Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,702
Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, leo hii ametishia kuzishambulia Korea kusini na marekani Kwa kutumia makombora ya nyuklia.
Endapo atafanya mashambulio hayo, ndo mwisho wa enzi wa utawala wa kiimla wa Korea kaskazini utakuwa umefika mwisho.
Maana watakutana na kichapo hatari na Kim Jong un atapinduliwa na kunyongwa na kisha utawala wa kidemokrasia utachukua nafasi.
Rais Kim Jong Un akiwa na mjomba wake Jenerari Taek aliyemuua kikatili Kwa kumweka katika chumba chenye mbwa 100 wenye njaa Kali na vichaa.
Endapo atafanya mashambulio hayo, ndo mwisho wa enzi wa utawala wa kiimla wa Korea kaskazini utakuwa umefika mwisho.
Maana watakutana na kichapo hatari na Kim Jong un atapinduliwa na kunyongwa na kisha utawala wa kidemokrasia utachukua nafasi.
Rais Kim Jong Un akiwa na mjomba wake Jenerari Taek aliyemuua kikatili Kwa kumweka katika chumba chenye mbwa 100 wenye njaa Kali na vichaa.