Mkuu mchango wako ungekuwa mzr kama ungeishia tu kuwa maoni na uelewa wako,ila umehatibu sana uliposema tb joshua na blablaa kibao oooo sijui alisema nn.
Mkuu hyo jamaa ni Muongo balaa, kwanza unajua historia yake vizr? Unajua utume alipewa na nan? Unajua kwa nn alianzisha kanisa lake? Unajua asili ya hyo superpower aliyo nayo?
Unamawazo mazuri ila hyo jamaa ni hatari kuliko vita, ni mwongo kama lusifa, tena anawadanganya yamkini hata wateule wa Mungu,
Mkuu soma kanuni za nabii, anavyopatikana, dalili zake, na wito wake, vinginevyo mmmmmh..