econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,715
How beautiful are the feet of those who know the truth of God.
Note: Nuru na Mwanga huongozana pamoja. Next time ukiongea mambo ya nuru uuseme na Mwanga pia.
Nuru maana yake ni Yesu Kristo
How beautiful are the feet of those who know the truth of God.
Note: Nuru na Mwanga huongozana pamoja. Next time ukiongea mambo ya nuru uuseme na Mwanga pia.
Hizi story kitambo sana
Huduma yake si mnatoa sadaka,zaka,mikutano yake huwa ninaona number za mpesa na no ya bank kutuma sadaka. Ni kazi hiyoUnamfahamu mwakasege na huduma zake?mwakasege ni mumini kama wewe tu,hana kanisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo huwa wanatumia hako ka mstari kuwafanya mtoe hela.Wataendaje wasipo pelekwa!?!?
Imagine hadi yanakanyaga mafuta yanajifia huko. Mijinga mno
Kweli magufuli alikuwa shetani Yani post yangu haijasema chochote kuhusu ubaya wa mwakasege ila wewe ushamhusisha na tiss tekateka ya shetani pombe !
Sasa kama kaanza kitambo mbona matokeo hayaonekani?Mwakasege ameanza hata mwamposa hayupo
Afu leo umshindanishe nae?
Broh mwakasege ni habari nyingine kabisa
Anamafundisho ya maana
What is the word of God?Kwenye mambo ya ki roho na kiimani hakuna mashindano sababu kila mtu kaitwa kwa kipawa chake na kiukweli mwl mwakasege yeye mwenyewe anaamini katika hilo na wala haingiliagi mtu katika kipawa chake ndo maana mpaka kesho anatoaga credit kwa mzee mwinjilisti moses kulola.hili swala la kuwalinganisha na kuwalinganua ni utashi wako tu na upumbavu wa kwenu
Hapa sasa ndo umeongea.Mwakasege Yuko idara ya usalama wa taifa tiss na hata mkapa aliposhika nchi mwaka 1995 alienda nae USA kwenye ziara ya kukuza uchumi (mwakasege kitaaluma ni mchumi) alipofika kule ndipo akapewa roadmap ya kucheza na uchumi wa Tanzania Incase serikali ikiboronga! Kwao mwakasege ni tukuyu nyuma ya mji kidogo TU Kuna shule ya msingi amejijengea nyumba kubwa ya kawaida ila Ina matofali yale ya stendi ! Binti yake kuwa pilot wa Rais sio jambo dogo baba amefanyiwa vetting kubwa akiwemo daktari wa Nyerere Dr David homeli mwakyusa aliyekuwa mkurugenzi wa hospital ya taifa ya muhimbili! Kiufupi mwakasege ni tiss 100%
Ujue Mimi nilitaka kushangaa, Neno gani la Mungu lisilokua na matokeo?Mwakasege alienda Italy na mkuu wa majeshi na mkurugenzi wa tisss wakati wa jakaya wakalala hoteli inayotazamana na piaza navona
Ni kweli anafundisha biblia. Tena kwà kutumia Akili zake. Ni lecturer wa somo la biblia.Mwakasege anafundisha bibilia na Ndiyo maana unaona anaongea hivyo ila wale wabaya Ndiyo hujihisi kusemwa . KUHUSU mwaposa mafundisho yake ni ya tofauti na bibilia
Nioneshe wapi mungu alitumia keki kutibu
Inahitaji akili kubwa sana kulibaini hiloKwa hiyo kuna uhusiano gani kati ya Yesu kugeuza maji kuwa divai na keki ya upako?
Experience sio unayoijua wewe...I mean , ya kuwa kwenye huduma kwà muda mrefu.Kati ya Mwakasege na huyo Mwamposa Nani ana experience?. Mwakasege ana miaka zaidi 34 kwenye huduma halafu unaongelea experience ?.
Huyo Mwamposa wa kutapisha watu viwembe na kuwamwagia maji ana Nini Cha ziada?
Neno la Mungu ni lile lile. Ninachoangalia hapa ni matumizi ya Neno hilo. Naangalia Kati yao , nani anayelitendea Kazi vizuri, ..period!Sijui unaongea Nini. Unalazimisha mtume na Mwalimu wafanane?.
Bado hata huelewi mambo ya huduma,acha kuongea usiyoyajua,Hawa watu Wana huduma tofauti na utendaji wake tofauti ss unafananisha kitu gani?Experience sio unayoijua wewe...I mean , ya kuwa kwenye huduma kwà muda mrefu.
Mungu anaweza kumchagua mtu leo na akaanza kupiga vizuri sana kushinda hata mwenye miaka 40 kwenye huduma.
#Manifestions
Sijakataa, hata wewe unaweza kuwa hivyo , ...jifungie na uwe serious kusoma bible. Issue ni manifestion ya hilo Neno.Mwakasege sio Mwalimu wa sheria bali Mwalimu wa neno la Mungu.
Hakuna ulinganushi wa huduma, kasome biblia yako, mwalimu na mtume ni huduma 2 tofauti!Neno la Mungu ni lile lile. Ninachoangalia hapa ni matumizi ya Neno hilo. Naangalia Kati yao , nani anayelitendea Kazi vizuri, ..period!