Mwizi no 1 wa ESCROW huyu hapa

Mwizi no 1 wa ESCROW huyu hapa

Huyu jamaa analeta vichekesho sn maneno kibao kitu alichokusudia kusema hasemi.....! Kila kitu ni udini udini tu..! Anafikiri watu wote tuna akili na mitazamo Km yake! CCM imewafanya vibaya sn hawa watu!
Jamaa huyo ni Mwehu anataka useme sisi ni wezi kwa kosa la mtu binafsi...
 
Aya bhana tutamwambia Yule mama atulipie Hizo pesa...! Teh teh teh teh teh teh teh

Mkuu wa chuo naona unafatilia mambo kwa karibu...! Teh teh teh teh teh......!
Mi nipo nafuatilia naona anaomba msaada kwa Shariff Ritz, wakati huyo jamaa yake yupo kifungoni... waje waanze kuitana jenerali, captain, Al alama, kufyonza ilm, al akhiy, na vituko vyao vingi, mara nipo na tende pembeni na kikombe cha kahawa nikifyonza ilm mujarab...

Huku wakimuona jamaa akitoa pwenti kwa Wagalatia... wakisoma na bayana zake adhimu...
 
Km wewe ni muislamu safi na kwamba islam ni ni dini ya haki na waumini wake ni watu safi na matendo Yao na maneno Yao kwamba ni safi na hawasemi uongo Au kumdhuria mtu uongo....! Naomba Leo ulete ushahidi wa kauli yako kwamba Km angekua ametenda huo Wizi mtu wa Imani ingine mimi ningeshupaa kumtukana.... Nauliza na ninaomba ulete ushahidi ni wapi Mimi niliwahi kumtukana mtu Au kumshambulia mtu kutokana na ufisadi kwa kupitia Imani yake?

Tafadhali lete ushahidi

Unaniimbia Kwaya! MSABATO!

Wewe na Huyo kibaka Lenu ni Moja!
Mnajenga Hayo makanisa Kwa PESA za WIZI!
Huyo Helen Ndio Aliwafundisha hivyo?
Au Wasabato Kusema Ukweli Ni Dhambi?
Wewe kipi Kinakuzuia Kusema Kuwa Huyo MSABATO MWENZAKO NI MWIZI na ARUDISHE pesa Zetu?

Wabaya sana nyie mnaoabudu siku ya kunywa Mbege! Na MAPUYA!
 
Mpaka sasa sijalewa nani kaibiwa na nani ni mwizi katika hii kashfa ya escrow. Kitu nasikia kuna watu wamepokea mabilon pasipo sababu za malipo hayo

Kikichoibwa ni kodi na gharama za umeme ulizokuwa ukilipa Tanesco wewe na ndg zako...ama unatumia solar power wewe?!
 
We msabato mwenye Sura mbili Hebu Onyesha Uzi MMOJA TU unaoonyesha kuwa MIMI natetea CHAMA CHOCHOTE KILE!

Mimi Sio mwana siasa! Full stop.

Lkn Nyie wagalatia WAKIIBA MAPADRI mnakalia mikia yenu Mnaibana Kabisa kwenye Makalio yenu Isionekane.
Lkn Kasheshe Ndogo tu Akiifanya Mtu mwenye Jina tu la Kiislamu mnaanza Kuhara ovyo.

Shariff Ritz Hebu Naomba Ile LIST ya MAPADRI WEZI tuiweke hapa Ili Huyu Mgalatia wa Jumamosi Aione.

KIONGOZI wake AMEKWIBA halafu badala ya yeye KUMKEMEA anaamua Kuturushia mpira sisi na Rais wa Nchi.
Mara Waziri wa Fedha.
Yaani UNAFIKI wa wazi kabisaaa.

We Ntuzu Utakuwa na Asili Ya Kiha! Manake Wasukuma Sio Sura mbili km wewe!
We umezidi Unafiki aisee.

View attachment 205380View attachment 205380
 
Last edited by a moderator:

Kwenye Hii Issue UDINI lzm UWEPO.
Majizi wote hapa Kwanza wana majina ya WAKRISTO.

Na ndani ya Hio LIST WAMO MAPADRI.

Sasa PADRI AKIIBA we utasemaje hapo?
Mi Nasema PADRI KAIBA!
We km Utamuita MTAKATIFU JOSEPH ni Juu yako.
Kwangu mimi MWIZI abadan Hawezi kuwa mtakatifu wala Mtakatisa!

View attachment 205383

Soma LIST Ya VIBAKA hio Uone mwenyewe Kina baba Ntuzu na baba Mkuu wa chuo walivyojaa humo.
YAANI ni wala Viti moto kwenda mbele.


Askofu Method Kilaini kachukwa milioni 80

Askofu Eusebius Nzigir kachukuwa milioni 40.
Ntuzu msabato bado ANAPIGA VIGELEGELE!


WAKRISTO wametuibia jamani!
Tunataka Serikali Iwaweke Ndani Wanyama hawa wasio na Huruma Na taifa letu.

Matumbo yao YAPASUKE was Kula vya HARAMU.

Sema Amen. Km wewe unaitakia Mema Nchi Yako TZ.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi ni 'mgalatia' lakini

Teh teh teh!
Mkuu dawa ikitolewa inabidi wote mmeze tu!
Vumilia.
Wacha tuseme ukweli. Manake MAPADRI wanakausha Nchi!

We watu wanajiita watumishi wa Mungu halafu Wanakatiwa MAPADRI WATATU JUMLA YA shs Milioni 170!!! HIi si LAANA hii???

Hebu fikiri hio pesa Ingeboresha HOSPITALI kuu ya Muhimbili Kiasi gani!

MAPADRI HAWA MUNGU AWALAANI.

Sema Amen mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Kwenye Hii Issue UDINI lzm UWEPO.
Majizi wote hapa Kwanza wana majina ya WAKRISTO.

Na ndani ya Hio LIST WAMO MAPADRI.

Sasa PADRI AKIIBA we utasemaje hapo?
Mi Nasema PADRI KAIBA!
We km Utamuita MTAKATIFU JOSEPH ni Juu yako.
Kwangu mimi MWIZI abadan Hawezi kuwa mtakatifu wala Mtakatisa!

View attachment 205383

Soma LIST Ya VIBAKA hio Uone mwenyewe Kina baba Ntuzu na baba Mkuu wa chuo walivyojaa humo.
YAANI ni wala Viti moto kwenda mbele.


Askofu Method Kilaini kachukwa milioni 80

Askofu Eusebius Nzigir kachukuwa milioni 40.
Ntuzu msabato bado ANAPIGA VIGELEGELE!


WAKRISTO wametuibia jamani!
Tunataka Serikali Iwaweke Ndani Wanyama hawa wasio na Huruma Na taifa letu.

Matumbo yao YAPASUKE was Kula vya HARAMU.

Sema Amen. Km wewe unaitakia Mema Nchi Yako TZ.

AMEEEN, yaani naona wamejichagua na kuamua kukomba peke yao na kutuachia umaskini lakini hii itadhihirika zaidi siku moja mbele ya haki, hii ni dunia tu ya kupita nao wataziacha tu yaani hela, majumba, vyote walivyonufaika navyo kwa njia ya haramu havitawasaidia ipo siku watajuta wala isikupe homa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh!
Mkuu dawa ikitolewa inabidi wote mmeze tu!
Vumilia.
Wacha tuseme ukweli. Manake MAPADRI wanakausha Nchi!

We watu wanajiita watumishi wa Mungu halafu Wanakatiwa MAPADRI WATATU JUMLA YA shs Milioni 170!!! HIi si LAANA hii???

Hebu fikiri hio pesa Ingeboresha HOSPITALI kuu ya Muhimbili Kiasi gani!

MAPADRI HAWA MUNGU AWALAANI.

Sema Amen mshana jr

Ningeunga mkono post yako kama usingehusisha udini na ukabila
 
Last edited by a moderator:
Jamaa huyo ni Mwehu anataka useme sisi ni wezi kwa kosa la mtu binafsi...


Tena Huyu jamaa ni Zaidi ya mwehu.... Ata anavyoandika inaokena vidole vinamtoka jasho...! Anakomaa na Wasira kwani aliambiwa Huyo Wasira ni mchungaji wa kisabato? Na alivyo fyatu nimekua namuonya Muda mrefu kwamba anakotaka tufike mi sitaki ingawa nazifahamu vzr rangi zange na Imani Yake vzr....! Sasa hajiulizi CAG Huyo ni Imani gani? Kwanini ripoti Yake wamehaha kutaka kuizima?
 
Kipi hicho hebu niambie na Mimi nikifahamu? Alafu ufatilie hoja zake zote ata alizokua anawajibu wengine uone ni nini anasimamia? Yeye anataka kuniingiza kwenye ngoma ambayo Siku zote Mimi naipinga na Yeye anaishabikia....! Sasa iweje leo aje aniombe niipinge hiyo ngoma Wakati nilipokua nikiipinga Yeye alikua anaicheza?

NI dini tu ila mengine yote mko poa kwa hoja,mitizamo,matamanio na mengine
 
Mi nipo nafuatilia naona anaomba msaada kwa Shariff Ritz, wakati huyo jamaa yake yupo kifungoni... waje waanze kuitana jenerali, captain, Al alama, kufyonza ilm, al akhiy, na vituko vyao vingi, mara nipo na tende pembeni na kikombe cha kahawa nikifyonza ilm mujarab...

Huku wakimuona jamaa akitoa pwenti kwa Wagalatia... wakisoma na bayana zake adhimu...



Anafikiri watu tuna akili za kushikiwa Km zake kwamba alete hoja uchwara tu basi mtu ujae kichwa kichwa... Hawa jamaa zake wenyewe wanaogopa kutia mguu ktk hii thread kwasababu wanajua chama chao cha magamba wanachoshabikia na unafiki wao hakifai kabisa na Mara zote Nilikua nawambia kipindi kile napenda siasa... Sasa waache wavune waliyopanda....! Kila kitu udini udini tu....! Alikua kajificha hataki kusema nini kusudio lake kumbe watu tunaona Mpk kwenye akili Yake si Huyo unamuona kajaa na udini wake... Eti ktk list yote hakuna jina ata moja la muislamu akiwa na maana kwamba waislamu wote ni wasafi.... Uongo uongo tu...!
 
NI dini tu ila mengine yote mko poa kwa hoja,mitizamo,matamanio na mengine



Basi ktk swala Km hili la kisiasa tuweke dini pembeni...! Ndio tutajadili vzr... Lkm Km atajificha ktk uvungu wa dini yake na Mimi ntafanya hivyo hivyo...!
 
Basi ktk swala Km hili la kisiasa tuweke dini pembeni...! Ndio tutajadili vzr... Lkm Km atajificha ktk uvungu wa dini yake na Mimi ntafanya hivyo hivyo...!

Hakika yawe mbali kabisa na mtakubaliana katika mambo mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom