Mkuu kwani sisi wanaCCM ni lini tuliweza kuhoji matumizi ya fedha za chama chetu?Sawa nyie wenye akili kubwa ya kushindwa hata kuhoji matumizi ya hela za chama.
katibu wa baraza la vijana wa chadema (bavicha) wilaya ya rombo, abdul issa amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha mapinduzi.(ccm)
hatua hiyo imefikiwa baada ya katibu huyo kudai kuchoshwa na ubabaishaji ndani ya chadema na kikubwa ni ubaguzi uliokithiri na kufitiniana., alilalamikia ahadi zisizotekelezwa alizopewa na chadema pamoja na mbunge wa jimbo hilo.
Katibu huyo alirudisha kadi ya chadema yenye namba 0406788 mbele ya mwenyekiti wa umoja wa vijana (uvccm) wilaya ya rombo ndugu beatrice shirima, ambae alikuwa akifanya ziara za kushukuru na kuimarisha jumuiya wilayani humo.
mkuu usimwage povu kiivyo kimsingi mchizi kashindwa kutekeleza amri za padri slaa za kuua watu
Kumekucha
Mm mwenyekiti wa Bavicha Rombo naomba kukanusha taarifa za kizushi zilizoletwa na anayejiita mwenyekiti wa uvccm Rombo bi Beatrice Shirima ni za uongo,upotoshaji na zisizo na tija.bwana Abdul Issa kutoka Holili alikuwa nimwanachama wa chadema na baraza kwa ujumla ila hajafanikiwa kuwa katibu wa bavicha rombo wala wadhifa wowote kwenye baraza,ila alikuwa nimpinzani wangu kwenye kinyanganyiro chakumpata mwenyekiti Bavicha wilaya.katibu wa Bavicha wilaya ni bwana Anold tokea Tarafa ya Usseri,kata ya Kitirima Kingachi na kijiji cha Lesoroma. Bavicha wilaya inaomba msikubali kudanganywa,kupotoshwa na watu kama hao hatutarudi nyuma kupambana na mafisadi,wapotoshaji na watu wasiyopenda maendeleo
Mm mwenyekiti wa Bavicha Rombo naomba kukanusha taarifa za kizushi zilizoletwa na anayejiita mwenyekiti wa uvccm Rombo bi Beatrice Shirima ni za uongo,upotoshaji na zisizo na tija.bwana Abdul Issa kutoka Holili alikuwa nimwanachama wa chadema na baraza kwa ujumla ila hajafanikiwa kuwa katibu wa bavicha rombo wala wadhifa wowote kwenye baraza,ila alikuwa nimpinzani wangu kwenye kinyanganyiro chakumpata mwenyekiti Bavicha wilaya.katibu wa Bavicha wilaya ni bwana Anold tokea Tarafa ya Usseri,kata ya Kitirima Kingachi na kijiji cha Lesoroma. Bavicha wilaya inaomba msikubali kudanganywa,kupotoshwa na watu kama hao hatutarudi nyuma kupambana na mafisadi,wapotoshaji na watu wasiyopenda maendeleo
wanajavi aliyeweka uzi huu ni muongo, hakuna katibu wa bavicha aliyehamia CCM! Aliyehama ni mwanachama wa kawaida tu! CCM wamempachika cheo kama kawaida yao!
Hivi juliana shonza na mtela mwampamba wamefia wapi tena?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kumekucha
amekosa shabaha