Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

So kumbe mnakubali kuwa jamaa ni mtu ambae anawapa ukweli wa kwenye vitabu...ambao mtu yeyote anaweza kujifungia akasoma na akaupata tu kirahisi? Acheni uvivu...

Tafuteni Ufalme wa Mungu na haki zake....mtaijua kweli kutoka kwenye sauti yake. Hata mkisikia yeyote mwenye sauti ya Mungu mtajua anachokisema ni kweli.
 
Ebu sema alimpondaje ?

Nb mwakasege hana waumini na hana kanisa,ukiona mkutano wake jua amealikwa,kaitwa,au semina

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua semina ikiruka live via Upendo TV ,...note: aliongea mwishoni wakati watu wakitaka kutoa sadaka...kwà ufupi sana...kama kuwataadharisha wasijihusishe na mambo ya birthday cakes....
 
Sijabisha....lakini ukweli ni kwamba ukweli uliomo kwenye Neno la Mungu hauwezi kamwe kukuweka huru..., Ukweli unaoweza kukuweka huru ni ule utokao kwà Mungu mwenyewe live...., Sio ule wa kwenye kitabu chake...


Siku ukijua tofauti Kati ya Holy Spirit na Holy Ghost, then hapo utajua Kati ya Mwakasege na Mwamposa...nani anatumia Holy Spirit na nani anatumia Holy Ghost
Mwaka Jana Mwamposa alifundisha Kuhusu "Hekima ya Mungu", kwa mwezi mzima sijui kama ulipokea chochote kutoka kwenye hilo somo,unahitaji kuomba sana hekima,siioni hekima yako katika hiki ulicholeta hapa.
 
Hahahahahah Mwakasege bana.....

Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.


Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...

Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?

Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!


Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Hivi uko na akili timamu then unamwamini huyo jamaa!!!
 
Juu kasema aliacha kufatilia muda mrefu hapa kasema juzi ndo akaenda dar kwa semina nyingine.... Mara zingine hata ukiamua kuwa chawa akili zako tumia pia
Siwezi kupoteza muda mwingi kumuangalia Mwakasege....ujue mambo mengine hutokea kama Coincidence tu au kama intervention tu....nilikua naperuzi channel nikamkuta yupo live...ile naanza kumsikiliza....si ndo akamponda mwenzake..aah nikaona bure Kabisa...nikalitoa hilo lichanel
 
Watu walishachoka kusikia ma historia....watu wanataka kuona experience.

Sio kuwasimulia historia...afu vitu havitokei...unachukua sadaka unaondoka..

Tunataka kuona experience...I mean...Neno lipenetrate kuanzia kwenye ngozi, nyama, mifupa mpaka kule kwenye urojo wa ndani ya mwili na kitokee kitu kwenye maisha ya mtu.
Wewe ni chizi au chawa wa watu wa miujiza
 
Mmh mpaka wanaume mnamshabikia mwamposa?
Aposto kuna muujiza huku?

Nini kimetokea?

Huyu baba alikua anasema umeme ulikua umekatika.....


Umerudi?...ndio aposto.....umefurahi?....sema AYAYAYA!!!!
 
Hahahahahah Mwakasege bana.....

Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.


Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...

Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?

Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!


Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Hapo ni mwalimu wa injili vs tapeli la kula pesa za kinamama,hilo kanisa lake n mengineo ya mwendo kasi sijawahi kuona tajiri akitolewa mapepo au kuanguka
 
Mwakasege ni Mwalimu, mkweli, na mtu wa dini. Huyo mwingine ni tapeli tu kama matapeli wengine
Mwalimu wa SHERIA au sio? Kama wale viongozi wa dini waliowaconvis waumini waseme YESU asurubiwe......#Teachers of the Laws.....ambao walikua hawajui hata kuzaliwa mara ya pili maana yake nini....
 
Back
Top Bottom