Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Unaniimbia Kwaya! MSABATO!
Wewe na Huyo kibaka Lenu ni Moja!
Mnajenga Hayo makanisa Kwa PESA za WIZI!
Huyo Helen Ndio Aliwafundisha hivyo?
Au Wasabato Kusema Ukweli Ni Dhambi?
Wewe kipi Kinakuzuia Kusema Kuwa Huyo MSABATO MWENZAKO NI MWIZI na ARUDISHE pesa Zetu?
Wabaya sana nyie mnaoabudu siku ya kunywa Mbege! Na MAPUYA!
Huna hoja wewe muongo mkubwa wewe..., unajifanya muislamu kumbe hovyo kabisa.... Unasema uongo hadharani unaombwa ushahidi kuinusuru nafsi yako kwa uongo uliosema unashindwa kuleta na kuleta tantalila zako hapo...! Ungekua na hekima ungetulia kabisa wala usijibu hiyo post..., muongo mkubwa wewe..!