Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Huyo niliyemquote na kumuandikia hivyo wewe unamfahamu ?....

Umejuaje ni mwanaume au alikuonyesha uume wake ?

Au mk***u unakuwasha..?
Mods eeh, nitoleeni huyu HAIKA RUBEN kwenye thread yangu
 
Mwakasege anatembea kwenye misingi ya biblia ambayo ndio msingi wa ukristo
Sijakataa bro.... Mwamposa yeye anatembea beyond the Bible...., Keshavuka pigo anazotembea nazo Mwakasege.
 
Kila siku saa tatu za usiku....#Ukombozi wa familia Live via Arise And Shine TV
 
Sisi Mtume wetu anafundisha namna human spirit inavyoweza kufanya Kazi kwenye human soul.

Tena anasema, haipendezi hata kidogo human soul KUSHINDWA kuwa connected na human spirit.

Ndio maana maneno yake yana nguvu sana na tena yana mamlaka ya kuponya, kutenda miujiza ....na tutaendelea kujazana kwake....sio wakristo tu au waislam ...yani ni watu wa dini zote....we ushaona wapi kitu ya namna hii?

Mwakasege mbona kashindwa kuwaconvise madhehebu mengine wamfuate?

Sema AYAYAYA
Jiheshimu basi, huyo mtu wako ni tapeli
 
Bro...mtu alikua hoi kitandani...akanywa maji na Mafuta , akapona.

Mtu alikua analima heka 8 na kupata gunia 2 za mahindi...kisha anaweka Udongo, Mafuta na Maji ya upako ,..mavuno yanakua kedekede....kiini macho kipo wapi hapo?
Mkuu wewe ni jinsia gani? Mbona unaongea mambo ya hovyo kabisa tena waziwazi??
 
Kama ya Mwamposa tu,

Oya....mbona mbishi sana we jamaa? We Muha wa Kigoma nini?

Inawezekana muha pia ila tz hamna udini wala ukabila.
Tunaeleweshana kwa hoja.
Chamsingi soma tena Biblia na uombe. Nishakuelewa hujui hata kama unachokiaminj kinakupeleka wapi.. na nini unatakiwa ufanye uende mbinguni.
 
Watumishi wa Mungu hawaoneanagi miwivu ya sadaka, au miwivu ya kufukuziana kondoo.

Assignment huwa ni Moja tu...kuchunga kondoo na kuhakikisha zote zinafika kwenye the same future.
Same future! 😂😂😂😂
 
Kwenye mambo ya ki roho na kiimani hakuna mashindano sababu kila mtu kaitwa kwa kipawa chake na kiukweli mwl mwakasege yeye mwenyewe anaamini katika hilo na wala haingiliagi mtu katika kipawa chake ndo maana mpaka kesho anatoaga credit kwa mzee mwinjilisti moses kulola.hili swala la kuwalinganisha na kuwalinganua ni utashi wako tu na upumbavu wa kwenu
 
Jamaa simuelewagi kabisa mafundisho yake...is like...mtu ambae kasoma kitabu cha THINGS FALL APART afu anakuja kutusimulia kilichoandikwa kwenye hicho kitabu kwà kutumia Akili yake.
Mwakasege Yuko idara ya usalama wa taifa tiss na hata mkapa aliposhika nchi mwaka 1995 alienda nae USA kwenye ziara ya kukuza uchumi (mwakasege kitaaluma ni mchumi) alipofika kule ndipo akapewa roadmap ya kucheza na uchumi wa Tanzania Incase serikali ikiboronga! Kwao mwakasege ni tukuyu nyuma ya mji kidogo TU Kuna shule ya msingi amejijengea nyumba kubwa ya kawaida ila Ina matofali yale ya stendi ! Binti yake kuwa pilot wa Rais sio jambo dogo baba amefanyiwa vetting kubwa akiwemo daktari wa Nyerere Dr David homeli mwakyusa aliyekuwa mkurugenzi wa hospital ya taifa ya muhimbili! Kiufupi mwakasege ni tiss 100%
 
Mwakasege alienda Italy na mkuu wa majeshi na mkurugenzi wa tisss wakati wa jakaya wakalala hoteli inayotazamana na piaza navona
 
Mwakasege Yuko idara ya usalama wa taifa tiss na hata mkapa aliposhika nchi mwaka 1995 alienda nae USA kwenye ziara ya kukuza uchumi (mwakasege kitaaluma ni mchumi) alipofika kule ndipo akapewa roadmap ya kucheza na uchumi wa Tanzania Incase serikali ikiboronga! Kwao mwakasege ni tukuyu nyuma ya mji kidogo TU Kuna shule ya msingi amejijengea nyumba kubwa ya kawaida ila Ina matofali yale ya stendi ! Binti yake kuwa pilot wa Rais sio jambo dogo baba amefanyiwa vetting kubwa akiwemo daktari wa Nyerere Dr David homeli mwakyusa aliyekuwa mkurugenzi wa hospital ya taifa ya muhimbili! Kiufupi mwakasege ni tiss 100%

Kwani mtu akiwa tiss Ni lazima awe muovu na muuaji au roho mbaya?
Mungu anaweka watu wake popote
 
Back
Top Bottom