MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 847
Ni kweli kuteuliwa kwa Nahodha kuwa mbunge ni aidha:
a)Kumuandaa kugombea uraisi bara
b)Kupozwa kisiasa.
Mimi naegemea zaidi katika kupozwa kisiasa kwa maana kama kweli wange kuwa wana taka agombee uraisi 2015 sidhani kama ange jisumbua kugombea uraisi Zanzibar. Mimi nadhani hii ni indirect way ya "kumtunza" huko akiwa na shughuli maalumu.
Kuhusu Mzanzibar kugombea uraisi 2015 mimi nadhani huo ndiyo uta kuwa mtihani mkubwa wa CCM. Uchaguzi wa mwaka huu ushaonyesha kwamba zama za CCM kuwezi kusimamisha hata jiwe lika shindwa ume pitwa na wakati. Kwa hiyo wakimpa MZanzibar just for the sake of it bila huyo mtu kukubalika na Watanzania walio wengi wata aibika vibaya sana.
Ila wakuu mimi nina swali. Mnaonaji hili la waziri kiongozi (cheo ambacho ni kama waziri mkuu kwa upande wa visiwani) kuja kupewa uwaziri Muungano? Je hapo kapanda cheo au kashuka?
a)Kumuandaa kugombea uraisi bara
b)Kupozwa kisiasa.
Mimi naegemea zaidi katika kupozwa kisiasa kwa maana kama kweli wange kuwa wana taka agombee uraisi 2015 sidhani kama ange jisumbua kugombea uraisi Zanzibar. Mimi nadhani hii ni indirect way ya "kumtunza" huko akiwa na shughuli maalumu.
Kuhusu Mzanzibar kugombea uraisi 2015 mimi nadhani huo ndiyo uta kuwa mtihani mkubwa wa CCM. Uchaguzi wa mwaka huu ushaonyesha kwamba zama za CCM kuwezi kusimamisha hata jiwe lika shindwa ume pitwa na wakati. Kwa hiyo wakimpa MZanzibar just for the sake of it bila huyo mtu kukubalika na Watanzania walio wengi wata aibika vibaya sana.
Ila wakuu mimi nina swali. Mnaonaji hili la waziri kiongozi (cheo ambacho ni kama waziri mkuu kwa upande wa visiwani) kuja kupewa uwaziri Muungano? Je hapo kapanda cheo au kashuka?