HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,926
- 6,669
Na ndivyo inavyo takiwa...ukiona kitu hakikufai achana nacho... Mimi huyo unae muamini hata kwa bahati mbaya siwezi mfatilia....hata kwa bahati mbaya narudia tena...na maisha yanasonga...ila siwezi mkosoa maana nafahamu kizuri na kibaya na utendaji wakeNilikua namfuatilia zamani ...ikafika mahala nikaona ...inahubiri historia...na sio experience
