GE2025 Mwita Mwikwabe Waitara, mwisho wa enzi

GE2025 Mwita Mwikwabe Waitara, mwisho wa enzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3403234
Analia baada ya kukatwa jina na Kamati ya Siasa ya Wilaya. Hii ndiyo dalili kwamba hahitajiki tena baada ya kutumika kumsaliti Tundu Lissu mwaka 2017.

Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitara alipata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Huyu bwege anaona ubunge ni birthright yake
 
View attachment 3403234
Analia baada ya kukatwa jina na Kamati ya Siasa ya Wilaya. Hii ndiyo dalili kwamba hahitajiki tena baada ya kutumika kumsaliti Tundu Lissu mwaka 2017.

Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitara alipata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.

Video ya zamani sana hii.
 
View attachment 3403234
Analia baada ya kukatwa jina na Kamati ya Siasa ya Wilaya. Hii ndiyo dalili kwamba hahitajiki tena baada ya kutumika kumsaliti Tundu Lissu mwaka 2017.

Mwitta Mwikabe Waitra hafai kwa lolote. Hana msimamo na ana tamaa ya madaraka. Ni msaliti Huyu Mwita Waitara alipata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwake.
Hii video Ina zaidi ya miaka 2 na haihusini na mchakato wa Sasa wa uchaguzi
 
Naibu wazir aliyewahi kufundisha watoto hesabu ubaoni?
Ndiyo, ili aonekane
 
Ha
Mbali ya unafiki wake, hiyo sura imefura sababu ya utumiaji uliopitiliza wa pombe.

Nenda Moshi Bar Ukonga ukaulizie, alikuwa analewa mpaka kujikojolea. Huyo kunywa mpaka kuzima ni kawaida.

Kwakuwa???
Hapa ndo utajua Tanzania watu wengi, wamelogwa, kukosa ubunge ndo unabubujkwa na machonzi mbele ya kamera? Taifa hili wake wake wamekufa nafsi zao, ndo maana Taifa haliendelei, hawajitabui, jitu zima ,na watoto na mke,linalia, kisa ubunge? Eeeeee! Mungu tusamehe sisi, hatujui duniani tupo kwa ajili ya nn?
 
Nachojua amekatwa Ila video ya kitambo .

Ukiachana na kunywa Pombe Ila jamaa ni smart Sana kawazidi Ccm wengi Akili .

Mwambieni aache konyagi sauti itakata Kama dudu baya.
 
Ha



Hapa ndo utajua Tanzania watu wengi, wamelogwa, kukosa ubunge ndo unabubujkwa na machonzi mbele ya kamera? Taifa hili wake wake wamekufa nafsi zao, ndo maana Taifa haliendelei, hawajitabui, jitu zima ,na watoto na mke,linalia, kisa ubunge? Eeeeee! Mungu tusamehe sisi, hatujui duniani tupo kwa ajili ya nn?

Video ya zamani sana hiyo.
 
Mbali ya unafiki wake, hiyo sura imefura sababu ya utumiaji uliopitiliza wa pombe.

Nenda Moshi Bar Ukonga ukaulizie, alikuwa analewa mpaka kujikojolea. Huyo kunywa mpaka kuzima ni kawaida.
Kuna mwananchi mmoja wa Ukonga alimkuta Bar anakunywa. Mwananchi akalalamika kuhusu ubovu wa barabara. Mwitta akamjibu "Barabara zitakusaidia nini wewe? We kunywa pombe hapa uondoke"
 
Back
Top Bottom