Mwingine BAVICHA ajiunga na CCM

Mwingine BAVICHA ajiunga na CCM

TandaleOne.....upo wapi???
Kuna Mkanusho toka kwa Mwenyekiti wa Wilaya!!
Ulitujulisha umma huu kuwa aliyehama ni katibu wilaya Bavicha, mwenyekiti kasema Hapana bali alikuwa mgombea nafasi ya mwenyekiti na kushindwa!!!
Je tutayaaminije maneno yako mengine??
 
Tunamkaribisha CCM kwa mikono miwili. CCM ni chama kisichokuwa na ubabaishaji kwa sababu ya kuwa na mgawanyo wa madaraka na utawala wa sheria. Ndani ya CCM kila mtu ana nafasi sawa ya kusikilizwa.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina mmiliki wake. CHADEMA kina mmiliki wake.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mshamba wewe hakuna chama kisicho na mmiliki na CDM mmiliki wake ni wanaCDM wote. Wewe una nafasi ya kusikilizwa na nani mbururaaaaaaaaaaaaaaaaaa mweusi.
 
Ww kwaakili yako inavyokutuma ni kiongozi gan? ambae hajali maslahi ya familia yake akaangalia maslai ya mtanzania.ET AENDE KWA WACHUMIA TUMBO WENZIE acheni ushabiki wa vyama nyinyi haohao mnaowashabikia lao moja mwanasiasa mwanasiasa 2 tuache imani potofu vijana hakuna atakae badilisha maisha yako ila niwewe mwenyewe utakavyojipanga.Ikumbukwe kua wote hao wanaopiga kelele pia WANACHUMIA TUMBO 2 hawana jipya
 
Back
Top Bottom