Nifunguke kuhusu nini? Hebu Nisaidie. Na ktk hili hakuna kilichonigusa.
Kwa kauli yako hapo juu una maana HUYU MSABATO anaetuhumiwa kuiba pesa za wananchi we hata Hujali sio?
Asante sana Mwana wane. Naendelea kusoma tabia zenu.
Basi mi nikadhani Wasabato wapenda ukweli. Kumbe kazi yenu kuwadadavua wAlokole tu! Issue ikiwa ya wasabato wenzenu Aaaaaa! Haikigusi.
Wabheja sana.
Bagesha Nakumanya Mudogo mudogo
Najiuliza sana jamani, Hivi haya yanayotokea hapa kwetu yanatokea hata nchi zingine? Mbona nchi hii inakuwa kama nchi ya kusadikika? Nagikiri hivi karibuni tutaingia kwenye rekodi ya nchi yenye maajabu ya kiutawala na utendaji duniani. Watu wachache wanapiga mihela mingiiii halafu hakuna hatua zozote zinazoweza kuchukuliwa dhidi yao. Ee Mungu tufungue macho sisi watanzania tuyaone haya.
Wewe rafiki yangu unafurahisha sn. Lkn hicho unacholazimisha Mimi kukijadili Hapa siwezi. Haya mambo ya siasa nimeshawaachia nyie muwe mnayajadili muwezavyo...!
Lkn ktk maswala km haya ya ufisadi hakuna cha Waislamu Au Wakristo.... Wote mafisadi tu...! Kiongozi Mkuu wa nchi hii ni dini gani? Makamu wake Na yeye? Jaji Mkuu waliokwenda Marekani? Unataka kuniambia vidagaa km kina Huyo unaedai ni msabato walijichotea pesa bila hawa wakulu wa juu kufahamu?
Kwa hivyo unataka kusema AIBE JOSEPH alaumiwe JUMA sio?
Halafu unasema HuTaki siasa.
Rais na makamu wake wameingiaje hapo.?
Ndio udadavue sasa, sio Kurusha maneno tu halafu unawaacha wasomaji ktk vichwa vya habari.
Km Rais Kahusika Au Makamu wake au Jaji Mkuu Weka MAMBO HAPA Jukwaani Watu wakusome.
Ndioa maana hasa ya hili JUKWAA kuwepo HAPA.
Sio kurusha maneno ka Wale kina mama. Halafu ukitoa uso nje wanaingia ndani na kufunga milango.
Funguka sasa RAIS kaingiaje hapa?
Na Je Huyo MSABATO mwenzako Vipi? Unaweza kumfikishia Ujumbe Kuwa WATANZANIA tunataka MALI ZETU ALIZOIBA ARUDISHE.
Au USABATO WAKE ni UNAFIKI TU na Wote Wanaomtetea.
Unachotaka kulazimisha Mimi nijadili Hapa nimeshakwambia siwezi. Na Hiyo mijadala nimeshawaachia nyie kule ktk majukwaa ya siasa.
Lkn kile ulichotaka kumaanisha kwamba Waislamu ni wasafi sio kweli kamanda....! Waziri wa fedha ni dini gani? Pesa zinaweza kupigwa bila yeye kufahamu?
Ktk hili waislamu na wakristo Au sijui huyo unaedai msabato hawachomoki...! Nafikiri umenielewa..!
anajiita mlokole wa kisabato
Wadada wakionesha kifua mnasema wanavunja maadili, haya na hapa minyoya yote nje wakosoaji mtasema nini?
Wadada wakionesha kifua mnasema wanavunja maadili, haya na hapa minyoya yote nje wakosoaji mtasema nini?
Mwingine huyu hapa........
View attachment 205004
chakula ya baba na chakula ya mtoto ipi ina heshima zaidi?Mkuu ile ni chakula ya mtoto ina heshima yake....
chakula ya baba na chakula ya mtoto ipi ina heshima zaidi?
Huku mijini mawe maana yake FEDHA za uhakika. Kumbe ameChukua Chake Mapema....profesa wa mawe kumbe mwizi tu
hivi amejioaka nn usoni?Wadada wakionesha kifua mnasema wanavunja maadili, haya na hapa minyoya yote nje wakosoaji mtasema nini?