mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,001
jamani si vyema kumwangalia mwingira kama mjasrimali pekee, bali pia tujiulize mengine aliyoibuka nayo. mfano kuna point hapo kwenye bold.
hata mimi naungana naye kuhoji hapo kwenye bold. anayejua atusaidie. mchungaji anaponya watu bila kuwahubiria kwa namna yoyote, ............we njoo, kamata kikombe chako, kwa heri![/I]............ ni uchungaji gani huu?
Mungu anapewaje utukufu hapo?
tusaidiane please
Glory to God
Bila kusahau ukatende mema, nafikiri hii haina shida kama kule kwa kakobe ambako anathubutu kusema kuwa wakati wa yesu umepita na sasa ni wakati wa kakobe, je inamaana yeye ni sawa ya yesu?