Mwizi no 1 wa ESCROW huyu hapa

Mwizi no 1 wa ESCROW huyu hapa

Ndio sisi watanzania Sasa! Tufanyeje?
Si ndio nikakwambia wewe ni Mkuu wa chuo cha machizi?

Siku watz Tulionyang'anywa na Nyie WAKRISTO tukija kuamua Cha kufanya Ntakubipu. We nipe Address unapoishi tu na nyumba namba.
Ntakuja mwenyewe na Shada la maua Kukuvisha.
Wakati mnanyanganywa mnaangalia tu, au mlikuwa mmefungwa kamba!? ndio maana mnaonekana nyie ni wachovu... mwenye nguvu mwite Power...
 
Teh teh teh!

Naona leo mihogo mikavu Inakusumbua.
MSABATO KAIBA we bado Unajifanya Huelewi.
Kikubwa kadamnasi Imekusoma ya kuwa HUJAKEMEA hata kidogo tendo hili bali Unaruka ruka tu.

Siku Nikikuona Unashabikia Uzi wa Mtu wa Imani Ingine Aliyefanya Makosa km haya badi Urafiki unakufa Jumla.
Na wewe utaingia ktk Lile kundi la Telefunken au Ishmael.
Ni bakora tu kwenda mbele.



Mbona unaleta vichekesho wewe? Unataka upewe majibu gani Zaidi ya hayo niliyokupa?

Wakati nakemea mabaya ya CCM kwa ujumla ambayo na Huyo unaedai ni msabato yumo CCM, si wewe na wenzako ndo mlikua mnashabikia siasa chafu za udini na ukabila na ukanda na ndicho unachotaka kufanya hapa sasa? Sasa Unataka nikemee nini tena? Chezeni ngoma mnayoishabikia! Mimi niko pembeni nawaangalia tu!
 
Last edited by a moderator:
Alafu wewe kahtaan usinifanye nikatoa maneno mengine hapa tuanze kupishana!!
 
Last edited by a moderator:
We cheka tu! Leo Amekwiba MSABATO we unakaa Pembeni!
Kesho akiiba MKATOLIKI Unaanza kupiga vigelegele.
I am watching you now!

Mkuki kwa Nguruwe kwa binaadamu mchungu.



Wizi ni Wizi tu iwe kafanya msabato au sijui mpagani ni Wizi tu!
 
Alafu wewe kahtaan usinifanye nikatoa maneno mengine hapa tuanze kupishana!!

Teh teh teh!
Bagesha Leo nimekubana pabaya mno.
Unajua kuwa ktk zile nyuzi za vibaka wa kikatoliki na Balaa zao Mimi huwa nakuwa upande wako na rafiki yangu wa karibu sana Bwana lusungo lkn leo Kibao Kimegeuka.

Na wewe japo ni Msukuma Mwenzangu Lkn Kwenye ukweli Ni Sichagui, nakupa kavu kavu tu.

Km nilidiriki kusema Yule Shehena mkuu wa BAKWATA ni Kibaraka Tu wa Ccm ambae kawekwa hapo kwa maslahi ya CCM basi Huyu MWIZI WA KISABATO sintomuonea Haya hata Kidogo.

Sura yake Mbovu ka tabia zake.
We km Umekereheka Kanywe Mapuya kidogo Utatulia tu.
Ukweli tatizo lake UNAUMA! ee baba!
USABATO ninaoufahamu mimi HAKUNA wizi Lkn Kumbe WAMO!
Na Waliomo WANAIBIA wananchi Maskini kabisa.
Kumbe afadhali GWAJIMA!
yeye anaibia Watoa Sadaka Halafu anatafuna wale wanaolegea legea.

Huyu MSABATO KAIBA Pesa Zenye Kuweza kulisha Mkoa wote WA MWANZA na Shinyanga Kwa MWAKA mzima WALI NA KUKU kwa Juice ya MAEMBE.

HAIFAI namna hii.
Huyu sisi wasukuma Tuna MTULIJJA KABISAAAA!
 
Last edited by a moderator:
Alafu wewe kahtaan usinifanye nikatoa maneno mengine hapa tuanze kupishana!!

Halafu ntuzu mi nataka Tupange siku mimi na wewe tupelekeshane mpaka tuone nani Mwenye hoja na nani mwenye Kuhorojeka.
Manake siku nyingi Hatujaingia Ulingoni.
Au we unasemaje! Manake naona Vitisho vyako vingi siku hizi.
 
Last edited by a moderator:
Hapa nasikea kama harufu ya moshi wa bangi au ni pua langu la kibantu
 
Sawa sisi watanzania Kuibiwa na Nyie WAKRISTO kwa Kusaidiwa na Benki ya Kanisa Mnatuona Sisi wajinga.
Iko siku Hao wezi wote mnaowasifu kuwa Mahodari Mkono wa sheria Utawatia mbaroni.
Na hapo ndipo mtakapo tambua nguvu ya Dola Ni kitu gani.

Siku hio ikifika mtaimba hizo kwaya zenu wakati mko nyuma Ya Zile Nondo za keko na Ukonga.
Wakati nyie mnaibiwa mlikuwa wapi!? halafu ni wapi nilipowasifu wezi!? Halafu hizo hela unazodai mimi mwenyewe sijapata huo mgao...
 
Halafu ntuzu mi nataka Tupange siku mimi na wewe tupelekeshane mpaka tuone nani Mwenye hoja na nani mwenye Kuhorojeka.
Manake siku nyingi Hatujaingia Ulingoni.
Au we unasemaje! Manake naona Vitisho vyako vingi siku hizi.
Hahahahahahah...
 
Teh teh teh!
Bagesha Leo nimekubana pabaya mno.
Unajua kuwa ktk zile nyuzi za vibaka wa kikatoliki na Balaa zao Mimi huwa nakuwa upande wako na rafiki yangu wa karibu sana Bwana lusungo lkn leo Kibao Kimegeuka.

Na wewe japo ni Msukuma Mwenzangu Lkn Kwenye ukweli Ni Sichagui, nakupa kavu kavu tu.

Km nilidiriki kusema Yule Shehena mkuu wa BAKWATA ni Kibaraka Tu wa Ccm ambae kawekwa hapo kwa maslahi ya CCM basi Huyu MWIZI WA KISABATO sintomuonea Haya hata Kidogo.

Sura yake Mbovu ka tabia zake.
We km Umekereheka Kanywe Mapuya kidogo Utatulia tu.
Ukweli tatizo lake UNAUMA! ee baba!
USABATO ninaoufahamu mimi HAKUNA wizi Lkn Kumbe WAMO!
Na Waliomo WANAIBIA wananchi Maskini kabisa.
Kumbe afadhali GWAJIMA!
yeye anaibia Watoa Sadaka Halafu anatafuna wale wanaolegea legea.

Huyu MSABATO KAIBA Pesa Zenye Kuweza kulisha Mkoa wote WA MWANZA na Shinyanga Kwa MWAKA mzima WALI NA KUKU kwa Juice ya MAEMBE.

HAIFAI namna hii.
Huyu sisi wasukuma Tuna MTULIJJA KABISAAAA!



Umbane nani wewe kahtaan kwa lipi Hilo hasa? Umekuja mbio maneno kibao unazunguka Mara hivi Mara vile mi nakupa majibu ya wazi kabisa sema Unataka kusema nini? Unaleta vichekesho tu Wakati nyie ndo mahodari wa kushabkia CCM na mafisadi na siasa chafu! Unataka nikemee nini? Au mnatafuta njia ya kusafisha chama chenu?

Ulishawahi kuona nakuita ukae upande wangu? Siku zote Mimi mwenyewe binafsi ntasimama ktk Imani yangu tu nakushangaa wewe hua unafata nini upande wangu?
 
Last edited by a moderator:
Halafu ntuzu mi nataka Tupange siku mimi na wewe tupelekeshane mpaka tuone nani Mwenye hoja na nani mwenye Kuhorojeka.
Manake siku nyingi Hatujaingia Ulingoni.
Au we unasemaje! Manake naona Vitisho vyako vingi siku hizi.


Huna hoja wewe na hauelewi kitu wewe kahtaan. Km nakupa majibu yaliyowazi na hauyaelewi ndo utakuja kuleta hoja zenye Mashiko kweli? Au ndio zile swaga zako za kila Siku?

Nani anashida ya kukutisha wewe tayari ulishatishwa ukatishika? Eti unatishia kuvunja urafiki! Ivi wewe unaifahamu Imani yako kweli au unaleta vichekesho? Tangu lini Imani ya kiislamu ikafundisha kua na marafiki wakristo? Unaweza ukasimama mbele ya watu ukasema wewe ni rafiki yangu kweli? Km sio unafiki ni nini?

Huna hoja kabisa wewe....!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahah...



Huyu jamaa analeta vichekesho sn maneno kibao kitu alichokusudia kusema hasemi.....! Kila kitu ni udini udini tu..! Anafikiri watu wote tuna akili na mitazamo Km yake! CCM imewafanya vibaya sn hawa watu!
 
Hana hoja jamaa yako na hoja zake za udini kwa kila kitu!

Hapana mimi naona kama namuelewa ila kuna kitu kidogo sana kila mtu kashikilia,kwamba nikikubali nitaonekanaje hii ni kwa pande zote mbili ila mambo mengi mnakubaliana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom