MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
- Thread starter
- #61
So kumbe mnakubali kuwa jamaa ni mtu ambae anawapa ukweli wa kwenye vitabu...ambao mtu yeyote anaweza kujifungia akasoma na akaupata tu kirahisi? Acheni uvivu...
Tafuteni Ufalme wa Mungu na haki zake....mtaijua kweli kutoka kwenye sauti yake. Hata mkisikia yeyote mwenye sauti ya Mungu mtajua anachokisema ni kweli.
Tafuteni Ufalme wa Mungu na haki zake....mtaijua kweli kutoka kwenye sauti yake. Hata mkisikia yeyote mwenye sauti ya Mungu mtajua anachokisema ni kweli.