Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,816
Vikao vya bunge vinaendelea mjini Dodoma na miongoni mwa maswali ya leo, ni swali linalohusu mabilionea waliopo Tanzania kwenda kwa wizara ya fedha.
Swali(Rashid Shangazi): Tuna idadi ya watu takribani milioni 55 wenye madaraja tofauti ya uchumi, katika idadi hiyo kuna mabilionea wangapi?
Waziri wa fedha(Mwigulu Nchemba): Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na TRA unaonyesha duniani kuna mabilionea milioni 14 na kwa mujibu wa ripoti ya RBC wealth management bara la Afrika pekee lina mabilionea 140,000 sawa na asilimia 1 ya mabilionea duniani.
Tanzania ina mabilionea 5740 ambao wanamiliki 4.2% ya utajiri katika kundi la mabilionea wa Afrika. Katika mabilionea hao ni 115 sawa na 2% wanaomiliki zaidi ya asilimia 28 ya utajiri wote wa mabilionea wanaotoka Tanzania
Swali(Rashid Shangazi): Tuna idadi ya watu takribani milioni 55 wenye madaraja tofauti ya uchumi, katika idadi hiyo kuna mabilionea wangapi?
Waziri wa fedha(Mwigulu Nchemba): Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na TRA unaonyesha duniani kuna mabilionea milioni 14 na kwa mujibu wa ripoti ya RBC wealth management bara la Afrika pekee lina mabilionea 140,000 sawa na asilimia 1 ya mabilionea duniani.
Tanzania ina mabilionea 5740 ambao wanamiliki 4.2% ya utajiri katika kundi la mabilionea wa Afrika. Katika mabilionea hao ni 115 sawa na 2% wanaomiliki zaidi ya asilimia 28 ya utajiri wote wa mabilionea wanaotoka Tanzania