Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Nilikua namfuatilia zamani ...ikafika mahala nikaona ...inahubiri historia...na sio experience
Na ndivyo inavyo takiwa...ukiona kitu hakikufai achana nacho... Mimi huyo unae muamini hata kwa bahati mbaya siwezi mfatilia....hata kwa bahati mbaya narudia tena...na maisha yanasonga...ila siwezi mkosoa maana nafahamu kizuri na kibaya na utendaji wake
 
Nilimsikia kwenye ile semina ambayo aliifanya kabla hajaenda Dar juzi Kati.

Nimesema anamponda Mwamposa kwà siri sana...bila kumtaja but kwà kutaja mambo anayoyafanya....anatumia akili kubwa sana kuingiza mabango yake kwà waumini wake ili wasiende kwà Mwamposa...aka the BULLDOZER
 
Na ndivyo inavyo takiwa...ukiona kitu hakikufai achana nacho... Mimi huyo unae muamini hata kwa bahati mbaya siwezi mfatilia....hata kwa bahati mbaya narudia tena...na maisha yanasonga...ila siwezi mkosoa maana nafahamu kizuri na kibaya na utendaji wake
Nakutabiria...siku si nyingi nawe utaanza kuhudhuria kawe...nakuona ukinywa Mafuta na Maji....nakuona ukiwa unafuatilia KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYAYO ZA MIGUU
 
Vipi kuhusu nyomi? Check la Mwamposa....daah kama la Yesu kabisa yani!

Nani mtenda miujiza?? Utasikia watu " YESU"

Na wewe nasema pokea watoto mapacha!!!! AYAYAYA!!!!
Hahahaa kumbe upo kulinganisha hayo.... Sawa... Kumbuka kutokana na ugumu ulivyo watu wengi wanafata miujiza..... mwisho wa siku muda utasema...na kuna wengine wanataka kuifahamu kweli basi.

Kama wewe upo huko kwa ajili ya Mungu kweli haya uliyo yaleta sijui umeyatoa kwa roho yupi alie ndani yako
 
Nakutabilia...siku si nyingi nawe utaanza kuhudhuria kawe...nakuona ukinywa Mafuta na Maji....nakuona ukiwa unafuatilia KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYAYO ZA MIGUU
Huwezi kunitabiria vitu kama hivyo... Mungu yupo kila mahali akiamua kujibu hitaji lako atajibu kwa wakati wake sio kwa kumlazimisha na cake za kulipia na maji..... Injili ipi hiyo yesu aliifanya kwa style yenu hiyo!?!?
 
Hahahaa kumbe upo kulinganisha hayo.... Sawa... Kumbuka kutokana na ugumu ulivyo watu wengi wanafata miujiza..... mwisho wa siku muda utasema...na kuna wengine wanataka kuifahamu kweli basi.

Kama wewe upo huko kwa ajili ya Mungu kweli haya uliyo yaleta sijui umeyatoa kwa roho yupi alie ndani yako
Kwà YESU watu walikua wakifuata nini? Cause wengi walikua hawamuelewi kwà lugha aliyokua akiitumia....( Lugha ya mafumbo na lugha ya mifano)

Hivyo akaamua kutumia miujiza , ishara na maajabu ili kuwaponya watu, kuwapumzisha watu kutoka kwenye vifungo vya maisha.


Wewe kwà Mwakasege unafuata nini? Stuka mwanangu before it's too late!
 
Changamoto kubwa ni watu kukosa msingi WA Imani zao kwa hiyo wanenda popote upepo unapovuma, Mtu kama Mwakasege ukimfutilia mafundiasho yake yanahakisi huduma yake ya ualimu , maana ya consistence, na yanamfanya mkisto aimairike na kupata maarifa.
 
Mleta mada unaleta uchonganishi na Ushindanishi usio na tija kwa kanisa,hao wote ni Watumishi wa Mungu,Kichwa cha Kanisa ni Yesu.
Hizi sio timu za Simba na Yanga kutafuta mshindi hatupo huko,unakosea sana
Watumishi wa Mungu hawaoneanagi miwivu ya sadaka, au miwivu ya kufukuziana kondoo.

Assignment huwa ni Moja tu...kuchunga kondoo na kuhakikisha zote zinafika kwenye the same future.
 
Huwezi kunitabiria vitu kama hivyo... Mungu yupo kila mahali akiamua kujibu hitaji lako atajibu kwa wakati wake sio kwa kumlazimisha na cake za kulipia na maji..... Injili ipi hiyo yesu aliifanya kwa style yenu hiyo!?!?
Tatizo we mbishi sana. Afu sikua najua kama wewe ni Muha wa Kigoma!
 
Kwà YESU watu walikua wakifuata nini? Cause wengi walikua hawamuelewi kwà lugha aliyokua akiitumia....( Lugha ya mafumbo na lugha ya mifano)

Hivyo akaamua kutumia miujiza , ishara na maajabu ili kuwaponya watu, kuwapumzisha watu kutoka kwenye vifungo vya maisha.


Wewe kwà Mwakasege unafuata nini? Stuka mwanangu before it's too late!
Na huduma ya yesu walilipa kiasi gani??

Kama umeamua kumpromote mtu wako na miujiza yake tafuta namna nyingine..... Yeye tayari ana watu sasa kingine nini mnataka .

Mimi natafuta kuifahamu kweli.
 
Back
Top Bottom