HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,926
- 6,669
Kwahiyo nikienda kukanyaga mafuta na maji ndo nitakuwa na akili.... Acha nibaki na ujinga wangu..... Ila huyo Mungu mnae fundishwa neno lake huko mtafakarini sana.....Tatizo we mbishi sana. Afu sikua najua kama wewe ni Muha wa Kigoma!