ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,476
- 9,654
Ila China after ile hydrogen test alisema haitajitoa mhanga kwa NK km ilivyofanya kwenye Korea war...itatoa msaada lkn sio km walivyojiingiza mazima kwenye Korean war mpk wanajesh karibu 150,000 wa China walikufaaf anaanzaga kama masihara vile,hashtukizagi huwa anatangaza kwanza kwamba tunakupa 48hrs tunakuja kukuvamia so kama nawe unabomba za kutosha ujipangage kabisa,y
hawez kupigwa kirahisi ila lazima achapike,sema nchi kama china lazima wamtulize dogo maana wanajua akizingua akachapwa basi lazima nchi imezwe na south korea af sasa hii itakua ina negative impact kwa china so china atafnya awezavyo ili pensula iendelee kuwa tulivu tu mikwala iendelee ila wasianzishe vita