MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
- Thread starter
- #81
Holy Spirit Vs Holy GhostThese are totally two different people.
Holy Spirit Vs Holy GhostThese are totally two different people.
Ufalme ambao upo under Holy Spirit Vs Ufalme ambao upo under Holy GhostUnafananisha vitu 2 tofauti, hao ni watu wanaotumikia falme 2 tofauti kaka...
Utamka nani haya."Kama umeishawahi kuandika maombi kumi na mbili ", ndiyo maana yake hiyo.
Mungu kanituma niyaseme niliyoyaandika. So Mimi ni nani nikatae? Au nimbishie? Je kama ni warningMwaka Jana Mwamposa alifundisha Kuhusu "Hekima ya Mungu", kwa mwezi mzima sijui kama ulipokea chochote kutoka kwenye hilo somo,unahitaji kuomba sana hekima,siioni hekima yako katika hiki ulicholeta hapa.

Hos 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.Hahahahahah Mwakasege bana.....
Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.
Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...
Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?
Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!
Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
machizi nyie mkapimwe mikojo mnaoamini Kuna manabii enzi hizi Tena bongo🤣🤣🤣Neno la Mungu litasimama. He is the alpha & the omega, the beginning & the end, the first & the last...
Hata leo mitume na manabii wanaendelea kuzaliwa.
Usijifunze kwà kutumia Akili zako au kwà kupitia youtube.....utapotea bob!Utamka nani haya.
Yapo maneno ya kishetan pia
upewa hawa wanamuziki hata mitume na manabii mfano neno HITLER,AYE, NK yapo maneno yasiyo na maana lakini urudiwa rudiwa majukwaani au madhabauni hayo maneno yamebeba nguvu za kiroho
Ukiona wachungaji sijui manabii wanasemana sababu kuu ni sadaka ila kila mtu na imani yake bwana mwakasege namkubali sanaa na mwamposa pia ila kusali kanisa langu kkkt siachi
Watu huongamia kwà KUSHINDWA kuyaelewa Maarifa, na pia Kukosa kuyapata mafunuo ya Hekima inayotumika kwenye jambo fulani...
Hos 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
https://www.google.com/url?q=https:...0QFnoECBQQAQ&usg=AOvVaw3XPb1etgM0R0-MJQ2JEXc-
Endeleeni kuwaabudu hao wanyakyusa wawili. Wapeni sandaka watajirike wajenge mahoteli na majumba kwa sadaka zenu. Siku mkipata akili mtajidharau sana
Basi watu wasingekua wanaendelea kuumbwamachizi nyie mkapimwe mikojo mnaoamini Kuna manabii enzi hizi Tena bongo![]()
toka uko chizi weeBasi watu wasingekua wanaendelea kuumbwa
Janja janja au sio? Is that what you mean? Kama ni Kazi rahisi....jaribu na wewe basi?!! Nyomi lote lile?Mwaposa ni tapeli
Hata wa Kibwetere walianza hivyo hivyo mpaka wakachomwa na motoWatu huongamia kwà KUSHINDWA kuyaelewa Maarifa, na pia Kukosa kuyapata mafunuo ya Hekima inayotumika kwenye jambo fulani...
Nimeipaka comment YAKO Mafuta ya upako.....toka uko chizi wee