Mwisho wa utawala wa Korea kaskazini umekaribia

Mwisho wa utawala wa Korea kaskazini umekaribia

mkuu ile draft ya sanctions ilipelekwa security council kupigiwa kula na kati walioidraft alikuwa mchina,waliopiga kura ni pamoja na china na russia ambao ni rafiki zake,sasa mkuu majungu yanatoka wapi hapa maana vitu vngne ni vigum kuvielewa

Amerika haina mamlaka yoyote
ya kukataza Mataifa yanayo inukia yssijiendeleze kisaysnsi na kitekinilolojia
 
Libya mpaka sasa wanalia na kusaga meno wameshapewa hiyo mnayoiita demokrasia.
 
mkuu hakuna linaloshindikana chini ya jua,ilikuwepo roman empire ikapita tumeshaisahau,na hii marekani nayo itakuja tu kuanguka haitadumu milele,ila kwasasa tukubali tuikubali tu hii american hegemony na tukubali tu ukweli kwamba marekani kijeshi labda italinganishwa na RUSSIA lakini si north korea,north korea hata kwa japan anakaa tena mapema mno
 
mkuu hakuna linaloshindikana chini ya jua,ilikuwepo roman empire ikapita tumeshaisahau,na hii marekani nayo itakuja tu kuanguka haitadumu milele,ila kwasasa tukubali tuikubali tu hii american hegemony na tukubali tu ukweli kwamba marekani kijeshi labda italinganishwa na RUSSIA lakini si north korea,north korea hata kwa japan anakaa tena mapema mno

Ilianza Babylonian empire ikapita
ikaja Medo-Persian empire ikapita
ikaja Greece empire ikapita
ikaja Roman empire ikapita.

baadaye ikaja UK kama world super power, baada ya WWII ikapita.
ikaja marekani na USSR na kua mwanzo wa wababe wawili kuibuka (bipolar powers) , USSR ikaanguka kipindi cha vita baridi, ikawa mwisho wa bipolar power, na hapo ndipo Marekani ikawa world superpower, wakaiita majina mengi kama American Hegemony, Kiranja mkuu wa dunia, msemaji wa mwisho katika masuala yote hata UN ipo chini yake na haiwezi sema kitu dhidi yake.

Kwa hali iliyopo naona Russia wanaangaika kurudisha bipolar power, sasa sijui nani ataweza kuondoa American hegemony. maana hadi sasa America ndio wanaongoza dunia kiuchumi na kijeshi. China wanaonyesha jitihada kuipiku America kiuchumi huku Russia wanaonyesha juhudi kuipiku America kijesha.

Ingawa naona itakuwa ngumu kuangusha American supremacy kwakuwa imeweka mizizi kupitia dollar economy nk... pia kupitia washirika wake wa NATO.
 
Wapo kina asyrian empire,egphty,mongolia,geghis khan.
Dunia imetoka mbali,america empire haina miaka 70.

Kuna empire kama persia ,asyria zilikuwa zinadumu miaka zaidi ya 700
 
I said it huyu dogo hana washauri wazuri that is it! Ukiondoa Russia, China na Japan ukanda ule wooote Marekani wanapita tu kama wananawa. Kizuri zaidi ni kwamba South Korea pia atakuwemo kunogesha hii show na huyu dogo atapigwa na nchi zaidi ya kumi bila yeye kujua vipigo vingine vinatokea wapi
kwel uyu dogo hakutakiwa kupewa nchi hakiwa na umr ndogo miaka 19 kama sijakosea....hana washauri wazuri kabisa tofauti na china na urusi
 
Ilianza Babylonian empire ikapita
ikaja Medo-Persian empire ikapita
ikaja Greece empire ikapita
ikaja Roman empire ikapita.

baadaye ikaja UK kama world super power, baada ya WWII ikapita.
ikaja marekani na USSR na kua mwanzo wa wababe wawili kuibuka (bipolar powers) , USSR ikaanguka kipindi cha vita baridi, ikawa mwisho wa bipolar power, na hapo ndipo Marekani ikawa world superpower, wakaiita majina mengi kama American Hegemony, Kiranja mkuu wa dunia, msemaji wa mwisho katika masuala yote hata UN ipo chini yake na haiwezi sema kitu dhidi yake.

Kwa hali iliyopo naona Russia wanaangaika kurudisha bipolar power, sasa sijui nani ataweza kuondoa American hegemony. maana hadi sasa America ndio wanaongoza dunia kiuchumi na kijeshi. China wanaonyesha jitihada kuipiku America kiuchumi huku Russia wanaonyesha juhudi kuipiku America kijesha.

Ingawa naona itakuwa ngumu kuangusha American supremacy kwakuwa imeweka mizizi kupitia dollar economy nk... pia kupitia washirika wake wa NATO.
jamaa hataki kukubali still anataka awe treated sawa na mwenzie.....kuuukubali ukweli ni kazi tena...unajua sasa hivi kuna US na EU wana sauti sana kwasababu ya nguvu yao ya kichumi pia na china nae ushawishi wake unakua sana...influence ya russia imebaki kubwa upande wa arms tu ila sehemu nyingi zngne anafall behind ya wenzake
 
Wapo kina asyrian empire,egphty,mongolia,geghis khan.
Dunia imetoka mbali,america empire haina miaka 70.

Kuna empire kama persia ,asyria zilikuwa zinadumu miaka zaidi ya 700
hii empire ya sasa hivi imedumu miaka kama mia tu..naona mdau ushaichoka
 
Amerika haina mamlaka yoyote
ya kukataza Mataifa yanayo inukia yssijiendeleze kisaysnsi na kitekinilolojia
Ni nchi gani ambazo zilijaribu kujiendeleza afu marekani waka kataza? Mbona japan na south korea zimeendelea kiteknolojia na kisayansi na wote ni washirika wa marekani? .
 
Wananchi wa Korea kaskazini bila shaka ndani ya mioyo yao wanatamani sana kuondokana na aina hii ya utawala, kweli kwa anavyokwenda, hana siku nyingi huyu young dictator ambaye mikono yake imejaa damu.
mkuu umejuaje kama wanatamani utawala uondolewe,
 
Ni nchi gani ambazo zilijaribu kujiendeleza afu marekani waka kataza? Mbona japan na south korea zimeendelea kiteknolojia na kisayansi na wote ni washirika wa marekani? .
Amerika haipo tayari kuona kainchi kanaibuka na teknolojia ya kijeshi ambayo inaweza kutishia uwezo wake. Mfano Iran kujaribu kutengeneza silaha za nyuklia wakati yeye anamiliki shehena ya mabomu ila hataki wengine waweze kuwa na teknolojia hiyo, pia kila siku anazikandamiza nchi zinazooshesha upinzani kwake hususani wakijeshi kwakuziwekea vikwazo vya kiuchumi kupitia mgongo wa UN na maujanja yake.
 
Amerika haipo tayari kuona kainchi kanaibuka na teknolojia ya kijeshi ambayo inaweza kutishia uwezo wake. Mfano Iran kujaribu kutengeneza silaha za nyuklia wakati yeye anamiliki shehena ya mabomu ila hataki wengine waweze kuwa na teknolojia hiyo, pia kila siku anazikandamiza nchi zinazooshesha upinzani kwake hususani wakijeshi kwakuziwekea vikwazo vya kiuchumi kupitia mgongo wa UN na maujanja yake.
Tatizo la vi nchi kama iran na north korea ni kwamba haziko stable na zinaongozwa na wendawazimu kama kim jong un. Hii na hatari sio marekani tu bali kwa dunia nzima coz nuclear ni kitu hatari sana. Hiyo north Korea kila cku utasikia wanatishia kutumia hilo bomu lao dhidi ya south korea na usa. Marekani ana kila haki ya kuhakikisha north korea hapati teknolojia ya kuwekeza kutumia hilo bomu. Lakini huwezi kusikia marekani anamzuia china au France kua na nuclear coz nchi hizo ziko na amani na hazijawahi kitishia kulipua majirani zao na hiyo nuclear....ebu pata picha Kenya wana silah za nuclear alaf kila cku wanatishia kiupiga Tanzania unafkiri serekali yetu itakaa tu bila kuchukua hatua zozote za kulinda usalama wa raia? Maana kabla ya kuilaumu marekani tufikirie kwanza ingekua sisi je?
 
Hawezi kutumia silaha za nyuklia.Anazitumia kutisha ikiwa kama kinga yake dhidi ya marekani.
 
Jamani mnaosema miaka yote ni biti tu la mdomo ndio Korea kaskazini wanatoa ,msisahau pia ni utawala tofauti ndio umekua ukitoa hizo biti ,labda babu na baba yake dogo walikua na busara kidogo ,huyo mtoto anaweza asiwe kama babu au baba yake ,

Mmarekani anamkataza mwenzake asitengeneze mabomu ya nyuklia wakati yeye alionyesha dunia kwa vitendo namna ya kutumia hayo mabomu Japan ,vyovyote vile hata kama huyo dogo Marekani atafanikiwa kumdhibiti ,ni nani atakuja kumdhibiti Mmarekani ama Mchina ama Mrusi ?? Mungu alisema hatoingamiza dunia kwa moto wala maji nadhani dunia hii tutajiangamiza wenyewe
 
tatizo ni location ya mji wa seoul,korea ya kusin wanazo silaha za kisasa kuzidi korea ya kaskazini.
Tatizo mji wao mkuu upo km 45 toka pale Demilitarize zone,na hapo ndo kun artilery karibu 30000 zimetarget mji mji wa seaul.
Wanadai mashambulizi hizo artilery piece ndani ya masaa mawili zinaweza kusababisha casualt ya watu milion 1 ndani ya mji wa seoul
We jamaa kwa story zako za uongo uongo na kutunga nakukubali kinoma
 
Malkia ni mtawala wa kijadi tu na ni nafasi ya heshima hana nguvu zozote za kiutawala. Mtawala ni Waziri Mkuu ambaye huchaguliwa.
Hata huyo dogo wa Korea kaskazini naye hicho cheo ni cha heshima tu na mgabe pia usisahau
 
Back
Top Bottom