Mwisho wa utawala wa Korea kaskazini umekaribia

Mwisho wa utawala wa Korea kaskazini umekaribia

Hizi nchi zote hiz zina shehena ya kutosha ya nuclear c korea kaskazini si Russia wala si USA yaan hao na wengineo wengi tu wana maghara na maghara,kama marekani alikuwa ndo first developer wa nuclear technology miaka hiyo,je hayo ambayo alikuja kuyatengeneza wakati technologia ishakuwa ya hali ya juu hivi yatakuwaje,yatakuwa na madhara kias gani!? Binafsi sipendi kabisa kusikia hii mizozo ya kinuclear.Busara pekee ni kuomba Mungu azitawale akili za watu hao maana cku jambo likiwa jambo cjui itakuwaje.
 
Naona sasa propaganda na conspiracy theories zimetawala baina ya Marekani na eneo zima la Peninsula ya Korea. Tangu ile vita ya Korea 1953, baada ya Babu yake Kim Jong Un, aliyekuwa muanzilishi wa taifa la Korea kaskazini ( Kim il Sun), na baadaye mwanae (Kim Jong il) Kuwekuwa na Mvutano wa moja kwa moja baina ya kusin na kaskazini, huku mgogoro huu ukipaliliwa na marekani kupitia propaganda zake kama democracy, human rights, the interview nk....

Baada ya Vita ya pili ya dunia (WWII) Korea iligawanywa na kuwa matafa huru mawilii , huku Marekani wakileta ustaarabu wa kimagharibi eneo la Kusini (USA na washirika wake walikuwa wanawakilisha komandi ya UN) na USSR wakieneza utaarabu wa kijamaa eneo la kaskazini. Baada ya muda mfupi tuu mwaka 1951 Korea mbili zikaingia vitani huku, kusini ikisaidiwa na Marekani na washirika wake zaidi ya nchi 60 na Kaskazini ikisaidiwa na USSR, China na baadhi ya nchi za kijamaa kama Hungary, Mongolia , Czech na Bulgaria..

Matokeo ya vita ikawa Kaskazini wakashinda na kuongeza eneo lao kuvuka 38 parallel. Huu ulikuwa ni moja ya ushindi mkubwa wa USSR dhidi ya USA kipindi cha vita baridi. Na ni moja kati ya vita ambayo USA walishindwa vibaya (vita nyingine ni ile ya Vietnam na wachambuzi wengine pia wanasema mgogoro wa Syria baada ya urusi kuingia) . Rais wa USA wa kipindi hicho (Harry S Truman) akaamua kusema sio vita bali ni "police in action" ili kuficha ukweli wa mambo ingawa walituma vikosi vya kijeshi wala siyo masheriff (police wa majimbo).

Baada ya mwaka 1953 vita iliisha huku USA akipata kuistaarabisha Korea kusini na kufanya mission impossible kwa kuistaarabisha Korea kaskazini. Hakukuwa na mkataba wa amani zaidi ya demilitary demarcation zone (DMZ)kati ya Korea kusini na kaskazini, hii imepelekea mataifa haya mawili kuishi kwa uhasama wa hali ya juu.

Sasa kwa suala la kufanya mazoezi eneo la peninsula ya Korea upande wa kusini ya hiyo DMZ ndiyo inatishia usalama wa upande wa kaskazini (Korea) hivyo Kim Jong Un anaitishia marekani kuwa anajibu kwa kutumia makobora ya nyuklia kuishambulia USA na Korea kusini. Anasema atatumia intercontinental ballistic missiles(ICBM) na cruise missiles ili kulibda utaifa wao dhidi ya uvamizi wa USA na Korea kusini, maana anaamini mazoezi hayo ni uvamizi wa taifa lake na ikumbukwe kuwa USA tayari ameweka mfumo wa kinga ya makombora eneo kusini ya DMZ ili kuilinda korea kusini.

ingawa naweza sema hii hali ya sasa kweli ni mbaya sana na inaweza leta vita kubwa ila tujue kuwa tangu mwaka 1953 hadi sasa hawajawahi pigana zaidi ya vita ya mdomo na viingozi wote wawili wa Korea naweza waita Warmongers. kwanini nawaita hivi? kila siku Korea kusini wanaweka vipaza sauti karibu na mpaka wa Korea kaskazini na kutoa propaganda zao kuwa wanauwezo mkubwa kijeshi na watawavamia Korea kaskazini. tukija upande wa kaskazini nao ni hivyo hi yo kilasiku Kim anatoa propaganda zake Mara wanauwezo mkubwa kijeshi wana A-bomb wana H-Bomb nk..... ila hawapigani. Mara kwa Mara USA anafanya mazoezi ya kijeshi na Korea kusini, na Korea kaskazini anatoa vitisho ila mwisho wasiku wote kimnya.


Siwezi sema kuwa ni propaganda tuu, na kwamba vita haiwezi tokea, bali tutambue kuwa vita haiwezi tokea bila propaganda, maana propaganda inapokomaa basi watu wanaingia vitani. Na ikitokea vita katika eneo la Korea peninsula basi itakuwa vita kubwa maana kuna uhasama wa muda mrefu sana yani tangu WWII na kunauwezekano wa kutumia silaha hatari za kinyuklia na kuhusisha mataifa makubwa ie. Urusi na china upande wa Kaskazini na USA na NATO yake upande wa kusini.

Urusi na china watatoa support kwa Korea kaskazini kwa kuwa eneo la peninsula ya Korea ni muhimu kwa usalama wa hay a mataifa mawili , ni eneo muhimu katika Geopolitics za mataifa haya.

My take: naona hapa kuna conspiracy theories tuu na wanafanya mambo yao kwakujua kile wanachokitaka ili kuandaa mpango mpya wa ulimwengu. Hivi inakuwaje K. kusini na K. kaskazini kuwa na uhasama wakati wana viwanda vya uzalishaji vya pamoja mpakani? sasa vinaendeshwaje? mbali na hayo kuna wakati wanandugu wanavuka mpaka kusalimiana? zaidi sana wanamkakati wa kuungana, na hii inashangaza sana maana wote wanaridhia kuungana.

Mwisho: Naona matatizo na migogoro mingi inatengenezwa na mataifa yenye nguvu. Kipindi cha vita baridi kilibadili geopolitics za wakati ule na pia bado kinaendelea kubadili wakati huu, ingawa USA ndiye anayeshape global geopolitics kwa sasa na anapelekea kuleta machafuko mengi na huku akiendeleza sera za kipindi cha vita baridi ndo maana hata baada ya kusambaratika kwa Warsaw pact ya soviet union yeye hajavunja NATO, na ikiwa NATO ilianzishwa kwa lengo la kulinda mataifa ya magharibi dhidi ya vitisho vya soviet union.
Good history congratulation
 
Kim Jong Un nakuaminia baba,uwezo unao wakuwapiga hao mbwa wasiokuwa na huruma! Anza kuzirusha zile za km 10000 zenye uwezo wakufika hadi marekani, anza na new york mamaee,,,,then Washingtonyoko.....piga mbwa hao
 
hahahaaa amegundua lini mkuu?sasa ailipue US kwan wana ugomvi?
Kwanza ungetwambia nabii anapatikanaje arafu utwambie uongo wake maana unaweza kuongea maneno mengi kumbe unamkosea MUNGU bora ukakaa kimya kuliko kuongea mengi bila ushahidi
 
Tatizo la vi nchi kama iran na north korea ni kwamba haziko stable na zinaongozwa na wendawazimu kama kim jong un. Hii na hatari sio marekani tu bali kwa dunia nzima coz nuclear ni kitu hatari sana. Hiyo north Korea kila cku utasikia wanatishia kutumia hilo bomu lao dhidi ya south korea na usa. Marekani ana kila haki ya kuhakikisha north korea hapati teknolojia ya kuwekeza kutumia hilo bomu. Lakini huwezi kusikia marekani anamzuia china au France kua na nuclear coz nchi hizo ziko na amani na hazijawahi kitishia kulipua majirani zao na hiyo nuclear....ebu pata picha Kenya wana silah za nuclear alaf kila cku wanatishia kiupiga Tanzania unafkiri serekali yetu itakaa tu bila kuchukua hatua zozote za kulinda usalama wa raia? Maana kabla ya kuilaumu marekani tufikirie kwanza ingekua sisi je?


America wanasera inayokataza taifa lingine liwe na silaha kali kwa kisingizio kuwa mataifa hayo yana ongozwa na viongozi wenda wazimu hivyo nchi zao hazipo stable kuhandle mabomu ya nyuklia.

Ushawahi jiuliza kwanini America wanawekea Russia vikwazo mara kwa mara? Sababu ni kuizuia Russia na kampeni yake ya kurejesha bipolar power system. Kwa hiyo ni hatari kwa America hivyo wanaona wameshafanya kosa kubwa kuona kuna mataifa kama China and Russia ambayo yana uwezo kama wake ndiyo maana wanafanya bidii kutangaza propaganda kwa nchi kama Korea kaskazini, Iran kuonekana hazina uhalali wa kumiliki silaha hizo kwa kusingizia kuwa hizi nchi haziko stable nazinaongozwa na viongozi wenawazimu.

Uwendawazimu wa hayo mataifa ni kuwa hawataki kuwa chini ya utawala wa marekani. Hawataki kuwa westernised, maana ukiwa westernised, chochote utakacho fanya ni sahihi kwa kuwa unawafanyia wao. chukulia mfano mbona UK, France, India, Pakistani na Israel wana silaha za nyuklia ila husikii marekani akisema chochote cha kukosoa haya mataifa? kila siku chokochoko ni kwa Iran na Korea kaskazini?

Ukiangalia kwa makini sana Korea kaskazini wanaishi kwa propaganda sana dhidi ya Korea kusini na marekani, na si mara ya kwanza kutishia hivi. Unakumbuka kilichotokea Hiroshima na Nagasaki, marekani walipotumia mabomu ya nyuklia? sasa kati ya mtu anayetishia kutumia na anayetumia yupi anaongoza taifa kiwendawazimu? na huku roho za watu zimeangamia na madhara hadi sasa yapo? na hakuna taifa lingine lililotumia hizi silaha zaidi ya marekani.

Hivi nani kati ya Truman na Kim Jong Un nani kafanya kweli? Jibu wanalo wajapan. Huyu Kim Jong Un anatishia tuu, mikwala yake ameirithi kwa babuyake (Kim il Sung) na kwa babayake (Kim Jong il) maana hata wao walitoa mikwala kama hiyo lakini hakuwahi kupigana vita na Korea kusini na Marekani.
 
tatizo lilipo ni marekani kung'ang'ania mbinu za kuleta regime change korea ya kaskazini.

Korea ya kusini wanachokoza mno,utasikia wanapakia vipeperushi kwenye parachuti na kudodoshea korea ya kaskazini kuchochea maasi,mara wanafunga masipika makubwa sana na wanaanza kuwahutubia wananchi wa korea eti uzuri wa democrasia,ha ha ha,marekani huwa hakomi,kaharibu syria,libya etc bado yupo tu.
Ila korea atawatoa kamasi hata bila msaada wa china
Ujinga nao ni mzigo hivi Syria au Libya ina maana marekani ndo chanzo?mbona Ghana wamepokea demokrasia na kuna amani.Demokrasia haina ubaya ila viongozi wanaokalia madaraka ndo tatizo mf.hapa kwetu je tatizo ni demokrasia au watu wenye madaraka?
 
Ujinga nao ni mzigo hivi Syria au Libya ina maana marekani ndo chanzo?mbona Ghana wamepokea demokrasia na kuna amani.Demokrasia haina ubaya ila viongozi wanaokalia madaraka ndo tatizo mf.hapa kwetu je tatizo ni demokrasia au watu wenye madaraka?

Sasa unafikiri nani alikuwa chanzo cha mgogoro wa Libya na Syria? Mgogoro wa Libya ni mfano wa yale yaliyotokea Iraq baada ya kumuangusha Saddam Hussein na utawala wake.

Sasa hatakama Syria, Libya, Iraq etc... hakuna democracy, suluhisho ni uvamizi wa marekani?

Marekani wanapandikiza chuki kwa raia hususani kwa vijana, alafu wanawasaidia kuwapa mafunzo ya kijeshi kisha wanapinga serikali wanayoiita ya kidikteta, huku marekani akijisingizia kigezo cha demokrasia na haki za binadamu kuwa zinakiukwa na utawala, akifanya hivi anaaminisha jumuia ya kimataifa na akiona vibaraka wake aiowapandikiza wanapokea kichapo na kuanza kushindwa, marekani anaingia kutoa nguvu ili kung'oa utawala.
 
Mashoga wa marekani hawauwezi huu mziki... 1958 hawa mashoga walichapwa vibaya wakarudi kufanya ushoga kule Nevada.. Sasa aingie tena sasahivi aone nchi yake itakavyosambaratishwa na Russia, China na Korea mwenyewe.. Hii nchi ya kishoga kazi yao kuvuruga nchi za watu tu.. Mashoga wakubwa haww
Lugha unayotumia hata ungekuwa na point unaonekana hovyo najua huwapendi wamarekani japo misaada yao unaipenda maana kimtokacho ndicho kilicho ujaza moyo wake
 
Kwanza ungetwambia nabii anapatikanaje arafu utwambie uongo wake maana unaweza kuongea maneno mengi kumbe unamkosea MUNGU bora ukakaa kimya kuliko kuongea mengi bila ushahidi
daah mkuu utakua umekosea mbn mm cjapost chochote kuhusu hzo habari
 
Hizi nchi zote hiz zina shehena ya kutosha ya nuclear c korea kaskazini si Russia wala si USA yaan hao na wengineo wengi tu wana maghara na maghara,kama marekani alikuwa ndo first developer wa nuclear technology miaka hiyo,je hayo ambayo alikuja kuyatengeneza wakati technologia ishakuwa ya hali ya juu hivi yatakuwaje,yatakuwa na madhara kias gani!? Binafsi sipendi kabisa kusikia hii mizozo ya kinuclear.Busara pekee ni kuomba Mungu azitawale akili za watu hao maana cku jambo likiwa jambo cjui itakuwaje.
Hongera kwa hekima yako mkuu tofauti na wachangiaji wengi humu jf wanaongozwa na ushabiki N.Korea haina tofauti na mtu aliyeamua kujiua lakini anataka kufa na wengi maana hana chakupoteza
 
Kwanza ungetwambia nabii anapatikanaje arafu utwambie uongo wake maana unaweza kuongea maneno mengi kumbe unamkosea MUNGU bora ukakaa kimya kuliko kuongea mengi bila ushahidi
mkuu cjachangia chochote kuhusu mambo ya unabii pilz hebu angalia vizuri....umenambia mwongo ila cjaona nlipochangia hio mada mkuu
 
Hizi nchi zote hiz zina shehena ya kutosha ya nuclear c korea kaskazini si Russia wala si USA yaan hao na wengineo wengi tu wana maghara na maghara,kama marekani alikuwa ndo first developer wa nuclear technology miaka hiyo,je hayo ambayo alikuja kuyatengeneza wakati technologia ishakuwa ya hali ya juu hivi yatakuwaje,yatakuwa na madhara kias gani!? Binafsi sipendi kabisa kusikia hii mizozo ya kinuclear.Busara pekee ni kuomba Mungu azitawale akili za watu hao maana cku jambo likiwa jambo cjui itakuwaje.
Hongera kwa hekima yako mkuu tofauti na wachangiaji wengi humu jf wanaongozwa na ushabiki N.Korea haina tofauti na mtu aliyeamua kujiua lakini anataka kufa na wengi maana hana chakupoteza
 
Kim Jong Un nakuaminia baba,uwezo unao wakuwapiga hao mbwa wasiokuwa na huruma! Anza kuzirusha zile za km 10000 zenye uwezo wakufika hadi marekani, anza na new york mamaee,,,,then Washingtonyoko.....piga mbwa hao
Pole kwa kumshabikia mtu asiye na hekima ukidhani USA hawana hivyo vitu wakati N.korea kila zana ipo ndani ya kakisiwa kake mwenzake amejaa kila kona ya dunia
 
Kim Jong Un nakuaminia baba,uwezo unao wakuwapiga hao mbwa wasiokuwa na huruma! Anza kuzirusha zile za km 10000 zenye uwezo wakufika hadi marekani, anza na new york mamaee,,,,then Washingtonyoko.....piga mbwa hao
Pole kwa kumshabikia mtu asiye na hekima ukidhani USA hawana hivyo vitu wakati N.korea kila zana ipo ndani ya kakisiwa kake mwenzake amejaa kila kona ya dunia
 
Ujinga nao ni mzigo hivi Syria au Libya ina maana marekani ndo chanzo?mbona Ghana wamepokea demokrasia na kuna amani.Demokrasia haina ubaya ila viongozi wanaokalia madaraka ndo tatizo mf.hapa kwetu je tatizo ni demokrasia au watu wenye madaraka?

Ndugu yangu hivi unafikiri Libya, Syria na Ghana ni nchi ipi au zipi yenye/zenye umuhimu kwa marekani? Ndugu yangu unajua maana ya geopolitics? Ndugu yangu hivi unafahamu siri ya Marekani na washiriki wake kumuondoa Ghadafi? Unafikiri ni suala la demokrasia? La hasha. Ghadafi alikuwa anataka dollar isitumike nabadala itumike dhahabu vivyo hviyo na Sadam Hussein wa Irak. Ina maana kama hili lingefanikiwa dola ingeanguka na ubepari au marekani ingedondoka. Kama ni suala la demokrasia mbona huko Saudi Arabia kwa marekani ni poa tu? Nikuambie kitu, huko Saudi Arabia, hakuna demokrasia ila ubabe tu. Wanawake huko Saudi Arabia hawaruhusiwi kupiga kura, na nadhani hata kuendesha gari (ingawa sina hakika sana na hili) hawaruhusiwi. Yaani hawa akina sijui Halima Mdee, Devotha Minja (wote wa Chadema) na wenzao wa CCM wanaobwabwaja hovyo kutoka UWT na BAVICHA (CHADEMA) wangekuwa huko Saudi Arabia wangekiona cha moto, kupigwa mawe au 'kupotezwa' kabisa. Ushindi wa Syria ni kitu kibaya kwa Saudi Arabia na nchi zote zile ambako Sunni wana nguvu. Saudi Arabia ana hofu kubwa kuwa watawala wale wa kifalme wanaweza kudondoka. Marekani ana hofu kubwa kuwa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ukidondoka ni pigo kwa uchumi wa marekani na hasa katika suala la nishati (mafuta). hivi unafikiri marekani anapenda demokrasia?! NEVER. Hicho ni kisingizio tu. Wewe uje uone kama MAGUFULI akifanya ziara yake ya kwanza huko URUSI au CHINA namna Marekani atakavyolalama. Au ije MAGUFULI akaruhusu NAVY ya URUSI au CHINA iweke vitu vyake pale Bagamoyo uone Marekani atavyoishupalia Tanzania. Usicheze na unafiki wa Marekani na washirika wake. Ni hatari kwa dunia hii.
 
Pole kwa kumshabikia mtu asiye na hekima ukidhani USA hawana hivyo vitu wakati N.korea kila zana ipo ndani ya kakisiwa kake mwenzake amejaa kila kona ya dunia

Sisi watu weusi ni kweli tulinyimwa akili, maneno ya mwenda wazimu (trump)nimeyakubali, inakuwaje unamshabikia mtu ambae kila day anauwa raia wasiokuwa na hatia,kapoteza mamilioni ya watu na bado anaendelea kuua tu!....
 
Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, leo hii ametishia kuzishambulia Korea kusini na marekani Kwa kutumia makombora ya nyuklia.

Endapo atafanya mashambulio hayo, ndo mwisho wa enzi wa utawala wa kiimla wa Korea kaskazini utakuwa umefika mwisho.

Maana watakutana na kichapo hatari na Kim Jong un atapinduliwa na kunyongwa na kisha utawala wa kidemokrasia utachukua nafasi.


Rais Kim Jong Un akiwa na mjomba wake Jenerari Taek aliyemuua kikatili Kwa kumweka katika chumba chenye mbwa 100 wenye njaa Kali na vichaa.


Wakuu wangu, temeni mate chini, vita ya Nuclear si ya kuomba wala kuizungumzia kwa sasa. Hilo ni janga (Holocost). North Korea si mara ya kwanza kutoa tamko kama hilo....... God Forbid.......
 
Ndugu yangu hivi unafikiri Libya, Syria na Ghana ni nchi ipi au zipi yenye/zenye umuhimu kwa marekani? Ndugu yangu unajua maana ya geopolitics? Ndugu yangu hivi unafahamu siri ya Marekani na washiriki wake kumuondoa Ghadafi? Unafikiri ni suala la demokrasia? La hasha. Ghadafi alikuwa anataka dollar isitumike nabadala itumike dhahabu vivyo hviyo na Sadam Hussein wa Irak. Ina maana kama hili lingefanikiwa dola ingeanguka na ubepari au marekani ingedondoka. Kama ni suala la demokrasia mbona huko Saudi Arabia kwa marekani ni poa tu? Nikuambie kitu, huko Saudi Arabia, hakuna demokrasia ila ubabe tu. Wanawake huko Saudi Arabia hawaruhusiwi kupiga kura, na nadhani hata kuendesha gari (ingawa sina hakika sana na hili) hawaruhusiwi. Yaani hawa akina sijui Halima Mdee, Devotha Minja (wote wa Chadema) na wenzao wa CCM wanaobwabwaja hovyo kutoka UWT na BAVICHA (CHADEMA) wangekuwa huko Saudi Arabia wangekiona cha moto, kupigwa mawe au 'kupotezwa' kabisa. Ushindi wa Syria ni kitu kibaya kwa Saudi Arabia na nchi zote zile ambako Sunni wana nguvu. Saudi Arabia ana hofu kubwa kuwa watawala wale wa kifalme wanaweza kudondoka. Marekani ana hofu kubwa kuwa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ukidondoka ni pigo kwa uchumi wa marekani na hasa katika suala la nishati (mafuta). hivi unafikiri marekani anapenda demokrasia?! NEVER. Hicho ni kisingizio tu. Wewe uje uone kama MAGUFULI akifanya ziara yake ya kwanza huko URUSI au CHINA namna Marekani atakavyolalama. Au ije MAGUFULI akaruhusu NAVY ya URUSI au CHINA iweke vitu vyake pale Bagamoyo uone Marekani atavyoishupalia Tanzania. Usicheze na unafiki wa Marekani na washirika wake. Ni hatari kwa dunia hii.
si swala la marekani tu mkuu,hii kitu inafanywa na mataifa yote makubwa...in short mataifa makubwa yana mambo mengi machafu..kwan wewe unafikiri russia kwenda kuisaidia syria nikwajili ya maslahi ya wasyria tu nayeye anaangalia maslahi yake pia...russia aliwahi ivamia kijeshi georgia kutetea raia wenye asili ya urusi,amefanya hivyo ukraine pia...unaweza ukaona ni jnc gan mataifa yanavyojua kutetea na kutafuta maslahi....ila inapotokea mwngne anapiga issue nyng km USA lazima wengne walalamike na kupiga propaganda nyingi....marekan anafnya kila awezalo ili aendelee kufanikiwa zaidi kiuchumi...hata tanzania tungekua na kia alichonacho mmarekan tungepita the same pathway.....sema hizi kelele nyingi ni kelele za wasionacho..ni kitu kilichopo hata kwe maisha ya kawaida
 
si swala la marekani tu mkuu,hii kitu inafanywa na mataifa yote makubwa...in short mataifa makubwa yana mambo mengi machafu..kwan wewe unafikiri russia kwenda kuisaidia syria nikwajili ya maslahi ya wasyria tu nayeye anaangalia maslahi yake pia...russia aliwahi ivamia kijeshi georgia kutetea raia wenye asili ya urusi,amefanya hivyo ukraine pia...unaweza ukaona ni jnc gan mataifa yanavyojua kutetea na kutafuta maslahi....ila inapotokea mwngne anapiga issue nyng km USA lazima wengne walalamike na kupiga propaganda nyingi....marekan anafnya kila awezalo ili aendelee kufanikiwa zaidi kiuchumi...hata tanzania tungekua na kia alichonacho mmarekan tungepita the same pathway.....sema hizi kelele nyingi ni kelele za wasionacho..ni kitu kilichopo hata kwe maisha ya kawaida


Thanks Ndugu yangu.Mimi sijagusia kabisa suala la Russia. Nimefanya hivyo makusudi. Ni kweli Russia nayo ina maslahi yake na imekwenda Syria kwa ajli ya maslahi yake. Hii ndiyo geopolitics. Nimeitaja marekani makusudi kwa sababuwatu wengi wa third world wanadhani kwamba Marekani ndiyo mfano wa demokrasia duniani na kwamba Russia si chochote. Ndiyo maana kila inachofanya Russia ni Putin. Yaani PUTIN anakuwa demonized na vyombo vya habari vya magharibi aonekane kuwa Russia ni Putin na kwamba eti ndiye mbaya. Wao Marekani kwenye vyombo vya habari hawawezi kum-demonize OBAMA. Kinachofanywa marekani eti ni State department, ministry of defence n.k lakini siyo OBAMA. Hii ndiyo iliyofanyka kuwa-demonize Saddam Hussein na Muamar Ghadafi.

Na kwa bahati mbaya kwa Marekani, Russia ni superpower militarily ambapo Marekani akifanyaa fyoko fyoko dhidi ya Russia makombora ya nuclear yatatua Washington na miji yote ya Marekani. Hivyo Hivyo Russia nayo inaweza angamizwa na makombora ya nyukilia ya Marekani. Kwa hiyo kutakuwa hakuna mshindi. Kwa Russia na Marekani hakuna kitu kinaitwa 'first strike' eti umuwahi mwenzako na uangamize military, political and economic infrastructures.

Ni kweli Russia iliivamia Georgia hii ni kwa kuwa Marekani walifanya mbinu ili Georgia nayo ijiunge na NATO lakini Russia ikaona huu upuuzi wa Orange revolution lazima ukomeshwe. Mpaka sasa Georgia haijajiunga na NATO na kamwe haiwezi kufanya hivyo. Wamarekani wakaona wafanye fitina nyingine ya kuivuruga UKRAINE kwa kuanzisha the so called ORANGE REVOLUTION. CIA na askari wa Marekani wasio na uniform wakajaa UKRAINE na fedha zao na wakafanikiwa kuwarubuni watu wakajazana kwenye ule uwanja 'MAIDAN SQUARE' kwa miezi kadhaa. Lengo la Marekani ni kuifanya UKRAINE iingie NATO na European Union na pia ichukue kituo cha kijeshi (NAVY) huko CRIMEA ambako ni makao makuu ya 'BLACK FLEET' ya Russia. Kumbuka kufuatia kusambaratika kwa SOVIET UNION, kituo cha navy cha Russia huko Crimea kiliendelea kuwa mikononi mwa Urusi kwa mkataba maalum kati ya Ukraine na Russia. Russia waliusoma mchezo wa Marekani na wakati Marekani inaendelea kusherehekea kuondolewa kwa utawala wa Ukraine uliokuwa kibaraka wa Russia wakashangaa Crimea yenye warusi karibu asilimia 90 ya wakazi wote ikijitenga na kujiunga na Russia.

Kabla mambo hayajakaaa sawa Ukraine Mashariki nayo ikaanzisha mapambano dhidi ya vibaraka wa Marekani walioshinda kufuatia mapinduzi. Marekani ikabaki mdomo wazi isiwe na cha kufanya zaidi ya kuweka economic sanctions dhidi ya Russia na ambazo ni dhahiri zimeshindwa kwani Russia inaendelea kudunda tu. Kwa hiyo Russia nayo ina mbinu chafu kama ilivyo kwa marekani na nchi za magharibi. Marekani ikifanya fyoko fyoko kwa Russia huo ndio utakuwa mwisho wa Marekani na vibaraka wake na ofcourse pia mwisho kwa Russia na washirika wake. Hii ndiyo 'raha' ya kuwa na silaha za nyuklia.
 
Thanks Ndugu yangu.Mimi sijagusia kabisa suala la Russia. Nimefanya hivyo makusudi. Ni kweli Russia nayo ina maslahi yake na imekwenda Syria kwa ajli ya maslahi yake. Hii ndiyo geopolitics. Nimeitaja marekani makusudi kwa sababuwatu wengi wa third world wanadhani kwamba Marekani ndiyo mfano wa demokrasia duniani na kwamba Russia si chochote. Ndiyo maana kila inachofanya Russia ni Putin. Yaani PUTIN anakuwa demonized na vyombo vya habari vya magharibi aonekane kuwa Russia ni Putin na kwamba eti ndiye mbaya. Wao Marekani kwenye vyombo vya habari hawawezi kum-demonize OBAMA. Kinachofanywa marekani eti ni State department, ministry of defence n.k lakini siyo OBAMA. Hii ndiyo iliyofanyka kuwa-demonize Saddam Hussein na Muamar Ghadafi.

Na kwa bahati mbaya kwa Marekani, Russia ni superpower militarily ambapo Marekani akifanyaa fyoko fyoko dhidi ya Russia makombora ya nuclear yatatua Washington na miji yote ya Marekani. Hivyo Hivyo Russia nayo inaweza angamizwa na makombora ya nyukilia ya Marekani. Kwa hiyo kutakuwa hakuna mshindi. Kwa Russia na Marekani hakuna kitu kinaitwa 'first strike' eti umuwahi mwenzako na uangamize military, political and economic infrastructures.

Ni kweli Russia iliivamia Georgia hii ni kwa kuwa Marekani walifanya mbinu ili Georgia nayo ijiunge na NATO lakini Russia ikaona huu upuuzi wa Orange revolution lazima ukomeshwe. Mpaka sasa Georgia haijajiunga na NATO na kamwe haiwezi kufanya hivyo. Wamarekani wakaona wafanye fitina nyingine ya kuivuruga UKRAINE kwa kuanzisha the so called ORANGE REVOLUTION. CIA na askari wa Marekani wasio na uniform wakajaa UKRAINE na fedha zao na wakafanikiwa kuwarubuni watu wakajazana kwenye ule uwanja 'MAIDAN SQUARE' kwa miezi kadhaa. Lengo la Marekani ni kuifanya UKRAINE iingie NATO na European Union na pia ichukue kituo cha kijeshi (NAVY) huko CRIMEA ambako ni makao makuu ya 'BLACK FLEET' ya Russia. Kumbuka kufuatia kusambaratika kwa SOVIET UNION, kituo cha navy cha Russia huko Crimea kiliendelea kuwa mikononi mwa Urusi kwa mkataba maalum kati ya Ukraine na Russia. Russia waliusoma mchezo wa Marekani na wakati Marekani inaendelea kusherehekea kuondolewa kwa utawala wa Ukraine uliokuwa kibaraka wa Russia wakashangaa Crimea yenye warusi karibu asilimia 90 ya wakazi wote ikijitenga na kujiunga na Russia.

Kabla mambo hayajakaaa sawa Ukraine Mashariki nayo ikaanzisha mapambano dhidi ya vibaraka wa Marekani walioshinda kufuatia mapinduzi. Marekani ikabaki mdomo wazi isiwe na cha kufanya zaidi ya kuweka economic sanctions dhidi ya Russia na ambazo ni dhahiri zimeshindwa kwani Russia inaendelea kudunda tu. Kwa hiyo Russia nayo ina mbinu chafu kama ilivyo kwa marekani na nchi za magharibi. Marekani ikifanya fyoko fyoko kwa Russia huo ndio utakuwa mwisho wa Marekani na vibaraka wake na ofcourse pia mwisho kwa Russia na washirika wake. Hii ndiyo 'raha' ya kuwa na silaha za nyuklia.
nimependa kwajinc ulivyo na complete picture ya what is going on in ukraine na kilichotokea georgia sina ubishi hata robo,pia ni kweli kabisa ikitokea nuclear warfare kati ya hawa jamaa wawili kutakua na mutual destruction hvyo cdhan km nuclear war inaweza tokea ila convetional war nadhan inaweza tokea tokea huko mbele.....na nikweli western media zinamdemornize putin putin lakin unajua mkuu kwann west wanafanya haya?ni kwasababu wana uwezo wa kuyafanya so wanatumia vizuri uwezo wao wa kichumi,kipolitical na kijesh walionao ili kujiongezea influence ulimwenguni...mi naamini kama russia ingekuwa ndo marekani ya leo nayo ingefanya hayahaya ambayo marekani anayafanya leo so ni swala la watu kutumia nafasi walionayo kufullfill mahitaj yao...leo tunaona china anaclaimmaeneo yake kule southeast china sea ni kwasababu ameshakua na uwezo wa kufanya hivyo..pia naamin kama marekani ingekuwa weak kijesh russia wangweza kuirudisha ALASKA yao ukizingatia umuhimu wa alaska kwa pande zote mbili....so hapa mkuu ulichonachotumia..kama una nguvu ya kijesh unatumia kupata maslahi yako..kama una nguvu ya kiuchumi unatumia kusaka maslahi..kama una nguvu kubwa ya ushawishi duniani pia unaitumia...marekani yeye ameona demokrasia inamsaidia kusev interest zake na russia nae tumeona njia zake anazotumia sema tu warussia wanaumia kwasababu marekan anaweza fanya mengi ambayo wao hawawez kwasababu amewazidi kiuchumi na pia ana allies wengi kwahio na wao lazima wapige anti american propaganda kwa wingi....binafsi naona ili russia iweze kuplay katika the same arena USA inabidi kuimprove uchumi wake maana cku hizi watu wamejikita sana kwenye economic warfare coz ukiwa na hela ndo unackilizwa...hata china yuko behind kijesh kwa russia na US ila uchumi wake ni silaha nzuri kwa sasa
 
Back
Top Bottom