"i see an "arrow" from there(north korea) and it will affect the whole world"(namnukuu tb joshua
Kwa hayo maneno ya unabii aliyotoa mkesha wa mwaka mpya mwaka huu huoni kuna kitu?
Since northkorea ni taifa la kibabe na lina silaha ambazo mataifa mengi yanaziogopa na pia rais wake dictator Anaamua anavyotaka yeyey hata mabaraza ya usalama yakijitoa kumshauri hashauriki..So akisema ndio ujue shambulizi linafuata tu.Na unadhani marekani ikishambuliwa itatulia tu!!?? ni vita! na itasambaa kwa most of d countries pande za asia na amerika kutokana na assistance watakazopata kila
Mmoja na ubaya wa silaha za nyuklia pia utaongeza athari and possibly it will b the 3world war!! na hiyo itaaffect dunia nzima kiuchumi,kiustawi etc..
kama ni kweli ni unabii kutoka kwenye bible kwamba ni nyakati za mwisho basi yatimie!
Na ukweli tb joshua anaonyeshwa na mungu,hadanganyi.Alishatoa nabii nyingi sana ikiwemo syria,aliwashauri wasijiingize kwenye vita kwani uamuzi utaleta matokeo mabaya,wengi wasio na hatia watakimbilia nchi za ulaya,pia utaathir nchi jirani zinazoizunguka syria...But syria wakaamua walichoona kinafaa na matokeo yameonekana.
So kama tb joshua angeonyeshwa pia wafanye nini ili huyu kim jong asiingie kwenye vita angesema but ukweli hii vita kuna kila dalili haina budi kuja mengineyo yatimie!