Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
unazani tutalalamika na kuhuzunika mpaka lini sasa tuanze kufanya kazi tuuu maendeleo tuyaone!kazi gani ya kutuibia na kutunyonya?
Hv anayehusika na oic na mahakama ya kadhi ni nani?
unazani tutalalamika na kuhuzunika mpaka lini sasa tuanze kufanya kazi tuuu maendeleo tuyaone!kazi gani ya kutuibia na kutunyonya?
Nakuomba hurudi kundini,ushirikiane na wana Chadema wenzako.Kuendelea kuimba wimbo wa ccm kunakumaliza kisiasa na wenyewe awana shukrani.Umri unaruhusu na uwezo bado unao.
Hv anayehusika na oic na mahakama ya kadhi ni nani?
Mama Magreth SittaMawaziri waliotemwa,kwenda kukaa beki bencha bungeni hawa....
Prof.Juma Kapuye
Prof.David Mwakyusa
Prof.Peter Msolla
Mh.Chiligati
Mh.Summari
Mh.Seif Khatibu
Mh.J.Wanjancha
Mh.H Chibulunje.....
Kama kuna aliyesaulika ongezea....
mkuu sipendi litokee ndo maana nimeuliza! Nilitaka nimpe angalizo tuu.unasema tuyaache halafu unayaanzisha.
Kuna mambo mengine huwezi kuacha kama ambavyo mtu hawezi kusahau kifo cha baba/mama yake mzazi
Kwani kaka alikuwa na matamanio ya kujumuishwa kwenye baraza la JK? acheni fitna wajameni...