Mwitikio wa Serikali na Wengine juu ya Mengi kutaja mafisadi!

tatizo kubwa ni kuwa, joto la moto uliowashwa dhidi ya ufisadi unazidi kuwakaribia mafisadi wote. Hii ndio sababu zinatafutwa kila mbinu za kuuepushia mbali ili joto lake lisije waoka.
jk tunakupenda , jiokoe na kundi la mafisadi kunagaubaga before it is too late!!!!!
 
Bottom line ni kwamba S Simba and G Mkuchika wametoa maoni yao kama mawaziri wa ziwara zao na sio tamko la serikali..... Serikali ya Tanzania itoe tamko hafifu kama hilo?? Whom am I kidding, it is an alinacha style of Govt anyway!!!

This is the saddest thang that has happened to Tz in its more than 45 years history...... we need some help and faaaast!!!

Morani, mmoja ni Waziri wa Utawala Bora na mwingine wa Habari, Utamaduni na Michezo. Wizara zao zinahusika moja kwa moja na Mengi na kile alichokisema. Na walipozungumza walizungumza kama Mawaziri wa serikali na hivyo kusema kwa jina la serikali. Kimsingi tunaweza kusema "Serikali yasema Mengi Kachemsha"!

Sasa hao ndio mawaziri wetu a.k.a ndiyo serikali yetu.
 
Yangu macho...Movie ndio kwanza inaanza... Ngoja nichukue Popcorn zangu kopo za Tusker niangalie... Mpaka 2010...Zitaibuka Movie nyingi tu...
 
Mi nadhani huyu sofia simba ni hawara ya rostam aziz kwa sababu kama ana akili asinge tetea wahindi wanaoiba mali ya watanzania maskini na kupeleka canada na kwingineko. Hivi huyu mama ana mume kweli??au ana mume *****?? si ajabu rostam ndo ngoma yake!!!

Ah.... mpaka inachefua. Hivi rais alitoa wapi viwaziri pambafu kama hivi???

usichukia sana MKUU,HAWA JAMAA NI WA MPITO TU.historia itawahukumu
 
Morani, mmoja ni Waziri wa Utawala Bora na mwingine wa Habari, Utamaduni na Michezo. Wizara zao zinahusika moja kwa moja na Mengi na kile alichokisema. Na walipozungumza walizungumza kama Mawaziri wa serikali na hivyo kusema kwa jina la serikali. Kimsingi tunaweza kusema "Serikali yasema Mengi Kachemsha"!

Sasa hao ndio mawaziri wetu a.k.a ndiyo serikali yetu.

Mkuu M.M.M, sikatai hili lakini tukumbuke siku kadhaa kama sio miezi kadhaa iliyopita same scenario ilitokea (Mengi vs Masha in feb/Mar 2009 kama sikosei)... huyu kijana alisema kama waziri wa mambo ya ndani!!!! issue ika backfire, sasa hawa wengine wawili pia wapo in the same chanel na sitashangaa kama iki backfire watakimbia... ninacopata hapa ni kwamba kuna kitu inaitwa "nani amfunge paka kengele".... na hawa so-called Mawaziri wetu wanajaribu kujitutumua mbawa kuona kama upande wa pili watagwaya, nimjuavyo mzee Mengi, itakuwa kama ile ya "Waziri Kijana"....... hii inaitwa tisha toto tu hakuna lolote wala si chochote....

Eti serikali, serikali ipi?? ya watu wapi?? kwa ajili ya nani?? kuweza fanikisha nini??? bottom line ni...... its all a game ya kujificha (kombolela ya watoto wa enzi zetu sio wa tv na game watches)!!!!
 
Mawaziri ni mawaziri katika serikali gani? Na kama wametoa tamko official linakuwa tamko la nani?

Mkuu Blura....., una uhakika kuwa lile ni tamko la serikali?? nani kasema?? Mbona issue ya Mkulo kule Kilosa on DECI halikuwa tamko rasmi na PM alilikata matumbo na kusema "MKULO ALIKUWA NI IGNORANT ON THAT??".... Jamani, kuna matamko ya Serikali na kuna matamko ya Mawaziri kama wanasiana/wabunge na kujisahau kuwa ni mawaziri... kumbukeni issue ya Masha vs Mengi in March 2009.... kibaya zaidi baada ya Kishapu mimi kidogo nimepata mfadhaiko wa akili kwamba umdhaniaye ndiye kumbe siye na siye kumbe ndiye.......

Bottom line ni kwamba wameongea wa habari na utangazaji (blah blah blah) na pia wa uongozi bora.... Mengi sio kiongozi hence hii haipo kwenye neither of the ministries zilizoongea......... nangoja Mambo ya Ndani waongee au Sheria, else...... hii ni danganya toto kama the rest of the stories....
 
Na Manyerere kaandika hivi:

Reginald Mengi ni msafi kiasi gani?

Na Manyerere Jackton

NILIANZA kumjua Reginald Mengi, mwanzoni mwa miaka ya 1990. Siku moja, tukiwa nyumbani Msasani, alifika getini. Akazungumza na walinzi. Akaangaza huku na kule kutazama mandhari ya mahali hapo ambako ni nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Ili kuona vizuri, alizunguka hadi nyuma ya kibanda cha walinzi. Akarejea mbele ofisini. Akatikisa kichwa. Kwa sauti yake ya upole, akasema, “Baba wa Taifa hawezi kuishi katika mazingira kama haya. Naomba mfikishie ombi langu kwake. Nataka nimjengee fensi. Hii seng’enge haifai.”

Wale maofisa Usalama wa Taifa waliokuwapo, waliheshimu kauli hiyo. Wakati huo Mwalimu alikuwa Butiama. Baada ya siku chache, Mwalimu aliwasili Msasani. Mmoja wa viongozi wa Usalama akabeba msalaba wa kumweleza Mwalimu ofa aliyopewa na Mengi.

Mwalimu akabadilika. Uso ukawa mwekundu. Akatafuna midomo kama ilivyokuwa ada kwake baada ya kuguswa na jambo zito. Mwalimu akahoji, “Mengi nani? Katoa wapi utajiri wa kunijengea fensi? Huyu ni (akatukana). Kama ana hela akawajengee masikini; wapo wengi wanaohitaji msaada. Sitaki kusikia upumbavu wa kunijengea fensi, kwani ameona hii fensi (ya nyaya, tena zilizochakaa) hainitoshi? Mwambieni sitaki kabisa.”

Kweli, Mengi hakuonekana tena kwa Mwalimu, labda wakati wa msiba. Tangu siku hiyo, nikawa nataka kujua sababu za mtu huyu kuchukiwa na Mwalimu. Mwalimu alikuwa “kiona mbali”. Pengine alijua kwamba akiruhusu Mengi amjengee hiyo fensi, baadaye yangekuwa matangazo kuanzia kwenye televisheni, redio hadi magazeti anayoanzisha kama uyoga.

Mwalimu alipofoka kuhusu msaada wa Mengi, alifoka kwa sababu alijua Mengi si msafi kama anavyotaka jamii imtambue. Alijua Mengi jinsi alivyofaidi fedha kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mali ya wananchi, lakini akawa anakwepa kulipa kwa kutumia wanasheria. Hadi leo bado Mengi anakabiliwa na utata mkubwa kuhusu mabilioni aliyokopa yeye au familia yake.

Mwaka 1996 aligombana na viongozi wa Habari Corporation Limited, iliyokuwa ikiongozwa na magwiji wa habari, kina Jenerali Ulimwengu, Johnson Mbwambo, Salva Rweyemamu, Dk. Gideon Shoo na wengine. Chanzo cha ugomvi kilitokana na kuandikwa kwamba anadaiwa mamilioni ya NBC.

Juzi, Mengi ameibuka kwenye vyombo vya habari. Akawa mlalamikaji. Akawa mwendesha mashitaka. Akawa jaji. Akatoa hukumu. Alifanya kile alichofanya kwa kigezo kwamba anapambana na mafisadi. Hivi kina Edward Sokoine, ambao ndiyo wanaoheshimika katika vita hiyo, wangetumia staili hii, nchi ingekuwaje? Mengi ni nani wa kuwahukumu wengine?

Kama ilivyotarajiwa, baada ya kubwabwaja, akawageukia wananchi. Akataka wamuunge mkono. Tena akasema anajua maisha yake yake yako hatarini! Hizi ni propaganda tu. Nani ambaye maisha yake hayako hatarini, hasa wakati huu ambao hata bajaj zinaua?

Akianzisha ugomvi, anataka wananchi wote wamuunge mkono. Wampigie makofi. Akilia, tulie naye. Akicheka, tucheke sote. Mengi anaweza kuanzisha ugomvi kisha akawataka Watanzania wote wamtetee. Akikosa biashara, basi huyo aliyemshinda kwenye biashara hiyo, ni fisadi. Atahamishia ugomvi kwenye televisheni yake.

Amegombana na kila kundi katika jamii. Amegombana kuanzia kwa maaskofu hadi kwenye kundi la Ze Comedy. Fikiria. Kama mtu anaweza kugombana hata na viongozi wa kiroho, huyo lazima atakuwa na matatizo.

Yeyote anayemwangalia vema Mengi kwenye televisheni, atagundua kuwa huyu Mtanzania mwenzetu anaelekea kuchanganyikiwa. Inawezekana kabisa akili ya leo ya Mengi si akili ile aliyokuwa nayo alipoanza harakati za kujikomboa kiuchumi. Amejisahau mno kwa kudhani kwamba wananchi wote ni wajinga.

Mengi wa leo amekuwa wa kukomoa wenzake kwa kivuli cha kupambana na mafisadi. Yeye ana usafi gani? Hivi kweli katika kundi la watoa rushwa, Mengi ataponea tundu gani? Juzi alipotaja hao anaowaita “mapapa wa ufisadi”, aligawa shilingi ngapi kwa kila mwanahabari? Mimi najua alitoa kiasi gani. Aseme usafi wake uko wapi?

Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kujiweka nyuma katika mapambano dhidi ya ufisadi. Mara zote tumekemea na hata kuibua ufisadi katika wizara, idara na kila mahali katika jamii yetu. Ushahidi wa ushindi tulioupata upo.

Lakini vita dhidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi yetu tumeiendesha kwa misingi ya haki na kwa utu. Wapiganaji wa kweli hawawezi kutumia nafasi ya vyombo vyao vya habari, kuwadhalilisha watu wengine.

Mengi anawatukana wenzake kwa sababu anajua kwamba ana vyombo vya habari vinavyotazamwa, kusikilizwa na kusomwa na wananchi wengi-ndani na nje ya nchi. Anajua masikini hawa wenye rangi nyeupe wataonekana wa ajabu wakianzisha televisheni maalumu ya kumshughulikia Mengi.

Kama tunaweza kulaani matumizi mabaya ya madaraka kwa viongozi na watumishi wa Serikali, kwa nini Mengi asilaaniwe kwa matumizi mabaya ya vyombo vyake vya habari?

Hivi, tajiri Teddy Tunner, ambaye ni mmiliki wa kituo cha televisheni cha CNN, akiamua kufanya kama haya yanayofanywa na Mengi, mambo yatakuwaje? Lakini tofauti na Ulaya na Marekani, hapa Tanzania kuna kina Mengi wanaosimama na kutukana wengine, kisha wakaachwa hivi hivi. Sana sana mtukanaji eti anamweleza anayetukanwa, “ukitaka nenda mahakamani”.

Mengi amefika mahali amejisahau. Ameona anaweza kutumia silaha yoyote kufanikisha malengo yake anayoyajua yeye mwenyewe. Mengi anajua kwamba nchi yetu inafuata misingi ya kisheria. Tuna Mahakama, Bunge na Serikali. Kila chombo kinawajibu wake. Tuna Takukuru na vyombo vingine vingi tu. Kama ushahidi anao, kashindwa nini kuupeleka katika vyombo hivyo? Kama ameupeleka, lakini hakuna hatua zinazochukuliwa, wa kulaumiwa ni mtuhumiwa au anayestahili kuwashitaki? Kwa nini mtuhumiwa atukanwe na kudhalilishwa?

Anajua fika kwamba baadhi ya watu anaowashambulia hadharani wana kesi mahakamani. Anajua kuwa Mahakama inapokuwa kwenye shughuli zake, inapaswa iheshimiwe. Ipewe wigo wa kupitia mashitaka na utetezi ili ifikie hatua ya kutoa hukumu ya haki. Je, katika mazingira ya aina hii, mazingira ya kutukanana, kubezana, kusemana ovyo, mahakama itakuwa na kazi gani?

Kama kweli Mengi alikusudia kuwataja mapapa wa rushwa, basi angewataja hata wale wenye rangi nyeusi! Kama hawa weupe wamechukua fedha, nani kawapa huko BoT. Je, BoT kuna gavana Mhindi au Mzungu? Yeye alipochukua fedha NBC, kulikuwa na mkurugenzi Mhindi au Mzungu? Je, mawaziri wanaoidhinisha, ni wa kutoka nchi gani? Hawa kwa nini asiwaunganishe? Kwa nini achague hawa wenye rangi tofauti tu?

Angewataja na kina Manyerere wenye ngozi nyeusi ili walau watu wajue kwamba anachofanya anakifanya kwa misingi ya haki. Lakini kutamka wazi kwamba hawa “wenye asili ya Kiasia” ndiyo watu hatari, ndiyo wanaoimaliza nchi, ni kutafuta tu kuungwa mkono na jamii ya watu masikini. Kuna Wahindi na wazungu waliofanya mambo mengi mazuri katika nchi hii. Kina Dereck Brycson, Alnoor Kassum, Amir Habib Jamal, Shamim Khan, Joan Wicken na wengine wengi.

Mengi amekuwa makini sana kutafuta “sympathy” kutoka jamii. Mara zote anatafuta mambo ambayo anajua akiyateremsha kwenye jamii, ataungwa mkono. Akishawaandalia chakula walemavu na watu wengine masikini, hazitopita siku nyingi, ataibua “bomu”.

Haya tumeyaona mwaka 1994 aliponunua ugomvi kwa nguvu kutoka kwa Watanzania wenye asili ya Kiasia, hata akafika hatua akadai kwamba kulikuwa na mpango wa kumtoa roho.

Rais wa wakati huo, Mzee Ali Hassan Mwinyi, akapata habari hizo. Mengi akapewa ulinzi wa askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU). Tena wengine walikuwa wakilinda kwa Mwalimu Nyerere. Wakatolewa ili wamlinde Mengi. Hakuna aliyelalamika maana Katiba ya nchi inazungumzia haki ya kila mwananchi kupewa ulinzi na hifadhi ya maisha yake.

Baadaye ikaja kubainika kuwa ugomvi ule ulitengenezwa na Mengi mwenyewe, akitaka wananchi wamwonee huruma. Hata alipokuwa akiuhadaa umma wa Watanzania kwamba matangazo ya mpira au ngumi yalikuwa yakiletwa moja kwa moja kutoka Ulaya na Marekani, akasema anasakamwa na wabaya wake. Ukweli ulikuwa kwamba badala ya matangazo yale kuwa yanatoka moja kwa moja Ulaya, yalikuwa yanatoka moja kwa moja Mikocheni!

Mengi, kama nilivyosema hapo awali, aligombana na maaskofu na wapinga matumizi ya kondomu. Yeye anajua wazi kwamba makanisa yana miiko. Hayaongozwi na utashi wa wamiliki au wenye hisa kwenye viwanda na biashara za kondomu. Akatetea kondomu hadi akaitwa “nabii wa kondomu”.

Bwana mkubwa huyu huyu aligombana na Wilson Masilingi baada ya kunyimwa umiliki wa hoteli ya Kilimanjaro. Hatuna hakika kama hoteli hiyo angepewa Mengi, ingekuwa na mwonekano mzuri na wa maana kama huu uliowekwa na mwekezaji aliyepewa.

Alishagombana na Shamin Khan, wakati huo akiwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara. Mengi akawa anawanywesha watu maji ya kisima, lakini akitangaza kuwa ni ya chemchem kutoka mlimani. Waligombana wee, hadi Khan akaibuka mshindi. Maneno ya udanganyifu yakafutwa kwenye chupa za maji. Udanganyifu nao ni ufisadi.

Huyu huyu Mengi amegombana na Yusuf Manji. Amemtukana kadri alivyoweza. Akawaingiza hata baadhi ya wanasiasa mamluki ili wamtukane. Hapa naomba wasomaji watambue kuwa simtetei Manji au hao aliowabatiza kuwa ni “mapapa wa ufisadi”. Ninachotetea hapa ni maadili na namna ya kuwasilisha jambo. Kumparamia mtu na kuanza kumtukana kwa sababu tu mmenyang’anyana michezo ya bahati na nasibu na kamari, si jambo la kiungwana.

Wiki kadhaa zilizopita alimvaa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha. Kila aliyefuatilia ugomvi ule kwa makini, alimshangaa Mengi. Mtu mzima kubishana, kutukanana na mtu mwenye hadhi ya “mwanao”, ni aibu.

Kutoka kwa Masha ameingia kwa wahariri kadhaa wa vyombo vya habari. Yeye kila siku anasimama kudai kwamba mafisadi wanaanzisha magazeti kumshambulia. Lakini anapuuza upande wake. Yeye kila anapokabiliana na mtu au kikundi cha watu, si ajabu tukaona gazeti maalumu kwa ajili ya kukabiliana na mtu au kundi alilokorofishana nalo.

Ni wapi ambako yeye anapata fedha safi za kuanzisha magazeti ambako wengine hawawezi kuzipata? Kuna vijana wamejiunga. Wameanzisha magazeti kwa nia njema, lakini ameingilia kati na kusema wamefadhiliwa na mafisadi.

Makala hii itazua mjadala. Nitafurahi sana mjadala huu ukiendelea. Mengi ameshapeleka uwongo hadi Ikulu akiwasingizia waandishi wa habari kwamba wameunda umoja kumchafua Rais Kikwete. Sina hakika, lakini inawezekana ndiyo mbinu yake ya kujipendekeza ili awe karibu na Rais Kikwete. Anajua hakumuunga mkono Kikwete wakati wa mchakato, sasa kufukia hayo, anafanya kila awezalo ili awe karibu naye. Lakini wenye akili wanajua hakuna kiongozi makini anaweza kufunga pingu za urafiki na Mengi. Hana uadilifu huo.

Ataibuka na kusema nimetumwa na mafisadi. Atasema nimelipwa ili nimwandike. Bora aseme uwongo huo, lakini nimeshindwa kuvumilia usanii huu anaoufanya sasa. Tumefanya kazi Habari Corporation kwa miaka mingi kabla ya kampuni hii kupata wamiliki wengine. Leo hatuwezi kukosa amani kwa sababu Mengi anatusema kwamba tumeajiriwa na mafisadi. Yeye ameuza kampuni ngapi? Siwezi kuendelea kukaa kimya na kumpa heshima haramu.

Mengi hana usafi huu ambao anataka watu waamini kuwa anao. Hana. Anapoamua kuwatukana wengine, lazima ajiridhishe kwanza kwamba yeye ni msafi. Hata Biblia inasema usikazane kukinyooshea kidole kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati lako lina boriti!

Lakini hatari kubwa ni hii ya kuanza kuhubiri maneno yanayoweza kuibua chuki kubwa miongoni mwa wananchi. Hakika, kwa maneno ya kusema Wahindi ndiyo waporaji wakuu wa uchumi wa nchi hii, anataka kuwaeleza wananchi kwamba sasa waanze kuwachukia. Kwa nini udhaifu wa Waafrika kuongoza nchi na kumiliki uchumi wanasukumiwa Wahindi na Wazungu? Tangu Uhuru mwaka 1961, tumekuwa na rais yeyote Mhindi au Mzungu? Udhaifu ni wetu wenyewe.

Kwa maneno yake, sijui itakuwaje Watanzania wenye asili ya Kiasia wakiharibikiwa gari Manzese au Mwanjelwa. Je, hawatashambuliwa? Je, wakishambuliwa, kitu gani kitazima mwendelezo huo? Mengi anaipeleka wapi Tanzania? Yeye amezeeka. Amekula chumvi ya kutosha. Awaache vijana wadogo nao wawe wazee kama yeye.

Mengi ni mtuhumiwa wa ufisadi kama watuhumiwa wengine. Bahati yake ni kwamba hakuchota fedha za EPA. Tofauti na hapo, ni fisadi tu hata kama si wa fedha, basi wa tabia.

Wakati sasa dunia ikiwa kwenye mtikisiko wa uchumi, Mengi yeye yuko kwenye mtikisiko wa akili. Amekosa busara! Angekuwa na busara, vita dhidi ya mafisadi angeishiriki kiungwana kama wanavyofanya wenzake.

Kama nilivyosema, huu ndiyo mwanzo wa mjadala. Kama yeye amekuwa mbele kuwasema wenzake, naye avumilie kusemwa. Kama kutukana watu wengine ni ushujaa, ipo siku naye atakutana na vichaa watakaomtukana.

Kuendelea kumnyamazia Mengi ni kuitoa rehani amani ya nchi yetu. Kumwogopa hakuwezi kusaidia kumrejesha kwenye mstari. Leo anatangaza hatari kama hii kupitia vyombo vyake vya habari, kesho kitu gani kitamzuia iwapo ataamua kutumia vyombo hivyo hivyo kutaka rais ang’olewe? Huyu ni hatari kama zilivyo hatari nyingine zinazoikabili nchi yetu. Wazanaki wanasema, “nyambisabisa obhurweri, ekiriro kirambura”. Tafsiri nitaitoa toleo lijalo.

manyerere@hotmail.com

0713 335469
 
Tunaelekea miaka mitano ya serkali ya JMK, ukimweka yeye na serikali yake katika mizani, upande wa 'failures' umegota chini. Ingawa REDET wanatizama katika pembe 'wanayojua wenyewe'
 
Huyo manyerere jackton ana ukoo na familia ya Mwalimu nyerere?
Na Manyerere kaandika hivi:

Reginald Mengi ni msafi kiasi gani?

Na Manyerere Jackton

NILIANZA kumjua Reginald Mengi, mwanzoni mwa miaka ya 1990. Siku moja, tukiwa nyumbani Msasani, alifika getini. Akazungumza na walinzi. Akaangaza huku na kule kutazama mandhari ya mahali hapo ambako ni nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
Duniani wawili wawili nikama FMES alivyofanana na JW Malecela, ama Dilunga na Kuhani ila wote hawa hawajuani kabisa.......unaweza kuta Masanilo ni Yo Yo
 
Duniani wawili wawili nikama FMES alivyofanana na JW Malecela, ama Dilunga na Kuhani ila wote hawa hawajuani kabisa.......unaweza kuta Masanilo ni Yo Yo
lakini huyu anasema mengi alikwenda nyumbani(kwao) msasani kwa mwalimu.....nauliza tu kama nae ni mmoja wa wanafamilia ya mwalimu....
 
natamani nifanye mambo kama ya ''The Day of the Jackal'' kwa mafisadi wote,kwa kuanzia ningeanzia na vasco da gama...!sio siri hawa viongozi wetu wanatia hasira saana...na sisi wananchi sijui wameturoga na kitu gani hawa,yaani kuna wadanganyika wengine hawataki kusikia wala hawaelewi lolote wakielezwa mabaya ya hii serikali ya CCM..!..MUNGU tusaidie
 
Hebu tujikumbushe kidogo hii makala ya zamani kidogo ili tumfahamu huyu Manyerere na hapo itakuwa rahisi kumjadili:-

Wahariri: Manyerere Jackton & the Gang
Acid|Burn
user_offline.gif
20th June 2007, 04:53 PM

Katika issue ya gazeti la Mwanahalisi la week iliyopita (ambayo sikuisona) walireport wahariri wa magazeti wanaotumia majina bandia kwajili ya uchafuzi na kuwa vibaraka wa serikali.

Majina ya hao wahariri bandia ilikuwa ni Joseph Ryasembe na Mwakyembe Mwakyanjala.

Sasa katika issue ya week hii, nilifanikiwa kusoma, kuna makala moja ya mwandishi anasifia gazeti kwa kutoa majina halali ya hao waandishi bandia Ryasembe na Mwakyembe.

Anaelezea jinsi Maggid Mjengwa alivyowahi kuhoji Ryasembe anavyoandika makala kama "Proffesional journalist" lakini haonekani kamwe wakati wa amani bali wakati wa shari, ushindani na mvutano wa kuvuana nguo.

Huyu mwandishi ndio aliyeandika makala ya matusi dhidi ya Dr. Salim wakati wa kinyangajiro cha kuafuta mbombea wa urais wa CCM.

Alimtuhumu Dr. Salim ya kuwa hafai kuwa rais kwasababu "ni mwarabu," na kwamba nchi hii haiwezi kutawaliwa na mwarabu, na kwamba ingawa Mwalimu Julius nyerere alimpenda sana. Na pia WTZ wasingemkubali awe rais kwasababu aliwahi kuwa mwanachama wa Hizbu, Zanzibar.

Yalizushwa mengi dhidi ya Dr. Salim kwamba ndugu zake wapo Uarabuni wakiwa wameshikilia nafasi za juu katika jeshi la nchi hiyo na kwamba kwa yeye kupewa nafasi ya juu ya urais kutaiweka nchi katika mazingira magumu.

Ikumbukwe kwamba, ni katika kipindi hicho uhuma kwamba dr. salim alihusika na mauwaji ya Rais wa kwamba wa Zanzibar, Karume zilibuliwa.

Hadi sasa hakuna Kiongozi yeyote wa serikali au hata chama tawala, aliyejitokeza kumtetea Dr. Salim.

Ni Ryasembe pia aliyewashambulia kina Jenerali Ulimwengu na Spika Mstafu Pius msekwa kwa maneno na kejeli ambazo siwezi hata kuziandika hapa lakini alikuwa akimkemea ulimwengu kwa kuonekana anampenda na kumwamini Dr. Salim na alishambulia Msekwa kwa kugombea uspika dhidi ya Samuel Sitta aliyekuwa akionekana kipenzi cha wale waliojulikana kama wanamtandao.

Ni jambo la aibu kuona baadhi ya wahariri wakiambatana na wanasiasa na kuchafua majina ya wenzao au wapinzani na maswahiba wao kwa madhumuni ya ujipendekeza kwa wakubwa.

Lakini jambo kubwa hapa kwa mujibu wa habari za gazeti hili ya MwanaHalisi, ni jinsi gani mhariri wa RAI, Muhingo Rweyemamu, anastahili pongezi kwa kukataa kuchapisha makala ya uchaguzi iliyotumwa kwake na huyo mwingine anayejiita Mwakyembe Mwakyanjala, yenye kulenga kuchafua jina la gazeti jingine na mhariri wake, wakidai wametumwa na mtu kiongozi mojja waliyemwita "Mr. Mvi"

Mwandishi huyu Ryasembe imegundulika ni Manyerere Jackton mhariri wa Tanzania Daima

NB: kwenye makala hiyo niliyosoma sikubahatika kuona jina la Mwakyembe Mwakyanjala. ila jina lake lipo katika Issue ya gazeti lililopita, Naomba Maggid Mjengwa utupe jibu, kwa namna moja au nyingine utakuwa ulilisoma kwasababu nimeona makala yako ya michezo katika toleo la week hii.

Mwenye kujua "Mr. Mvi" ni nani atueleze.
 
Mengi ni raia mwenye uhuru wa kusema lolote.Wewe mama siku zako nadhani unazipanga mwenyewe. wananchi wakichukua sheria mkononi mtawalaumu. Heri Mengi aliyewaonyesha ninyi msio na huruma na nchi kilio cha watanzani. Sofia unapalia moto. waache watanzania wawahukumu watu wanaowadhulumu bila haya pamoja na wewe. subiri!!!!Mkuchika umetumwa na nabii nani vile uju utueleze utumbo wako hapa. Hivi ninyi mshatuona watanzania mabwege dawa yenu ipo jikoni. tumechoshwa na majivuno yenu. hao mnaowatetea subirini wote njia yenu ni moja ahera!!ops! choma moto hawa watu
 
Na Manyerere kaandika hivi:

Reginald Mengi ni msafi kiasi gani?

Na Manyerere Jackton

NILIANZA kumjua Reginald Mengi, mwanzoni mwa miaka ya 1990. Siku moja, tukiwa nyumbani Msasani, alifika getini. Akazungumza na walinzi. Akaangaza huku na kule kutazama mandhari ya mahali hapo ambako ni nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Ili kuona vizuri, alizunguka hadi nyuma ya kibanda cha walinzi. Akarejea mbele ofisini. Akatikisa kichwa. Kwa sauti yake ya upole, akasema, “Baba wa Taifa hawezi kuishi katika mazingira kama haya. Naomba mfikishie ombi langu kwake. Nataka nimjengee fensi. Hii seng’enge haifai.”

Wale maofisa Usalama wa Taifa waliokuwapo, waliheshimu kauli hiyo. Wakati huo Mwalimu alikuwa Butiama. Baada ya siku chache, Mwalimu aliwasili Msasani. Mmoja wa viongozi wa Usalama akabeba msalaba wa kumweleza Mwalimu ofa aliyopewa na Mengi.

Mwalimu akabadilika. Uso ukawa mwekundu. Akatafuna midomo kama ilivyokuwa ada kwake baada ya kuguswa na jambo zito. Mwalimu akahoji, “Mengi nani? Katoa wapi utajiri wa kunijengea fensi? Huyu ni (akatukana). Kama ana hela akawajengee masikini; wapo wengi wanaohitaji msaada. Sitaki kusikia upumbavu wa kunijengea fensi, kwani ameona hii fensi (ya nyaya, tena zilizochakaa) hainitoshi? Mwambieni sitaki kabisa.”

Kweli, Mengi hakuonekana tena kwa Mwalimu, labda wakati wa msiba. Tangu siku hiyo, nikawa nataka kujua sababu za mtu huyu kuchukiwa na Mwalimu. Mwalimu alikuwa “kiona mbali”. Pengine alijua kwamba akiruhusu Mengi amjengee hiyo fensi, baadaye yangekuwa matangazo kuanzia kwenye televisheni, redio hadi magazeti anayoanzisha kama uyoga.

Mwalimu alipofoka kuhusu msaada wa Mengi, alifoka kwa sababu alijua Mengi si msafi kama anavyotaka jamii imtambue. Alijua Mengi jinsi alivyofaidi fedha kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mali ya wananchi, lakini akawa anakwepa kulipa kwa kutumia wanasheria. Hadi leo bado Mengi anakabiliwa na utata mkubwa kuhusu mabilioni aliyokopa yeye au familia yake.

Mwaka 1996 aligombana na viongozi wa Habari Corporation Limited, iliyokuwa ikiongozwa na magwiji wa habari, kina Jenerali Ulimwengu, Johnson Mbwambo, Salva Rweyemamu, Dk. Gideon Shoo na wengine. Chanzo cha ugomvi kilitokana na kuandikwa kwamba anadaiwa mamilioni ya NBC.

Juzi, Mengi ameibuka kwenye vyombo vya habari. Akawa mlalamikaji. Akawa mwendesha mashitaka. Akawa jaji. Akatoa hukumu. Alifanya kile alichofanya kwa kigezo kwamba anapambana na mafisadi. Hivi kina Edward Sokoine, ambao ndiyo wanaoheshimika katika vita hiyo, wangetumia staili hii, nchi ingekuwaje? Mengi ni nani wa kuwahukumu wengine?

Kama ilivyotarajiwa, baada ya kubwabwaja, akawageukia wananchi. Akataka wamuunge mkono. Tena akasema anajua maisha yake yake yako hatarini! Hizi ni propaganda tu. Nani ambaye maisha yake hayako hatarini, hasa wakati huu ambao hata bajaj zinaua?

Akianzisha ugomvi, anataka wananchi wote wamuunge mkono. Wampigie makofi. Akilia, tulie naye. Akicheka, tucheke sote. Mengi anaweza kuanzisha ugomvi kisha akawataka Watanzania wote wamtetee. Akikosa biashara, basi huyo aliyemshinda kwenye biashara hiyo, ni fisadi. Atahamishia ugomvi kwenye televisheni yake.

Amegombana na kila kundi katika jamii. Amegombana kuanzia kwa maaskofu hadi kwenye kundi la Ze Comedy. Fikiria. Kama mtu anaweza kugombana hata na viongozi wa kiroho, huyo lazima atakuwa na matatizo.

Yeyote anayemwangalia vema Mengi kwenye televisheni, atagundua kuwa huyu Mtanzania mwenzetu anaelekea kuchanganyikiwa. Inawezekana kabisa akili ya leo ya Mengi si akili ile aliyokuwa nayo alipoanza harakati za kujikomboa kiuchumi. Amejisahau mno kwa kudhani kwamba wananchi wote ni wajinga.

Mengi wa leo amekuwa wa kukomoa wenzake kwa kivuli cha kupambana na mafisadi. Yeye ana usafi gani? Hivi kweli katika kundi la watoa rushwa, Mengi ataponea tundu gani? Juzi alipotaja hao anaowaita “mapapa wa ufisadi”, aligawa shilingi ngapi kwa kila mwanahabari? Mimi najua alitoa kiasi gani. Aseme usafi wake uko wapi?

Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kujiweka nyuma katika mapambano dhidi ya ufisadi. Mara zote tumekemea na hata kuibua ufisadi katika wizara, idara na kila mahali katika jamii yetu. Ushahidi wa ushindi tulioupata upo.

Lakini vita dhidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi yetu tumeiendesha kwa misingi ya haki na kwa utu. Wapiganaji wa kweli hawawezi kutumia nafasi ya vyombo vyao vya habari, kuwadhalilisha watu wengine.

Mengi anawatukana wenzake kwa sababu anajua kwamba ana vyombo vya habari vinavyotazamwa, kusikilizwa na kusomwa na wananchi wengi-ndani na nje ya nchi. Anajua masikini hawa wenye rangi nyeupe wataonekana wa ajabu wakianzisha televisheni maalumu ya kumshughulikia Mengi.

Kama tunaweza kulaani matumizi mabaya ya madaraka kwa viongozi na watumishi wa Serikali, kwa nini Mengi asilaaniwe kwa matumizi mabaya ya vyombo vyake vya habari?

Hivi, tajiri Teddy Tunner, ambaye ni mmiliki wa kituo cha televisheni cha CNN, akiamua kufanya kama haya yanayofanywa na Mengi, mambo yatakuwaje? Lakini tofauti na Ulaya na Marekani, hapa Tanzania kuna kina Mengi wanaosimama na kutukana wengine, kisha wakaachwa hivi hivi. Sana sana mtukanaji eti anamweleza anayetukanwa, “ukitaka nenda mahakamani”.

Mengi amefika mahali amejisahau. Ameona anaweza kutumia silaha yoyote kufanikisha malengo yake anayoyajua yeye mwenyewe. Mengi anajua kwamba nchi yetu inafuata misingi ya kisheria. Tuna Mahakama, Bunge na Serikali. Kila chombo kinawajibu wake. Tuna Takukuru na vyombo vingine vingi tu. Kama ushahidi anao, kashindwa nini kuupeleka katika vyombo hivyo? Kama ameupeleka, lakini hakuna hatua zinazochukuliwa, wa kulaumiwa ni mtuhumiwa au anayestahili kuwashitaki? Kwa nini mtuhumiwa atukanwe na kudhalilishwa?

Anajua fika kwamba baadhi ya watu anaowashambulia hadharani wana kesi mahakamani. Anajua kuwa Mahakama inapokuwa kwenye shughuli zake, inapaswa iheshimiwe. Ipewe wigo wa kupitia mashitaka na utetezi ili ifikie hatua ya kutoa hukumu ya haki. Je, katika mazingira ya aina hii, mazingira ya kutukanana, kubezana, kusemana ovyo, mahakama itakuwa na kazi gani?

Kama kweli Mengi alikusudia kuwataja mapapa wa rushwa, basi angewataja hata wale wenye rangi nyeusi! Kama hawa weupe wamechukua fedha, nani kawapa huko BoT. Je, BoT kuna gavana Mhindi au Mzungu? Yeye alipochukua fedha NBC, kulikuwa na mkurugenzi Mhindi au Mzungu? Je, mawaziri wanaoidhinisha, ni wa kutoka nchi gani? Hawa kwa nini asiwaunganishe? Kwa nini achague hawa wenye rangi tofauti tu?

Angewataja na kina Manyerere wenye ngozi nyeusi ili walau watu wajue kwamba anachofanya anakifanya kwa misingi ya haki. Lakini kutamka wazi kwamba hawa “wenye asili ya Kiasia” ndiyo watu hatari, ndiyo wanaoimaliza nchi, ni kutafuta tu kuungwa mkono na jamii ya watu masikini. Kuna Wahindi na wazungu waliofanya mambo mengi mazuri katika nchi hii. Kina Dereck Brycson, Alnoor Kassum, Amir Habib Jamal, Shamim Khan, Joan Wicken na wengine wengi.

Mengi amekuwa makini sana kutafuta “sympathy” kutoka jamii. Mara zote anatafuta mambo ambayo anajua akiyateremsha kwenye jamii, ataungwa mkono. Akishawaandalia chakula walemavu na watu wengine masikini, hazitopita siku nyingi, ataibua “bomu”.

Haya tumeyaona mwaka 1994 aliponunua ugomvi kwa nguvu kutoka kwa Watanzania wenye asili ya Kiasia, hata akafika hatua akadai kwamba kulikuwa na mpango wa kumtoa roho.

Rais wa wakati huo, Mzee Ali Hassan Mwinyi, akapata habari hizo. Mengi akapewa ulinzi wa askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU). Tena wengine walikuwa wakilinda kwa Mwalimu Nyerere. Wakatolewa ili wamlinde Mengi. Hakuna aliyelalamika maana Katiba ya nchi inazungumzia haki ya kila mwananchi kupewa ulinzi na hifadhi ya maisha yake.

Baadaye ikaja kubainika kuwa ugomvi ule ulitengenezwa na Mengi mwenyewe, akitaka wananchi wamwonee huruma. Hata alipokuwa akiuhadaa umma wa Watanzania kwamba matangazo ya mpira au ngumi yalikuwa yakiletwa moja kwa moja kutoka Ulaya na Marekani, akasema anasakamwa na wabaya wake. Ukweli ulikuwa kwamba badala ya matangazo yale kuwa yanatoka moja kwa moja Ulaya, yalikuwa yanatoka moja kwa moja Mikocheni!

Mengi, kama nilivyosema hapo awali, aligombana na maaskofu na wapinga matumizi ya kondomu. Yeye anajua wazi kwamba makanisa yana miiko. Hayaongozwi na utashi wa wamiliki au wenye hisa kwenye viwanda na biashara za kondomu. Akatetea kondomu hadi akaitwa “nabii wa kondomu”.

Bwana mkubwa huyu huyu aligombana na Wilson Masilingi baada ya kunyimwa umiliki wa hoteli ya Kilimanjaro. Hatuna hakika kama hoteli hiyo angepewa Mengi, ingekuwa na mwonekano mzuri na wa maana kama huu uliowekwa na mwekezaji aliyepewa.

Alishagombana na Shamin Khan, wakati huo akiwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara. Mengi akawa anawanywesha watu maji ya kisima, lakini akitangaza kuwa ni ya chemchem kutoka mlimani. Waligombana wee, hadi Khan akaibuka mshindi. Maneno ya udanganyifu yakafutwa kwenye chupa za maji. Udanganyifu nao ni ufisadi.

Huyu huyu Mengi amegombana na Yusuf Manji. Amemtukana kadri alivyoweza. Akawaingiza hata baadhi ya wanasiasa mamluki ili wamtukane. Hapa naomba wasomaji watambue kuwa simtetei Manji au hao aliowabatiza kuwa ni “mapapa wa ufisadi”. Ninachotetea hapa ni maadili na namna ya kuwasilisha jambo. Kumparamia mtu na kuanza kumtukana kwa sababu tu mmenyang’anyana michezo ya bahati na nasibu na kamari, si jambo la kiungwana.

Wiki kadhaa zilizopita alimvaa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha. Kila aliyefuatilia ugomvi ule kwa makini, alimshangaa Mengi. Mtu mzima kubishana, kutukanana na mtu mwenye hadhi ya “mwanao”, ni aibu.

Kutoka kwa Masha ameingia kwa wahariri kadhaa wa vyombo vya habari. Yeye kila siku anasimama kudai kwamba mafisadi wanaanzisha magazeti kumshambulia. Lakini anapuuza upande wake. Yeye kila anapokabiliana na mtu au kikundi cha watu, si ajabu tukaona gazeti maalumu kwa ajili ya kukabiliana na mtu au kundi alilokorofishana nalo.

Ni wapi ambako yeye anapata fedha safi za kuanzisha magazeti ambako wengine hawawezi kuzipata? Kuna vijana wamejiunga. Wameanzisha magazeti kwa nia njema, lakini ameingilia kati na kusema wamefadhiliwa na mafisadi.

Makala hii itazua mjadala. Nitafurahi sana mjadala huu ukiendelea. Mengi ameshapeleka uwongo hadi Ikulu akiwasingizia waandishi wa habari kwamba wameunda umoja kumchafua Rais Kikwete. Sina hakika, lakini inawezekana ndiyo mbinu yake ya kujipendekeza ili awe karibu na Rais Kikwete. Anajua hakumuunga mkono Kikwete wakati wa mchakato, sasa kufukia hayo, anafanya kila awezalo ili awe karibu naye. Lakini wenye akili wanajua hakuna kiongozi makini anaweza kufunga pingu za urafiki na Mengi. Hana uadilifu huo.

Ataibuka na kusema nimetumwa na mafisadi. Atasema nimelipwa ili nimwandike. Bora aseme uwongo huo, lakini nimeshindwa kuvumilia usanii huu anaoufanya sasa. Tumefanya kazi Habari Corporation kwa miaka mingi kabla ya kampuni hii kupata wamiliki wengine. Leo hatuwezi kukosa amani kwa sababu Mengi anatusema kwamba tumeajiriwa na mafisadi. Yeye ameuza kampuni ngapi? Siwezi kuendelea kukaa kimya na kumpa heshima haramu.

Mengi hana usafi huu ambao anataka watu waamini kuwa anao. Hana. Anapoamua kuwatukana wengine, lazima ajiridhishe kwanza kwamba yeye ni msafi. Hata Biblia inasema usikazane kukinyooshea kidole kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati lako lina boriti!

Lakini hatari kubwa ni hii ya kuanza kuhubiri maneno yanayoweza kuibua chuki kubwa miongoni mwa wananchi. Hakika, kwa maneno ya kusema Wahindi ndiyo waporaji wakuu wa uchumi wa nchi hii, anataka kuwaeleza wananchi kwamba sasa waanze kuwachukia. Kwa nini udhaifu wa Waafrika kuongoza nchi na kumiliki uchumi wanasukumiwa Wahindi na Wazungu? Tangu Uhuru mwaka 1961, tumekuwa na rais yeyote Mhindi au Mzungu? Udhaifu ni wetu wenyewe.

Kwa maneno yake, sijui itakuwaje Watanzania wenye asili ya Kiasia wakiharibikiwa gari Manzese au Mwanjelwa. Je, hawatashambuliwa? Je, wakishambuliwa, kitu gani kitazima mwendelezo huo? Mengi anaipeleka wapi Tanzania? Yeye amezeeka. Amekula chumvi ya kutosha. Awaache vijana wadogo nao wawe wazee kama yeye.

Mengi ni mtuhumiwa wa ufisadi kama watuhumiwa wengine. Bahati yake ni kwamba hakuchota fedha za EPA. Tofauti na hapo, ni fisadi tu hata kama si wa fedha, basi wa tabia.

Wakati sasa dunia ikiwa kwenye mtikisiko wa uchumi, Mengi yeye yuko kwenye mtikisiko wa akili. Amekosa busara! Angekuwa na busara, vita dhidi ya mafisadi angeishiriki kiungwana kama wanavyofanya wenzake.

Kama nilivyosema, huu ndiyo mwanzo wa mjadala. Kama yeye amekuwa mbele kuwasema wenzake, naye avumilie kusemwa. Kama kutukana watu wengine ni ushujaa, ipo siku naye atakutana na vichaa watakaomtukana.

Kuendelea kumnyamazia Mengi ni kuitoa rehani amani ya nchi yetu. Kumwogopa hakuwezi kusaidia kumrejesha kwenye mstari. Leo anatangaza hatari kama hii kupitia vyombo vyake vya habari, kesho kitu gani kitamzuia iwapo ataamua kutumia vyombo hivyo hivyo kutaka rais ang’olewe? Huyu ni hatari kama zilivyo hatari nyingine zinazoikabili nchi yetu. Wazanaki wanasema, “nyambisabisa obhurweri, ekiriro kirambura”. Tafsiri nitaitoa toleo lijalo.

manyerere@hotmail.com

0713 335469
hivi ni manyerere huyu huyu mchonganishi, mpenda rushwa, mwenye chuki aliyeandika hii ama ?

wewe manyerere nani asiyekujua ? kazi yako kuchafua tu watu hasa pale unapopewa "kidogo" na kuweka mfukoni ?
 
ANALYSIS: Government must stop its indifference to 'sharks of corruption'



NKWAZI MHANGO
St John's NL, Canada

AT last names are openly named! When Hon. Harrison Mwakyembe named Rostam Aziz as a suspect behind Kagoda profligacy, many scratched their heads. Some thought it was just politics. Others said: there must be something truly fishy. Others thought the government would wake up and bring him to book. Mwakyembe is a lawyer and an MP who knows what he is doing.

Before long, Reginald Mengi, the Executive Chairman of IPP, massively and openly weighed in with more damning allegations. He minced no words. He averred: Rostam, Yusuf Manji, Jayantkumar Chandubhai Patel (Jeetu Patel) who is facing EPA charges, Tanil Somaiya, and Subash Patel are the most corrupt people in Tanzania.

Today I'll specifically look at two -Rostam and Manji. They've been stealing thunder when it comes to corruption save the government has pretended not to hear or see!
No doubt. The two are CCM bigwigs just like Mengi himself.

What makes things worse is the fact that the duo has been mentioned, though not openly, in almost all multi-million scams. I still remember how Manji was alleged to have swindled wananchi's money, thanks to his business connections with NSSF. Though this was swept under the carpet, we still have more questions than answers.

Manji also tried hand in politics when he vied for Kigamboni Constituency backed by Yusuf Makamba - CCM's secretary general who is said to have thick but suspicious bond with the duo.

As for Rostam, it's an open secret. �He has been cowering before allegations connecting him with EPA theft thanks to being the mind behind Kagoda. Refer to the recent revelations by Bhyidinka Michael Sanze, a lawyer who presided over EPA authorization by Benjamin Mkapa - former president engrossed in many scams.

Also Rostam was linked with Richmond, thanks to his Caspian Company's address being used by Richmond. He too was named by Ibrahim Msabaha as PM Edward Lowassa's Arab in Richmond scam.

What damns so as to create doubts is the fact that, the duo, despite being mentioned in many scandals, still has much influence in CCM. They are awarded many lucrative tenders and other projects. They, too, are CCM's financiers or donors. And this is the reason that forced the Father of the Nation Mwl. Julius Nyerere to sarcastically aver that CCM has been taken by corrupt business people. Who can step in Nyerere's shoes.

Given that the government has been dragging feet in dealing with the buggers behind Kagoda, now it is aware who those buggers are. Will it go on keeping mum and acting indifferently as it sits on the same.

Silence is gold. But sometimes, it is admission of guilt. When Rostam was confronted by the media to shed light onto Mengi's allegations, he's quoted as thus. ''Mengi is full of jealousy, hatred and what not. There is no way I can help him except to pray God and ignore all, for it is enough a punishment for him. Due to how I was brought up, I cannot quarrel with an old man.''

Do such gimmicks address the allegations really. Let's call shorts to white washing and be serious especially when allegations are damningly serious like these.

Though it can be lightly and wrongly perceived as racism and hatred for Mengi to name five Tanzanians of Asian decent as the most corrupt in the country, there is truth in this. Why should it be racism or hatred to aver they are corrupt but not when it comes to owning our economy Why not when they're given tenders and other preferential treatments.

As Rostam once said that those alleging he is corrupt are labouring under racism, petty jealousy and hatred, but again, is it racism really or corruption.

Suspects should mount reasonable defence in lieu of taking camouflage under the colour of their skin. For example, if someone says Indians own a big chunk of national housing, will this be referred to as racism? If one avers that Indians own over 75% of commerce in the country, will it be branded hatred. If one avers that Indian and Chinese illegal immigrants and hawkers are favoured by authorities, will this be jealousy.

Indians own almost every lucrative business. And now they've already penetrated into politics, thanks to rotten takrima law. They live in government houses whilst its workers make do on the outskirts of the city. They've remained holier than us since they were brought in by colonialists.

We well know. Indian business moguls are almost behind every stinking lucrative government tender. Refer to the radar, presidential jet purchase, NSSF, Richmond, EPA and what not.

Many will wonder why. It is simple. Corrupt government officials prefer to do dirty business with Indians. They can not divulge their secrets. They're easy to intimidate and repatriate when things go wrong as it happened in Chavda scam. So indigenous 'fisadis' are left out of the big picture.

And if you look at whom Tanzania prefers to award citizenship to, you'll find that Indians outsmart others. They still do the same- being middlemen-the job for which colonialists brought them. When white colonialists left and black ones took over, the role of Indians remained the same almost everywhere in Africa. Go to Kenya, Malawi, South Africa and elsewhere. Indians are still doing the same job-weakening the indigenous for the good of corrupt rulers.
So to avert wasting time, if Kikwete could take a leaf from Mengi, our war on corruption would make more sense than it is today when it is but white washing.

In other words, corruption in Tanzania is like 'mduara' dance. It's conspiracy between venal rulers and their corrupt guests. It's time to rally behind Mengi to see to it that those 'fisadis' are not harming him. Shall they, Mtikila's gabacholi era will be latched onto. And the government must stop its indifference. The 'isadis' it has been asking for are now given pro bono.
mail to: nkwazigatsha@yahoo.com
 
Got this from this day. This writer, is as visible from his article, supporting Mengi's actions. Whether you agree with him or not is up to you but thats why we have jamiiforums, where we get different poins of views. i would love to hear the opinions of JF members on this article.
 
Back
Top Bottom