Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,268
sauti ya yakobo, mikono ya esauSiku hizi ndio zao wanatumia makanisa na misikiti kuficha uchafu wao kwa kutoa sadaka kubwa hadi wachungaji wanaduwaa,wakati hata sura haionyeshi kumuogopa Mungu
sauti ya yakobo, mikono ya esauSiku hizi ndio zao wanatumia makanisa na misikiti kuficha uchafu wao kwa kutoa sadaka kubwa hadi wachungaji wanaduwaa,wakati hata sura haionyeshi kumuogopa Mungu
Ingekuwa sensitive isingetolewa kunyonyesha mtoto ndani ya daladala, ushawahi kuona mwanaume anapewa chakula yake ndani ya daladala?Chakula ya mtoto bwana ndo sensitive
Aliwhi kuugua ukoma wa ngozi ya uso. Mpaka sasa anatumia dozi na ndiyo inayomfanya wakati mwingine akiwa bungeni asinzie. Hiyo ni kwa mujibu wa maelezo yake aliyoyatoa miaka kadhaa kuhusu kusinzia bungeni...hivi amejioaka nn usoni?
Ingekuwa sensitive isingetolewa kunyonyesha mtoto ndani ya daladala, ushawahi kuona mwanaume anapewa chakula yake ndani ya daladala?
Mkuu wamama wanaojielewa wenye ufahamu nini madhara ya kuweka nje chakula ya mtoto humnyonyesha mtoto faragha, hata kama yuko kwenye daladala basi mtoto na titi watafanya yao wakiwa ndani ya mtandio,kitenge au kanga.Hahahahaa mkuu ukishasema chakula ya mwanaume umehusisha faragha sasa kwenye daladala sio faragha
Kuna dini inayoruhusu wizi!? Wizi ni tabia ya mtu...Ngoja nimuite msabato mwenzake hapa aje atusaidie.
Mi basi nikadhani WASABATO waungwana Kumbe wao na Wakatoliki baba mmoja Mama wawili!..duhh!
Calling Ntuzu mwana wa Mkuu wa chuo cha machizi ibn paroko mpenda makalio Eiyer.
Mwingine huyu hapa........
View attachment 205004
We hata ukikataa Mi ntakuuliza tu.
Hakuna aliyesema Waislamu WOTE wasafi. Hilo umesema wewe!
Hapa Tunamdadavua MSABATO km Wewe mkuu. Kwanini hutaki hata KUKEMEA alichokifanya huyu NDUGU YAKO?
Hayo ya Waziri wa fedha yamefikaje hapa?
Nataka kuskia Kauli YAKO kuhusu HUYU MSABATO ambae huwa Mnajiita WAKWELI.
Mbona leo Mkuu UKWELI umeukalia?
Kemea Hapa Usilete kona.
Teh teh teh teh!
Wanaijiita Waislamu wakifanya Balaa Mimi nakemea Wazi.
We unarusha Mpira?
Dahhh!
Kuna dini inayoruhusu wizi!? Wizi ni tabia ya mtu...
Na hio yako inayosema "aliyenacho ATAONGEZEWA na Asienacho ATANYANG'ANYWA.
Haya chakachua hapo tuene je KUNYANG'ANYA kwa KIKRISTO ni KUIMBA KWAYA?
Tanzania ni shamba la bibiNajiuliza sana jamani, Hivi haya yanayotokea hapa kwetu yanatokea hata nchi zingine? Mbona nchi hii inakuwa kama nchi ya kusadikika? Nagikiri hivi karibuni tutaingia kwenye rekodi ya nchi yenye maajabu ya kiutawala na utendaji duniani. Watu wachache wanapiga mihela mingiiii halafu hakuna hatua zozote zinazoweza kuchukuliwa dhidi yao. Ee Mungu tufungue macho sisi watanzania tuyaone haya.
Sasa hoja yako ilikua nini hasa baada ya Wasabato na wa RC kuwaweka chungu kimoja? Hapo Maana Yake ulitaka kutuambia Kua waislamu wasafi kwasababu hakuna alietajawa...!
Wakati ule napenda mijadala ya siasa Nilikua napiga kelele sn Kua CCM Yote haifai kwa mambo Yake mengi yasio mazuri.... Lkn sio nyinyi na wenzako ndo mlikua mnashabakia CCM na siasa zake chafu za Udini
Na ukabila na kuwagawa watu sasa iweje Leo unitake nikemee haya? Nyie endeleeni kucheza ngoma ambayo mlikua mnaishabikia.
Sasa km waislamu wote sio wasafi Huoni km Hiyo kauli yako ni Jibu tosha kwa kile unachokomalia kwa huyo unaedai msabato?
Dini yako INARUHUSU KUNYANG'ANYA!
Hilo halina mjadala.
Au unabisha?
na huyo anayenyanganywa inabidi afanyaje!?
Maneno meeengi lkn bado unazunguka palepale tu.
Labda nikupeleke taratibu.
Je!Huyu mwizi wa mali ya ummah ni MSABATO au La!
Huna hoja wewe ktk hili! Sema tu ni nini umekusudia ktk huo usabato wa huyo jamaa!