kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,173
- 11,622
Mkuu wa chuo cha waliberali make up your mind!Hahahahahah kahtaan inabidi akomae na ka duka kake achome chome vi udi, asubiri na wateja wa kuwapigia falaq, akombe kombe na vile vi michango vya wenzake ili aje awakomeshe na Wagalatia kwenye mitandao, yeye na mwenzake Gavana, maana wenzao ndio wanawaamia ati hawa ndio viboko ya Wagalatia...
awasubiri na wateja wake wa Al Badr na visomo, sijui kama hata huko ulaya anapata wateja maana wazungu sidhani kama wana huo ujinga, yeye akomae na kuogesha vikongwe tu huko... mambo ya siasa za Tanzania aachane nazo tu...
Sasa kahtaan ana duka? Au anaosha mama zake na yule mungu wako wa msalaba?
Msigeuze mada hapa.
MAPADRI NA MMASKOFU wameibia WANANCHI WA TANZANIA na Kusababisha Mateso Kuongezeka kwa Wananchi.
Wewe na Hao wanafunzi wako waliberali MNASEMAJE kuhusu Hilo SUALA?
Last edited by a moderator: