meeku
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 569
- 108
hana jipya huyo/ ahadi gani aliahidiwa ? au aliahidiwa kupanda cheo
Msipate shida na hao. Ameshukiwa na "Roho mtaka mbivu" hivyo kawafuata wenzake sisiem wakanene kwa lugha.
hana jipya huyo/ ahadi gani aliahidiwa ? au aliahidiwa kupanda cheo
Ish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! wapi kumekucha sasa CDM au CCM. Nyie ndo huko CCM kumekucha video mtoe nyie roho mtoane nyie.(Membe Vs Lowasa)Kumekucha
Tunamkaribisha CCM kwa mikono miwili. CCM ni chama kisichokuwa na ubabaishaji kwa sababu ya kuwa na mgawanyo wa madaraka na utawala wa sheria. Ndani ya CCM kila mtu ana nafasi sawa ya kusikilizwa.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina mmiliki wake. CHADEMA kina mmiliki wake.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wewe unajua mengi sana kijana......
Hayu atakuwa ameshindwa kufuata amri za Padri Slaa
Mkuu usimwage povu kiivyo kimsingi mchizi kashindwa kutekeleza Amri za Padri Slaa za kuua watu
Punguza udini, ulimbukeni na ushabiki usio na hoja.
najua hilo lakini I think you know more than this young man.Wewe inakuuma nini.Information is power....
Ish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! wapi kumekucha sasa CDM au CCM. Nyie ndo huko CCM kumekucha video mtoe nyie roho mtoane nyie.(Membe Vs Lowasa)
Bado kidogo mwenyekiti wa taifa atahamia ccm ndio magwanda yatakapowaka moto
Kumekucha
Hayu atakuwa ameshindwa kufuata amri za Padri Slaa