Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Sijakataa, hata wewe unaweza kuwa hivyo , ...jifungie na uwe serious kusoma bible. Issue ni manifestion ya hilo Neno.
Ss kwenye manifestation ndo uwafananishe?🤣
Ww unajua kazi ya mwalimu na kazi ya mtume,nabii, mchungaji, muinjilisti?
Ulijua kazi zao na tofauti zao hutahangaika na hiki umachokitafuta hapa
 
Umeulizwa umeokoka?
Nimeokoka kitambo sana....na nilishaivuka stage ya kusema YESU NI MWOKOZI WANGU....


SASA YESU NI MKOMBOZI WANGU.

Wakati naokoka...

Nilikua namuita Mungu wangu
Halafu baadae nikaanza kumuita Bwana wangu

Kisha akawa MWOKOZI WANGU ,

Na sasa ni MKOMBOZI WANGU.

Sema AYAYAYA
 
Neno linasema,Mungu alimjulisha Musa njia,Wana wa Israel matendo....ukielewa hii tofauti,itakuweka pazuri!
Mwalimu anawafanya watu wamjue Mungu binafsi, wategemea Mungu sio mtumishi!.
Sa sijui unaongea nn!
Ndo maana nakwambia hizo ni huduma 2 tofauti na Kila Moja Ina maelekezo yake!
Mwalimu hata akif Leo watu tunaweza kujisimamia kujiombea sbb tunamjua Mungu na tumefindishwa kuwa njia ni Yesu
 
Shida ya watu hawaelewi kuwa Kila huduma Ina maelekezo yake,hakuna mfanano hata siku moja!
Vile vile zile huduma 5 alizoziqcha Yesu Zinafanya kazi tofauti !

Na km hujui mwamposa anamheshimu sn Mwalimu
Sbb anajua mwalimu ni lango kwenye hii nchi!
Ss hyo mawazo yako ya kwamba anmapond pole sn!
Mwalimu hanaga huo muda kwanza
 
Inawezekana muha pia ila tz hamna udini wala ukabila.
Tunaeleweshana kwa hoja.
Chamsingi soma tena Biblia na uombe. Nishakuelewa hujui hata kama unachokiaminj kinakupeleka wapi.. na nini unatakiwa ufanye uende mbinguni.
God works in a mysterious ways. Ndo maana Yesu akawaambie wale jamaa...wanaweza shangaa Makahaba wako mbinguni na wao wakawa hawako mbinguni...

Sema tena AYAYAYA
 
I trust the teacher more
Je umewahi kumsikiliza vyema Mwamposa? Au bendera fuata upepo....I mean,...

Tangu umeambiwa kuwa Mwamposa ni freemason, ukashindwa kujihakikishia mwenyewe...kabla haujamuhukumu
 
Yes,anatufanya watu tunajua kujisimamia ,tusitegenee watumishi na makanisa !
Imagine angekua ana kanisa na yeye. Do you think ungemuelewa hivyo? Au hujagundua kuwa anasema hayo kwasababu na yeye anajisimamia na kujitegemea? #WakeUp
 
Kwani Kuna makanisa,watumishi ,huduma ngqpi?
Vipi zote unaona zinafanya kazi Kwa kufanana?
Na neno ni lile lile!
Tuanze hapa?
Wengi magumashi....full kupoteza muda wa watu. Wakina Mgogo...full kuchekesha watu....kuhubiri vile vitu ambavyo watu wanataka wavisikie. Bure kabisa!!!

Neno la Mungu lenye mapengo...lisiloweza kung'ata wala kuvunja mifupa
 
Je umewahi kumsikiliza vyema Mwamposa? Au bendera fuata upepo....I mean,...

Tangu umeambiwa kuwa Mwamposa ni freemason, ukashindwa kujihakikishia mwenyewe...kabla haujamuhukumu

I said i trust the teacher more, i am not in the position of judge who is a true man of God and who is not.
 
binafsi i see no difference as long as wote wanamuabudu mungu mmoja
 
Back
Top Bottom