Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
jk tunakupenda , jiokoe na kundi la mafisadi kunagaubaga before it is too late!!!!!tatizo kubwa ni kuwa, joto la moto uliowashwa dhidi ya ufisadi unazidi kuwakaribia mafisadi wote. Hii ndio sababu zinatafutwa kila mbinu za kuuepushia mbali ili joto lake lisije waoka.