Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Sisi Mtume wetu anafundisha namna human spirit inavyoweza kufanya Kazi kwenye human soul.

Tena anasema, haipendezi hata kidogo human soul KUSHINDWA kuwa connected na human spirit.
Wengi mnaosali kwa MWAMPOSA mna matatizo ya kisaikolojia na wengine mna matatizo ya akili, mimi nna ndugu na jirani akili zao hazipo sawa kwa hio wanamchukulia Mwamposa ndio km MUNGU wao yaani hili ni tatizo kiukweli you feel like your outcasts

Wengi wenu upstairs hampo sawa mna matatizo lukuki yaan mioyo yenu Ina majeraha makubwa sana mioyo yenu inawaka moto kila siku mkilala mnaamka na kilio kipya, kwa Mwamposa mnafuata faraja sio uponyaji ni faraja tu ya neno la Mungu lililotiwa nakshi na udambwi dambwi na bwana Mwamposa maana mkilala mkiamka Mambo yapo vile vile hakuna kinachobadirika

Nakwambia kwa ninaoishi nao waumini wa Mwamposa na nawaona ni kupeleka sadaka tu na kupata faraja ya moyo lakini akiamka kesho Mambo bado yako vile vile nothing changed,

Na nifike mbali kwa kusema wengi wao especially wanawake ni wadangaji wakubwa sana na wanakwenda kupata faraja kwa Mwamposa, wengine ni single mothers wameachwa na wanaume wao

Kwa hio faraja ni kwa Mwamposa si kwamba Mwamposa anatoa uponyaji no hio naipinga maana wengine wamejikatia tamaa ya kwenda kwa Mwamposa sasa hawaendi tena wameamua kubaki tu mtaani maana wanaona wanapeleka tu sadaka na Mambo yao yapo vile vile hakuna kinachobadirika kinachofuata ni kubadiri uelekeo
 
Wengi mnaosali kwa MWAMPOSA mna matatizo ya kisaikolojia na wengine mna matatizo ya akili, mimi nna ndugu na jirani akili zao hazipo sawa kwa hio wanamchukulia Mwamposa ndio km MUNGU wao yaani hili ni tatizo kiukweli you feel like your outcasts

Wengi wenu upstairs hampo sawa mna matatizo lukuki yaan mioyo yenu Ina majeraha makubwa sana mioyo yenu inawaka moto kila siku mkilala mnaamka na kilio kipya, kwa Mwamposa mnafuata faraja sio uponyaji ni faraja tu ya neno la Mungu lililotiwa nakshi na udambwi dambwi na bwana Mwamposa maana mkilala mkiamka Mambo yapo vile vile hakuna kinachobadirika

Nakwambia kwa ninaoishi nao waumini wa Mwamposa na nawaona ni kupeleka sadaka tu na kupata faraja ya moyo lakini akiamka kesho Mambo bado yako vile vile nothing changed,

Na nifike mbali kwa kusema wengi wao especially wanawake ni wadangaji wakubwa sana na wanakwenda kupata faraja kwa Mwamposa, wengine ni single mothers wameachwa na wanaume wao

Kwa hio faraja ni kwa Mwamposa si kwamba Mwamposa anatoa uponyaji no hio naipinga maana wengine wamejikatia tamaa ya kwenda kwa Mwamposa sasa hawaendi tena wameamua kubaki tu mtaani maana wanaona wanapeleka tu sadaka na Mambo yao yapo vile vile hakuna kinachobadirika kinachofuata ni kubadiri uelekeo
Nyie ndo mnaowachanganya...mnawadanganya kuwa Mwamposa ni freemason
 
Chawa wa mwamposya
Sema nini...kiukweli jamaa yupo vizuri...amenyooka....hana mbamba...hajalogwa...kwao hamna hata chizi....upako wake si wa kitoto...yani jamaa ukikuuliza unataka watoto mapacha, hata kwenu kama hakuna mapacha ..unadaka mapacha...we ushaona wapi hii kitu hapa Tz?

Nasemaje? Mwamposa kweli ni bulldozer
 
Sema nini...kiukweli jamaa yupo vizuri...amenyooka....hana mbamba...hajalogwa...kwao hamna hata chizi....upako wake si wa kitoto...yani jamaa ukikuuliza unataka watoto mapacha, hata kwenu kama hakuna mapacha ..unadaka mapacha...we ushaona wapi hii kitu hapa Tz?

Nasemaje? Mwamposa kweli ni bulldozer
Hiyo nimeona Kwa waganga wa kienyeji
 
Hiyo nimeona Kwa waganga wa kienyeji
Sasa unaambiwa hao waganga wa kienyeji ndo wamejazana hapo kwà Mwamposa wakirejesha matunguli yao.

"UPAKO OYEEE" in Makongoro Nyerere's voice
 
Sema nini...kiukweli jamaa yupo vizuri...amenyooka....hana mbamba...hajalogwa...kwao hamna hata chizi....upako wake si wa kitoto...yani jamaa ukikuuliza unataka watoto mapacha, hata kwenu kama hakuna mapacha ..unadaka mapacha...we ushaona wapi hii kitu hapa Tz?

Nasemaje? Mwamposa kweli ni bulldozer
Hata kama mwanamke hajaolewa, mdangaji, anapigwa miti na mume wa mtu, mpagani na hana tumaini lolote la Mungu au kuokoka, yaani wote wa dizaini hiyo wakiwa kwa Mwamposa wanashuhudia kupata watoto au mapacha!

Sasa sijui huo ni ukristo wa namna gani?
Nini tofauti na Uganga?
 
Hahahahahah Mwakasege bana.....

Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.


Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...

Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?

Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!


Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Ninachojuwa Mimi hawa wote Wawili ni Wanyakyusa. Wanyampala Malafyale hawa.
 
Kaandika Neno Sweet....utamuandikiaje Mwanaume mwenzio Neno hilo bana? Na saa hii ni usiku? Unatafuta nini au unataka nini?

Huyo niliyemquote na kumuandikia hivyo wewe unamfahamu ?....

Umejuaje ni mwanaume au alikuonyesha uume wake ?

Au mk***u unakuwasha..?
 
Back
Top Bottom