Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,042
- 142,978
Mbona hamna jipya hapo.
Kila mara huwa wanachimba biti na hamna wafanyalo.
Ndo zao hizo.
Kila mara huwa wanachimba biti na hamna wafanyalo.
Ndo zao hizo.
iwe iwavyo mimi nakakubali mnooo.hahahaaa kati ya hao uliowataja hakuna aliewahi kusema ana mpango wa kuwarushia makombora ya nuclear,kama yupo basi anaongea chinichini hajajitokeza hadharan km mwanaume mwenzao kim jong un
Marekan aombe poo kwa huyu boya?? Marekan haongeagi sana..si una kumbuka alichopewaga japan had leo hasahauHapo ndio marekani itabidi iombe pooo! Taifa hilo litashuka sana kiuchumi iwapo litaanza vita hiyo
aaah unamaanisha ni nchi gani iliomvamia mwenzake na kuibua ile vita?Mwambieni USA aache uchokozi. Ile military demarcation line unajua ilianza anzaje
Well said mkuuwatu wakiwa wanapia mabiti kama ya north korea watu ooh marekan anaogopa wewee...ikitokea mtu kashushiwa chapo ooh marekani anajifanya mbabe...maana watu walimsifia ooh saddam hussein ni mtu hatari sana marekan hawez kugusa pale..ila jamaa walivyogawa chapo yakabaki malalamiko oooh hawa marekani wanaonea sana.....sasa msifieni huyo dogo mpen kichwa awarushie hio nuclear yake kwa hao jamaa kama hawajamfanyia carpet bombing
aaah unamaanisha ni nchi gani iliomvamia mwenzake na kuibua ile vita?Mwambieni USA aache uchokozi. Ile military demarcation line unajua ilianza anzaje
Hiv unajua ameanza kusema tangu lin hii mikwara yake? Na mpaka leo hata bom la mkono hajawahi rusha"i see an "arrow" from there(north korea) and it will affect the whole world"(namnukuu tb joshua
Kwa hayo maneno ya unabii aliyotoa mkesha wa mwaka mpya mwaka huu huoni kuna kitu?
Since northkorea ni taifa la kibabe na lina silaha ambazo mataifa mengi yanaziogopa na pia rais wake dictator Anaamua anavyotaka yeyey hata mabaraza ya usalama yakijitoa kumshauri hashauriki..So akisema ndio ujue shambulizi linafuata tu.Na unadhani marekani ikishambuliwa itatulia tu!!?? ni vita! na itasambaa kwa most of d countries pande za asia na amerika kutokana na assistance watakazopata kila
Mmoja na ubaya wa silaha za nyuklia pia utaongeza athari and possibly it will b the 3world war!! na hiyo itaaffect dunia nzima kiuchumi,kiustawi etc..
kama ni kweli ni unabii kutoka kwenye bible kwamba ni nyakati za mwisho basi yatimie!
Na ukweli tb joshua anaonyeshwa na mungu,hadanganyi.Alishatoa nabii nyingi sana ikiwemo syria,aliwashauri wasijiingize kwenye vita kwani uamuzi utaleta matokeo mabaya,wengi wasio na hatia watakimbilia nchi za ulaya,pia utaathir nchi jirani zinazoizunguka syria...But syria wakaamua walichoona kinafaa na matokeo yameonekana.
So kama tb joshua angeonyeshwa pia wafanye nini ili huyu kim jong asiingie kwenye vita angesema but ukweli hii vita kuna kila dalili haina budi kuja mengineyo yatimie!
dogo bhana hivi anafika hata miaka 35?Well said mkuu
Huyu dogo atakuja kuchezea kichapo hatokaa aamini..mi namshangaa sana na mikwara yake..hajaanza leo wala jana kila siku mikwara..watu tunataka kaz tu
watu wanafanya mazoez kwenye ardhi yao na yeye anaruhusiwa kufanya mazoez na china russia au rafiki yake yeyote,nchi nying sana dunian znafny joint millitary exerciseKim hangekuwa na matatizo kama wangekuwa hawamchokozi,kila siku wanamfanyia mazoezi makubwa ya kijeshi mpakani.
Hiv unajua ameanza kusema tangu lin hii mikwara yake? Na mpaka leo hata bom la mkono hajawahi rusha
lets wait mwaka huu basi!tutaona kama atafanya kweli au blah blah na mikwara tu!Hiv unajua ameanza kusema tangu lin hii mikwara yake? Na mpaka leo hata bom la mkono hajawahi rusha
Ana 33 mshenz huyudogo bhana hivi anafika hata miaka 35?
Na mmarekan alivyo mshenz kesho utasikia katuma B2 bomber yeye hatakag maneno mengwatu wakiwa wanapia mabiti kama ya north korea watu ooh marekan anaogopa wewee...ikitokea mtu kashushiwa chapo ooh marekani anajifanya mbabe...maana watu walimsifia ooh saddam hussein ni mtu hatari sana marekan hawez kugusa pale..ila jamaa walivyogawa chapo yakabaki malalamiko oooh hawa marekani wanaonea sana.....sasa msifieni huyo dogo mpen kichwa awarushie hio nuclear yake kwa hao jamaa kama hawajamfanyia carpet bombing
Kosa lake ni nini? Mkorea wa Kasikazini anaelalamika ni nani? Kwangu mimi mharifu namba moja duniani ni George Bush baba na mtoto wakeHuyu chalii sijui kwanini bado ulimwengu una muangalia tu kichwa chake kilivyojaa tope siku atashambulia kwa nuclear atafutiwe njama tu angoke ata kwa assassination
uko nyumbani kwako halafu jirani yako anakuja na marafiki zake nje ya geti lako na kuanza kufanya mazoezi ya kulenga shabaha,utakaa kimya ?watu wanafanya mazoez kwenye ardhi yao na yeye anaruhusiwa kufanya mazoez na china russia au rafiki yake yeyote,nchi nying sana dunian znafny joint millitary exercise
af anaanzaga kama masihara vile,hashtukizagi huwa anatangaza kwanza kwamba tunakupa 48hrs tunakuja kukuvamia so kama nawe unabomba za kutosha ujipangage kabisa,yNa mmarekan alivyo mshenz kesho utasikia katuma B2 bomber yeye hatakag maneno meng
hawez kupigwa kirahisi ila lazima achapike,sema nchi kama china lazima wamtulize dogo maana wanajua akizingua akachapwa basi lazima nchi imezwe na south korea af sasa hii itakua ina negative impact kwa china so china atafnya awezavyo ili pensula iendelee kuwa tulivu tu mikwala iendelee ila wasianzishe vitakwa anaye fatilia history ya hawa rafiki zetu wa zamani si Mara ya kwanza...... awamu ya mwisho walionesha mpaka pentagon na white house zikitunguliwa.... pia alisogeza mpaka makombora baharini wengi mnakumbuka hili.......
Nipishane na wale wanao amini ama wanaohisi kuwa hii familia tawala haipendwi! wanawapenda mno! Babu aliweza kuweka misingi mizuri ya kuwafanya waaminike. Naomba niseme na MSEZA MKULU shahidi hawa jamaa wanaaminiwa na wanapendwa kuliko kitu chochote! Ni Kama dini. Ile itikadi ya kijamaa ya JUCHE inafuata kwa kupendwa zaidi.
Mwusho nipishane na wale wanao hisi hawa jamaa watapigwa kirahisi na marekani. Kwanza Tawala zote zilizopita ziliipa sekta ya kijeshi uzito wa hali ya juu Kama sekta ya kilimo. Jeshi Lao ni Kali Kama siafu! Idadi ya wanajeshi ni kubwa kuliko RAIA na wanambinu na vifaaa. Ujio wa huyu Kijana umeiimarisha nchi kiteknolojia wapo vizuri! mifumo yao ni siri mno! wanaubarozi wa RUSIA tu! Hata tunavyosikia ameua ama amefanya nini ni tetesi tuu ama uzushi wa Korea kusini japo machache yaweza kuwa kweli. Kwakifupi tusubiri kwasababu huyu dogo anajua kuwa tumechoshwa na vitisho tunataka vitendo
naye afanye kwake,mbon china anfanyaga mazoez kwe pwan ya japan ila japan hajawah lalamika?marekan anafanya mazoez kule black sea lakin russia anawamonitor tu coz hawavunji international laws,sasa yeye aawapige watu nuclear kisa wanafanya mazoez nchini kwao kweli??kweli lazima mtu ajihami ila yule kijana anaongea sana,huwez kuwa rais af unakosa staha vile,alishwah mwambia presida wa south korea ni mpumbavu na kichaa.....wale jamaa wanamatatizo mkuuuko nyumbani kwako halafu jirani yako anakuja na marafiki zake nje ya geti lako na kuanza kufanya mazoezi ya kulenga shabaha,utakaa kimya ?
Halafu jirani unamsikia anakusema vibaya kwa watu,"ooh,wanalala na njaa,hawana chakula cha kutosha"etc etc
utabaki mpole ama nawe utajitutumua