Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 524
- 131
Atafufuka tena si muda mrefu. Ingawa atazaliwa upya kwa jina lingine.
<br />
<br />
Lakini mbona aki-pm mtu huwa anaandika pointi sana. Labda wamemfungia kwasababu ni anti-chadema lakini mimi sioni tatizo lake
Ok ni sawa kuwa pro CCM na pro CDM , walakini ya Mwita25 ni kuattack personalities, kuna picha moja alicomment vibaya sana about general physique of that person, kwa mwanaume rijali...I think tht was too low!
Kwani ulkikuwa hujui?
Hili ni jukwaa la Chadema
Kama ubongo wako unafanya kazi sawa na wake, kamwe huwezi kuona tatizo lake.<br />
<br />
Lakini mbona aki-pm mtu huwa anaandika pointi sana. Labda wamemfungia kwasababu ni anti-chadema lakini mimi sioni tatizo lake
kumbe aki pm mtu anaandika vitu vya maana basi angeendelea hvo hadi jukwaani................sio coz ni anti chadema ka kijana kalikua kana dharau sana na kujikuta ndo ka legendary ka jukwaa<br />
<br />
Lakini mbona aki-pm mtu huwa anaandika pointi sana. Labda wamemfungia kwasababu ni anti-chadema lakini mimi sioni tatizo lake
hapo kwenye red una uhakika au unaongea 2?ana maskio ya punda lakini hakuwa msikivu aikua anadharau sana huyu kijana ki2 ambacho sio kizuri kwa mwenzio^ Arghhhh! 🙁 Yaana humu ndani mtu akila ban tu, basi mijitu mingine inajidai inamjua na ilikuwa haipendi posts zake, sasa kwanini hamkumwambia kabla hajapigwa ban? Mnashangilia mtu akipigwa ban ehh? Hii JF ni kwa watu wa aina zote wenye mawazo ya aina zote. Sio kila mchangiaji lazima aunge mkono hoja za wana JF wengine. Ni mtazamo tu.
ana nini cha ajabu kushinda binadamu wenzie.................KICHWA CHA MBUZI AU?<br />
<br />
Hahaha kwel kazi sana.
Ivi kama mnataka kumjua mwita Phisical si mseme jaman.
Narudia tena!!kama unajua ni jukwaa la chadema, wewe unafuata nini huku??<br />
unataka watu wakatoe posa?
Kuna mtu anaitwa PAW anafatilia sikuhizi utasikia X marged...lolpole mwita wenzio tunakuwa na ID mbili mbili,moja ikiwa banned unatwanga na nyengine....
My concern ni upendeleo wa wazi waz unaofanywa na mods! Ukiongelea mabaya CDM unakula ban! But hata uitukabe vp CCM..hamna anayekugusawe unag=fanyaje humu????????<br />
mbona mimi si cdm?
Kama ni chadema wewe unafanya nini hapa chapa malapa mwana izaaa wewe....Narudia tena!!
Hii kitu ni ya chadema!! Hata colour ya wall yake ina whte, red na blue..ambazo zote ni colour za CDM!
Imenisikitisha sana hii habari.
Tupe mfano mama acha kulialia....My concern ni upendeleo wa wazi waz unaofanywa na mods! Ukiongelea mabaya CDM unakula ban! But hata uitukabe vp CCM..hamna anayekugusa
Kuchapa malapa ndio nini?Kama ni chadema wewe unafanya nini hapa chapa malapa mwana izaaa wewe....
We mtoto wa kike kitu kinajionyesha vizuri!Tupe mfano mama acha kulialia....