umetumwa wewe.
 
Vipi kuhusu nyomi? Check la Mwamposa....daah kama la Yesu kabisa yani!

Nani mtenda miujiza?? Utasikia watu " YESU"

Na wewe nasema pokea watoto mapacha!!!! AYAYAYA!!!!
Muujiza hata wacahwi wa misri walitengeneza nyoka mbele ya Musa achana na miujiza fake hiyo ya mafuta hadi inaua watu angalia neno la Mungu kwanza kwanini utumie viambatanishi kwani jina La Yesu halitoshi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…