GE2025 Mwita Mwikwabe Waitara, mwisho wa enzi

GE2025 Mwita Mwikwabe Waitara, mwisho wa enzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3403234
Analia baada ya kukatwa jina na Kamati ya Siasa ya Wilaya. Hii ndiyo dalili kwamba hahitajiki tena baada ya kutumika kumsaliti Tundu Lissu mwaka 2017.

Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitara alipata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Ya zamani sana hii
 
View attachment 3403234
Analia baada ya kukatwa jina na Kamati ya Siasa ya Wilaya. Hii ndiyo dalili kwamba hahitajiki tena baada ya kutumika kumsaliti Tundu Lissu mwaka 2017.

Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitara alipata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Nywele zote zimenyonyoka sababu ya kunywa mapombe,

20250712_164100.jpg
 
Huyu Kolo vipi Tena kwanza akajiajili

pili huu uliaji mbona umekaa kikike sana, Beki zipo kweli hapo
Au Bakari nondo Mwamyeto ameshatoka.
 
Ana hofu gani mbona ukuu wa wilaya au mkoa uko njiani!?
Akikosa agombee ndani ya chama Kuna vyeo kibao asiangalie maisha kwenye angle Moja
 
Tatizo lao wakipata uongozi hawajui kuwa uongozi siyo kama aridhi ambayo inakatiwa hakimiliki.
 
Back
Top Bottom