Mwingine BAVICHA ajiunga na CCM

Mwingine BAVICHA ajiunga na CCM

Hakuna la ajabu. Kila mtu yuko huru kujiunga na chama chochote. Ni haki yake ya kikatiba. Tatizo ni pale mtu anapoamua kuondoka anatafuta jukwaa la kutukana. Mtu wa namna hii ni lazima aogopwe na asiaminiwe na ye yote.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
KATIBU wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) wilaya ya Rombo, Abdul Issa amekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.(CCM)

Hatua hiyo imefikiwa baada ya Katibu huyo kudai kuchoshwa na ubabaishaji ndani ya CHADEMA na kikubwa ni UBAGUZI uliokithiri na kufitiniana., alilalamikia ahadi zisizotekelezwa alizopewa na CHADEMA pamoja na mbunge wa jimbo hilo.

Katibu huyo alirudisha kadi ya CHADEMA yenye namba 0406788 mbele ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) wilaya ya Rombo Ndugu Beatrice Shirima, ambae alikuwa akifanya ziara za kushukuru na kuimarisha jumuiya wilayani humo.

Watu wa jimbo la Rombo hawajawahi kuvumilia wala Rushwa.Ni jambo la Ovyo kwa kijana huyo aliyeshtukiwa akitumika kugawa fedha zilizotolewa na diwani aliyehama CHADEMA kulinda maslahi yake kibiashara na kumtumia kijana huyo kuivuruga CHADEMA.Mkatati vwa CCM jimbo la Rombo unajaribu kuelekeza nguvu ndani ya CHADEMA ili kupata siri na mikakati hiyo.CHADEMA hakuingiliki,ukigundulika tu imekula kwako

Bahati nzuri wananchi wa Rombo wanajua kumuwajibisha mtu kabla hata ya tarataibu za Chama.Rushwa ni mwiko kule.Hata Mramba alitenga bajeti kubwa kwa ajili ya barabara ya Rombo akidhani atawafumba Macho.Walimwambia Mwanetu umennde mko uveeli haki ya mondu lakini enda safo(Kijana wetu umeleta barabara ambayo ilikua haki yetu ya muda mrefu ila nenda tu hatukutaki)
 
Sawa nyie wenye akili kubwa ya kushindwa hata kuhoji matumizi ya hela za chama.
Hivi wewe si ndiye yule uliwapeleka watu kufanya mkutano kwenye pub ya pombe mwezi wa Ramadhani? kuna mtu aliwahi kukuuliza una maslahi gani kwenda kukodi ukumbi kwa mkenya London UK na je maslahi yako ni yepi? vipi bado umeajiliwa na Mpemba au umeshapata mtaji?
 
Hivi hiyo kadi ya CDM amerudisha CCM au amepeleka CCM?
 
KATIBU wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) wilaya ya Rombo, Abdul Issa amekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.(CCM)

Hatua hiyo imefikiwa baada ya Katibu huyo kudai kuchoshwa na ubabaishaji ndani ya CHADEMA na kikubwa ni UBAGUZI uliokithiri na kufitiniana., alilalamikia ahadi zisizotekelezwa alizopewa na CHADEMA pamoja na mbunge wa jimbo hilo.

Katibu huyo alirudisha kadi ya CHADEMA yenye namba 0406788 mbele ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) wilaya ya Rombo Ndugu Beatrice Shirima, ambae alikuwa akifanya ziara za kushukuru na kuimarisha jumuiya wilayani humo.



Kama alidhani angeitumia nafasi hiyo kama shortcut ya kutimiza ndoto zake basi ameula wa chuya..!

amepunguza mashuzi tuh mwanakwnda.
 
Vizuri alifuata ahadi na kwa kuwa hazipo hana sababu ya kuendelea kubaki cdm....siasa zile zile za unapokosa unachokitaka unahama chama.
 
Wanahitaji kuelezwa kuwa suala la mageuzi si suala la kubebwa na kukumbatiwa ni suala la kufa na kupona...kama wanataka luxury nadhani CCM panawafaaaa............... MANI zumbemkuu nimekosea???
 
Last edited by a moderator:
KATIBU wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) wilaya ya Rombo, Abdul Issa amekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.(CCM)

Hatua hiyo imefikiwa baada ya Katibu huyo kudai kuchoshwa na ubabaishaji ndani ya CHADEMA na kikubwa ni UBAGUZI uliokithiri na kufitiniana., alilalamikia ahadi zisizotekelezwa alizopewa na CHADEMA pamoja na mbunge wa jimbo hilo.

Katibu huyo alirudisha kadi ya CHADEMA yenye namba 0406788 mbele ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) wilaya ya Rombo Ndugu Beatrice Shirima, ambae alikuwa akifanya ziara za kushukuru na kuimarisha jumuiya wilayani humo.
mkuu yani unampa umaarufu m2 ambaye hata umaarufu hana muwe mnaangalia hata vya kupost hmu kuna hoja nyingi sana za msingi kama vile ni namna gani twiga mwenye shingo ndefu kuliko fastjet lakini alipandishwa mpaka ughaibuni huku akiwa mzima
 
Watu wa jimbo la Rombo hawajawahi kuvumilia wala Rushwa.Ni jambo la Ovyo kwa kijana huyo aliyeshtukiwa akitumika kugawa fedha zilizotolewa na diwani aliyehama CHADEMA kulinda maslahi yake kibiashara na kumtumia kijana huyo kuivuruga CHADEMA.Mkatati vwa CCM jimbo la Rombo unajaribu kuelekeza nguvu ndani ya CHADEMA ili kupata siri na mikakati hiyo.CHADEMA hakuingiliki,ukigundulika tu imekula kwako

Bahati nzuri wananchi wa Rombo wanajua kumuwajibisha mtu kabla hata ya tarataibu za Chama.Rushwa ni mwiko kule.Hata Mramba alitenga bajeti kubwa kwa ajili ya barabara ya Rombo akidhani atawafumba Macho.Walimwambia Mwanetu umennde mko uveeli haki ya mondu lakini enda safo(Kijana wetu umeleta barabara ambayo ilikua haki yetu ya muda mrefu ila nenda tu hatukutaki)

Walarushwa na wasaliti Chadema si mahali salama kwao. Big up sana makamanda wa Rombo kwa kukilinda chama na vidudu watu.
 
Back
Top Bottom