ASKOFU WAWILI na MCHUNGAJI 1 Wameiba MALI za Wananchi wa NCHI YAKO.
We ulitaka Niandike Vipi wakati Mpaka ACCOUNT ZAO kwenye Hio Benki ya KANISA zimeandikwa
Askofu Method kachukwa milioni 80
Askofu Eusebius Nzigir kachukuwa milioni 40.
MCHUNGAJI Alphonso Twimman kachukua Mil 40.
HAWA NI VIONGOZI wa UKRISTO.
Full stop.
Na WAMEIBA kwa Kupitia huo huo UKRISTO.
Vipi Unasema Tusitaje DINI YAO wakati Wao wenyewe Ndio WAMEITUMIA KUTUIBIA??
Waambie Warudishe Pesa za Wananchi.
Hivi hayo MAKANISA bila wizi Hayawezi Kwenda?
Mbona Mnakuwa Wagumu Kuelewa?
Kanisa Halina Mikono ya Kuiba. Bali Viongozi wake ndio WEZI.
Na Kwa Tafsiri ya Wakristo Wenyewe KANISA sio JENGO bali Ni MTU.
Kwa maana hio basi HAPA MAKANISA YAMETUIBIA!
Au hawa kina
Mkuu wa chuo cha machizi na Huyu Msabato Mficha wezi
Ntuzu au wale kina dada
Telefunken aka
TanzaniaLaw au Paroko
Eiyer n.k Leo Watakataa kuwa maana zao za KANISA sio MTU TENA?
manake Kuwa Mgalatia Lzm Uwe na tabia Km Ya KINYONGA.
NO Offence pal.