Mwitikio wa Baraza, wale waliotemwa na Mengineyo

Mwitikio wa Baraza, wale waliotemwa na Mengineyo

kurudi kwa SS ni kuakikisha habari za baraza zinawafikia RA and EL na sio utendaji wake wa kazi. au kipozeo
 
Superman,

Call a spade a spade JK amekuna kichwa na kweli ametoka na baraza safi kwa kiasi fulani, itampunguzia presure za chadema kwa kiasi fulani!!!!

serious.........i mean seriously..........
 
Prof. Msola HAjaachwa Hivi hivi anayo yake alokuwa akifanya,

Bora amepumzishwa maana angetupeleka pabaya, Kwa vile watu waliamua kukaa kimya wakati wa Kampeni, lakini wangejitokeza hali ya hela ingechafuka huko kilolo
yepi mkuu, tupe habari yoyote, hapa tunaongea kwa uwazi na ukweli
 
nimefurahi pale majembe mawili yatakapofanya kazi pamoja,pombe na makyembe,navikubali ni vichwa,ila elimu hakuna sijuwi tuwape mda labda wanaweza badilika,hongera tibaijuka uwe kama un usituangushe mama
mapinduziiii daimaaaaa
 
Kufuatia kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum na baadae uwaziri wa mambo ya ndani (ooh, sorry ni mbunge

wa kuteuliwa na Rais siyo viti maalum) kwa aliyekuwa waziri kiongozi wa Zanzibar Ndugu Vuai kumenifanya

nijiulize swali nikiunganisha na post ya mtu mmoja hapa JF aliyesema kwamba ili kuunusuru Muungani inabidi

2015 CCM isimamishe mgombea toka Zanzibar, Je inawezekana Vuai ndio anaandaliwa?
 
Kuna mtu anaweza kunisaidia, what exactly is involved katika "Idara ya Vijana"? To me it does not make sense kuwa inashabihiana na Michezo na Utamaduni wakati > 80% ya Vijana wako vijijini.
Because you hae been a hypocrite and you never know what yu stand for! Sorry I will never budge; the thinking is different; the man who stole the votes; whatever he does for me a thief is a thief!! Sorry; before I thought that we are with "super men"; this guy told me Tanzanians forget very easily; even the learned people of JF; yes we are forgetting that our country needs a change.

Superman JK should not console you only because he made these appointments, you 're forgetting the cause!
 
Inawezekana! Lakini na pia Hussein Mwinyi naye anaweza akaingizwa ugombea Urais CCM 2015,hayo ni maoni yangu!
 
hivi huyu Chikawe kupewa utawala bora kwa lipi alilofanya kwenye wizara ya sheria....alivuruga utaratibu uliozoeleka kwa wanasheria baada ya kumaliza masomo yao..akaja na utaratibu wake ambao umeleta mvurugano mkubwa...sikutegemea kama angerudi. sasa tusubiri madudu kwenye hiyo wizara yake mpya
 
kikwete amesoma alama za nyakati ame ya tosa mafisadi Lowasa,Chenge,Rostam ,aibu tupu. Ila amefanya kosa kumrudisha mama wa mipasho Sophia

Lowasa, Chenge, Rostam hawakuwamo serikalini, kwa hiyo kusema amewatosa ni makosa

Kwa maoni yangu tusitegemee lolote jipya.

Nakubaliana na wewe
Sioni lolote jipya hapa

Kabisa
Hivi hakuna mtumwingine mpaka Kawambwa na Wassira wawe mawaziri? Kawambwa ame-prove failure pale miundo mbinu sasa ndo mnampa elimu..........shenzi kabisa
Kwa vile hao ni "wenzetu," lazima wawe mawaziri. Wassira nimemfahamu tangu angali mdogo, jambo moja tu ninalokumbuka kumwoana kasimamia kwa ufanisi ni lile la minofu ya Sangara wakati akiwa mbunge wa NCCR-Mageuzi.
I love Ms Sophia Simba!
Me too
kurudi kwa SS ni kuakikisha habari za baraza zinawafikia RA and EL na sio utendaji wake wa kazi. au kipozeo
may be, lakini kumbuka SS ni kama golden eagle; anaweza kumkamata mnyama yeyote ardhini.
 
Inawezekana! Lakini na pia Hussein Mwinyi naye anaweza akaingizwa ugombea Urais CCM 2015,hayo ni maoni yangu!

Yeah, huyo naye ni potential candidate, na hiyo wizara aliyompa wala hampi purukushani za moja kwa moja na kero za wananchi, atatulia kimya kama vile hayupo mpaka 2015.
 
Jamani hivi kweli mama sophia simba na mahanga kulikuwa na haja ya kuendelea kukaa kwenye wizara!!!!!????? Inawezekana hawa jamaa wana sifa za ziada ambazo watanzania wengi hawazifahamu na ni jk mwenyewe anayezifahamu, kama zipo. vinginevyo, ni watu walioishiwa integrity mbele ya jamii.
 
Mkuu, karibu miezi mitatu hawa wakulu walikuwa kwenye mchakato wa uchaguzi na mambo yalikwenda. Bora tu Makatibu Wakuu, wangeongoza Wizara.
Yap! Umenena!! Hao wote ni wanasiasa tusitegemee miujiza! Wanatuongezea gharama tu makatibu wakuu wanatosha ambao ndio watendaji wa wizara. Baraza bado ni kubwa na lina wafavour mafisadi kwasababu wapiganaji wote wa ufisadi wamezibwa midomo kama Sitta na Dr Mwakyembe. Mwakyembe ndio amezibwa kabisa kwa kuwekwa chini ya Dr Magufuli. Hata kama ni kumziba mdomo angepewa uwaziri kamili
 
Katika mazingara ya vyama vingi vya siasa itakuwa vigumu candidate wa Kizanzibari kushinda/kukubalika bara.
 
I think our country has a seroius critcal problem . We dont have a Stable government structure. Ni wakati wa Decisnmakers kukaa na kuchagua Structure moja itayodumu japo kwa 15 years.
Hii kuhamisha hamisha wizara na idara maana yake:-

  • kuna utendaji utalega lega katika kipindi cha kuanza maisha kwenye structure mpya
  • Kuna vifungu vya bajeti vitakuwa mis allocated
Kuhusu hili baraza hapa nasubiri kuona utendaji wa prof Tibaijuka kama utakuwa wa kiwango cha UN. kwa wengine sitegemei miujiza

Kuhusu Magufuli inazua maswali mengi kwa JK. Kabla ya JK kuingia Ikulu Magufuli alikuwa hapo. Jk alivyoingia akamtoa. Maybe alitaka utendaji ule mzuri magufuli aupeleke kwenye wizara nyingine au JK alimini kuna mwingine anaweza kufanya vizuri zaidi ya Magufuli. Sasa tena kamrudisha wizara ile ile Why? But am sure magufuli wa JK will never be tha same magufuli wa kipindi cha Mkapa.
 
mawaziri 28 wote wa nini? This is a very big government for a poor country like ours!
 
No comments. New wine in the old bottle!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mbona ni 26 vs 21 ie mawazili na manaibu respectively (QUOTE)


Watu wengine bwana, huchukulia mambo haraka haraka sana. Wanachukulia orodha iliyoonyeshwa ambayo ni 26 lakini hawajui kuwa katika orodha hiyo Ofisi ya Rais kuna mawaziri wawili na Pia Ofisi ya Makamu wa Rais ina mawaziri wawili pia. Ofisi ya Waziri Mkuu nayo ina Mawaziri wawili. Kwa hiyo kwa ofisi hizo nyeti tayari kuna mawaziri sita. Kuna wizara nyingine 23 ambazo zina Waziri mmoja mmoja. Kwa hiyo sita jumlisha 23 ni 29. Haya twende sasa kwa mawaziri wadogo ambao wako 21. Hivyo basi jumla ya mawaziri wote wakiwemo MAWAZIRI (Wakubwa) na Mawaziri wadogo ni 29 + 21 = 50.
 
Back
Top Bottom