Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Mkuu,
Mimi ninakuunga mkono 100% katika maoni yako hapo juu.
Ni jambo la kusikitisha kwa baadhi ya JF members kuona kuwa hii forum inapigania nchi yetu itawalie kwa kufuata misingi ya haki na utawala bora. Tunailalamikia serikali iliyoko madarakani kwa maovu na mabaya inayoyafanya na mengi kwa kuona ni kutofuatwa kwa utawala bora. Leo hii tunaacha katika kusimamia misingi thabiti ya kuifanya nchi hii iwe ni mahali pazuri kwa kila mwanajamii, tuaanza kuwa bias na kuonesha kuwa kelele zetu zote hazina malengo maalum zaidi ya kelele za chura ambazo hazimzuii mtu kuchota maji.
Leo kama unapata nafasi ya kurejea postings za baadhi ya wachangiaji humu katika threads tofauti lakini topics zinayofanana, utaona hakuna consistency, wachangiaji wanaangalia personalities badala ya issues.
Mengi kama anao ushahidi au vielelezo alipashwa kuviwasiliasha katika mamlaka husika na si vinginevyo, sasa inaoneka kuwa amefanya hivyo kwa maslahi binafsi na wala si ya watanzania kwani wote alowataja ni wafanyabiashara wakubwa na wengine ni mahasimu wake wa siku nyingi.
Ndugu hii sera na maoni yako yataweza tukifanilkiwa hapa tulipo. Wewe jiulize kagoda ipo wapi? Meremeta je?
Acha mambo haya, we are tired. Huu utawala bora umetushinda na wewe ndo unaupalilia. Dr. Slaa amewaambia yeye ndo anamiliki nyaraka za siri, nani mwenye moral support kumkamata? we are tired. Kama wewe unafaidika na utawala bora ni wewe na jitahidi katika hilo, mimi sitaki utawala bora.
AMANI WAKATI HAKUNA UTULIVU?