Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
".......mbona vituo vingine kama DTV, chanel Ten nk vimerusha kile kilichojiri bila upendeleo"
*********************
M-Bongo:
Hivyo vituo vinamilikiwa na akina Tanil Somaya na Rostam, iwapo hauna habari. Kwa nini wasiwaalike wanahabari wao tu?
*********************
M-Bongo:
Hivyo vituo vinamilikiwa na akina Tanil Somaya na Rostam, iwapo hauna habari. Kwa nini wasiwaalike wanahabari wao tu?